Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

Mwanamke akipata mafanikio kiuchumi anataka kuwa huru(kuishi bila masharti), wakati mwanaume akiwa na mafanikio kiuchumi anataka kuwa na watu pembeni yake wafaidi jasho lake pamoja.

That's the only difference.
Wana akili za ajabu hawa viumbe

Ndio maana Waarabu hawataki masuala ya Wanawake kuajiriwa wala kusoma,hataa kuendesha gari


Ni makosa makubwa kumpa Mwanamke madaraka
 
Yeah ka kaida niko na good vibe..
Ulifungiwa wapi siku mbili hizi haukuwepo😃
No sikufungiwa Kuna jambo lilikuwa linanihitaji umakini mkubwa,nilitakiwa ni nitoe muda mwingi kimwili na kiroho,nikaona ni vema kuwa offline kidogo. .But nashukuru limepita am back
 
No sikufungiwa Kuna jambo lilikuwa linanihitaji umakini mkubwa,nilitakiwa ni nitoe muda mwingi kimwili na kiroho,nikaona ni vema kuwa offline kidogo. .But nashukuru limepita am back
Nimefurahi kukuona Tena big ciccy 🌹❤️
 
Hivi hii kasumba ya ndoa ikivunjika anaonekana mwanamke ndio ana makosa itaisha lini?

Sikatai katika hao huenda kuna baadhi walivunja nyumba zao kwa mikono yao ila hatuwezi kuwasema wote, ndoa zina mengi na kama watu walioana kwa mapenzi hadi wanafikia kuachana kuna sababu nzito bila kujali ni upande gani.
Kwasababu ni case chache sana ambapo mwanaume ataamua kutengana na mkewe kwasababu zisizoeleweka ila katika hali ya kawaida ni wanawake huwa na tabia ya kuvunja mahusiano au kunzisha vagi lisilo na kichwa wala miguu pale wanapoona maslahi yao yapo rehani.

Hata takwimu ukienda mataifa mengi wanaoongoza kuomba talaka ni wanawake na si wanaume.
 
WAKUUUNDOAAAANIJAMBOLAWATUWAWILI

OGOPASANAKULALAMIKIA NDOAYAMTU HUJUI YALIOWAKUTA MPAKA WANAACHANA..NILIWAHILETA SANA MADA ZA NDOA HUKU.....

KUNAMENGISANA KWENYE NDOA..KWAWALE WAZAMANI WANAKUMBUKA M NILIOA 2005 NOV 5 NKAACHA KILAKITU 13 DEC 2005......
SIKUWHI KURUDI KAMWE NA SIKUWAHI KUFWATA GARIWALAMAKOCHI WALA NILICHOKUWANACHO ZAIDI YA BEGI LANGUO

NNILIWAOGOPASANA MABINTI MPAKA 2009 NKAVUTA MKETOKAKWABWANAA NAKUNIZALIA WANANGU

HAWA NAO. BINADAMU MPAKA UNAONA WAMEKIMBIANA WANEINGIA KWENYE MAOMBI WAKAVUMILIANA MWISHO WAKAONA IMETOSHA

USHAURI TU
TUWAPE NAFASI WAFURAHIE NDOA ZAOO MPYA PLS......NIKIPITAGA DIAMOND JUBELEE NAWAZAAGA SANA NINI KILITOKEA. NKAINGIA MULE NOV 5 ALL N ALL MUNGU NDIE MPANGAJI

NAWATAKIA NDOANJEMA WATUWANGU WA NGUVU WAKATI WA MUNGU UKIFIKA HATA WANADAMU WAKISEMA SIO ITAKUWA
 
Mlevi mzinzi, mwizi, n.k hubadilishwa na mwanamke mwenye hekima
Na kwanini huwa mnahisi mnatakiwa kubadilishwa tabia zenu mbovu na wake zenu, kwahiyo huwa mnafanya hayo maovu makusudi kwa kisingizio kwamba ni jukumu la wake zenu kuwabadilisha, yani wazazi wenu wanashindwa kuwalea vizuri mnakuwa watu wazima na tabia za hovyo halafu mnataka muwabebeshe mizigo watoto wa watu be responsible asee
 
Back
Top Bottom