Waislamu wako vizuri kwenye suala la ndoa

Hayo hayahusiani Na dini,dini imekataza kuzini Kwa mwanaume na mwanamke Hadi kuoana huo ni udhaifu wa wazazi na watoto wenyew kuhus kujifunza dini na udhaifu wetu binadmau na kuhusu kuachika watu wanaachika Kwa tabia zao sio kwasabbu ya kuolewa Kwa gharama nafuu walio na tabia njema wanadumu kwenye ndoa
 
Hata za Kirklisto ukioa sehemu ya hali ya chini mahari ndogo unaoa pia
Hao waislamu wa hali ya chini mie mashoga zangu wanaolewa na mahari hadi 4m na Muslim pure
Inategemeana kama familia bora ni balaa tena usiombe waarabu hadi dhahabu lazima ulete
 
Suala lakuoa dini tofauti nisuala zito sana hasa hili lakutengwa naukoo mzima nikisanga hata mm bado niko dilemma naona kabisa unaweza kutengwa nandugu endapo ukioa jamii ambazo wao hawaziamini.
Unaogopa nini mtu mzima unajitafutia riziki labda kama wewe ni tegemezi kwa hao ndugu ndio utapata uzito
 
Suala lakuoa dini tofauti nisuala zito sana hasa hili lakutengwa naukoo mzima nikisanga hata mm bado niko dilemma naona kabisa unaweza kutengwa nandugu endapo ukioa jamii ambazo wao hawaziamini.
Kila mtu na namna anavyolichukulia, lakini hili n swala zito mm sishauri mtu ajaribu kabisa.
 
Mwenzio kifurushi chake kimeisha we unacheka?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie najiuliza mbns hawana uzito ktk kuachana?? Yaan utashangaa vuupuu washa achana.
 
Oooh hapo sawa shangaziii, umeelewekaaa.
 
Ukikuta mwanaume amekuoa kwa mara ya tatu na ulimchana ukweli huyo amekupenda kweli sasa je hiyo dada alimwambia ukweli kuwa anae olewa nae ni mara tatu????

Kama alimwambia na alikubali basi huyo jamaa alimpenda kwa Hali yoyote na moyo wote.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie najiuliza mbns hawana uzito ktk kuachana?? Yaan utashangaa vuupuu washa achana.
Ghafla Kama chafya
 
Ukikuta mwanaume amekuoa kwa mara ya tatu na ulimchana ukweli huyo amekupenda kweli sasa je hiyo dada alimwambia ukweli kuwa anae olewa nae ni mara tatu????

Kama alimwambia na alikubali basi huyo jamaa alimpenda kwa Hali yoyote na moyo wote.
wanaume tofauti
 
Anaitwa nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…