Wakati magari mengine yakitupwa na kutelekezwa, Tamisemi waomba magari ya Bil 16, kununua magari 81

Wakati magari mengine yakitupwa na kutelekezwa, Tamisemi waomba magari ya Bil 16, kununua magari 81

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Angellah Kairuki, amesema katika Mwaka wa Fedha wa 2023/24, TAMISEMI imetengewa kiasi hicho kwa ajili ya ununuzi wa Magari 81.

Kairuki ameeleza mgawanyo wa Magari hayo utawahusu Wakuu wa Mikoa Magari 5, Makatibu Tawala wa Mikoa Magari 2 na Magari 74 ni ya Wakuu wa Wilaya.
Mda tukubali mwafrika ni mtu mbinafsi na mwenye upeo mdogo sana
 
INA MAANA KILA GARI MOJA NI




IMG_5363.png
 
Uthibitisho wa hio gari kutupwa ni upi hapo sasa huyo jamaa anayechukua vid sidhan kama anatosha kudhibitisha hilo
Ukiangalia anasema imekaa miezi 3 sawa lkn haina hata vumbi ina maana kuna mtu anaingalia
Mkuu unadhan Kuna haja ya gari ya serikal kukaa miez 3 bila matengenezo wakat gari moja ni zaid ya mil 200?

Hata gar lako mwenyewe garage kwa miez mi3 sio kulitupa?
 
Watu wanashindana kupeleka watoto nje ya nchi na shule za Hela nyingi,

Hawawezi kuwaza kumpunguzia mwananchi gharama za maisha,

Halafu unakutana na mtu ana tishet yake ya ccm jua linamuwakia anakwambia ccm dam dam.
 
Mkuu unadhan Kuna haja ya gari ya serikal kukaa miez 3 bila matengenezo wakat gari moja ni zaid ya mil 200?

Hata gar lako mwenyewe garage kwa miez mi3 sio kulitupa?
Una aamini kabsa gari kama hio imetupwa 😄
Halafu huyo jamaa ni kama amechukua tu vid nakuongea tu hisia zake kama imetupwa basi huyo jamaa arudi aiokote
 
Uthibitisho wa hio gari kutupwa ni upi hapo sasa huyo jamaa anayechukua vid sidhan kama anatosha kudhibitisha hilo
Ukiangalia anasema imekaa miezi 3 sawa lkn haina hata vumbi ina maana kuna mtu anaingalia
Shule si zmefunguliwa

Gari imepakiwa sio sehemu sahihi
Gari imetolew plate number


Unatafuta kichaka cha nn
 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Angellah Kairuki, amesema katika Mwaka wa Fedha wa 2023/24, TAMISEMI imetengewa kiasi hicho kwa ajili ya ununuzi wa Magari 81.

Kairuki ameeleza mgawanyo wa Magari hayo utawahusu Wakuu wa Mikoa Magari 5, Makatibu Tawala wa Mikoa Magari 2 na Magari 74 ni ya Wakuu wa Wilaya.
Ujinga mtupu huu. Tunapo sema hakuna batabara itajengwa mnabisha
 
Back
Top Bottom