Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Mbusu jiwe unapojifanya mkristo
Vipi Umemsahau yule papa Paulo mbusu ardhi??!!
Anajidai kubusu ardhi kumbe anasujudu kama wafanyavyo Waisilamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbusu jiwe unapojifanya mkristo
Ndoa ni taasisi ndiyo maana ukitaka kuoa lazima nafsi yako iridhie.Ndugu zangu japo mimi ni mkristo ila hawa ndugu zetu waislamu linapokuja suala la ndoa na mazishi huwa hawana mambo mengi.
Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha.
Kwenye ndoa nako hakuna kuremba watu wamependana wakatambulishana kijana wa kiume akaridhia mahari dhidi ya binti ni fasta to ndoa inafungwa.
Mahari zenyewe ni kawaida tu si kama huku kwetu, wanachojali wao ni watu waowane na ndio maana ni ngumu sana kukuta jamii nyingi za waislamu wanaishi pamoja bila ndoa.
Ndoa au mazishi ni maamuzi ya familia haina uhusiano na dini
Kubusu ardhi ni jambo lilifanywa na watu wote hata kabla ya kuja dini ya uislamu.Vipi Umemsahau yule papa Paulo mbusu ardhi??!!
Anajidai kubusu ardhi kumbe anasujudu kama wafanyavyo Waisilamu.
Kwanini wanawake hawaruhusiwi kwenda makaburini kwa waislamu alijibu hiviKatika Uisilamu ndoa na Mazishi ni mambo yaliyona taratibu maalumu za kiisilamu.
Kubusu ardhi ni jambo lilifanywa na watu wote hata kabla ya kuja dini ya uislamu.
Kusujudu kama wafanyavyo waislam hata miungu na watawala walikuwa wanasujudiwa
Kwanini wanawake hawaruhusiwi kwenda makaburini kwa waislamu alijibu hivi
"Mwanamke ni mtu wa kulia na kugaragara, sasa akienda makaburini, itamuongezea adhabu maiti huko aliko"
Tupe jibu lako nawe
We unajuaje wana mke mmojaLabda kuoa wake wengi
Ambayo sio sifa
Mo na asas wana mke mmoja mmoja
Wewe chakubanga unakaa nyumba ya kupanga unawake wanne
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona povu , wabusu jiwe original wanajua umuhimu wa jiweVipi Umemsahau yule papa Paulo mbusu ardhi??!!
Anajidai kubusu ardhi kumbe anasujudu kama wafanyavyo Waisilamu.
Kweli ndio rahisi likini kuhusu mahari siku hizi hakuna tofaoti imegeuka biasharaNdugu zangu japo mimi ni mkristo ila hawa ndugu zetu waislamu linapokuja suala la ndoa na mazishi huwa hawana mambo mengi.
Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha.
Kwenye ndoa nako hakuna kuremba watu wamependana wakatambulishana kijana wa kiume akaridhia mahari dhidi ya binti ni fasta to ndoa inafungwa.
Mahari zenyewe ni kawaida tu si kama huku kwetu, wanachojali wao ni watu waowane na ndio maana ni ngumu sana kukuta jamii nyingi za waislamu wanaishi pamoja bila ndoa.
Matangazo ya kujisifia ni tofauti na mahubiri, ukitumia akili kusoma huu ujumbe katikati ya mistari utanielewa.Wewe ni mkristo kweli??, je unajua kauli ya Yesu alipowaambia wanafunzi wake kwamba Waende duniani kote kuitangaza injili kwa kila kiumbe??-- kutangaza injili kwa kila kiumbe (hata kwa panya, mende nk) huko sikokutangaza Ukristo??, je nako huko utakuitaje??, kibaya chajiuza---?? I doubt with your christianity..
Read, Marko 16:15.
Hamia huko huko.Ndugu zangu japo mimi ni mkristo ila hawa ndugu zetu waislamu linapokuja suala la ndoa na mazishi huwa hawana mambo mengi.
Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha.
Kwenye ndoa nako hakuna kuremba watu wamependana wakatambulishana kijana wa kiume akaridhia mahari dhidi ya binti ni fasta to ndoa inafungwa.
Mahari zenyewe ni kawaida tu si kama huku kwetu, wanachojali wao ni watu waowane na ndio maana ni ngumu sana kukuta jamii nyingi za waislamu wanaishi pamoja bila ndoa.
Hata wewe gengengeni unaenda tu kitendo cha kumpa mkeo hela ya matumizi ni sawa na kwenda gengeniKweli kabisa na mwanamke kazi yake ni kuchakatwa tuu haruhusiqi hata gengeni aende hiyo ni kazi ya mwanaume
Swali zuri Kabisa.Hiyo zinaa wanaiepuka?
Umeona Eenhh?!,Wakristo hatuna maigizo hayo.Ndoa za kiislamu ni za kimchongo wala hazina mashiko, unaoa leo unaacha kesho…. huna cha kupoteza.
Zina faida zakeNdoa za kiislamu ni za kimchongo wala hazina mashiko, unaoa leo unaacha kesho…. huna cha kupoteza.
Wakiristo amuachani? nenda mahakamani dawati kwa mjumbe serikali ya mitaa uone wanawake walivio fulika kutaka kuachwa hasa wakirisito,waroma wao wanatengana vitanda kila mtu anakuwa anapata kwa Hawara yake,unataka kujikweza hali yakuwa mitaani tunaishi wote labda nyiyi harusi zenu ziko juu lakini sio wakiristo wote hata baadhi ya waisilamu wanafanya masherehe makubwa tu si vipato vinafananaNdoa za kiislamu ni za kimchongo wala hazina mashiko, unaoa leo unaacha kesho…. huna cha kupoteza.