Chozizwa2020
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 912
- 853
Mkuu umri haugandi; wakingoja kwanza si wata R.I.PHuko ngojeni kwanza
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umri haugandi; wakingoja kwanza si wata R.I.PHuko ngojeni kwanza
Ova
Itoke ccm alafu waingie hawa?Magari mazima kabisa yameegeshwa ili wauziane land cruiser bei ya bajaji. Nchi hii bila CCM kutoka madarakani tutaendelea kuumizwa sana.
Mkuu hawa sio hao uliowati hilo jina baya; hao wanakula kiinua mgongo na pension juu. Wanao zungumziwa humu ni wale ambao hawapo kwenye mfumo rasmi wa Serikali. .Halafu utakuta walikuwa wanoko makazini wakitegemea kupewa tuzo
Connection ya kuyanunua sasa ndo shuhuliNiliwahi kutaka kununua Nissan patrol mayai kwa milion 7 nikazidiwa ujanja wa watoto wa mjini
Ile gari ilikuwa na shida kwenye mfumo wa mafuta na ilipopelekwa D.T. Dobie makisio yakawa over 20 million kuitengeneza
Kwa kawaida serikali ikishapokea makisio ya namna hiyo huwa hawahangaiki tena kutengeneza kwakuwa ikishaandikwa over 20 maana yake inaweza kufika hata 50M
Basi bwana fundi wa karakana akanimegea siri kwamba ile gari ni nzima kabisa isipokuwa mpira wa mafuta toka kwenye tank kwenda kwenye engine ulikuwa umefinywa kwenye body na chasis, kuna siku walinyanyua body wakati wa kurudisha wakafanya uzembe pipe ikafinywa kidogo
Kwahiyo mfumo wa mafuta ukawa haufanyi kazi vizuri.. Akaniambia matengenezo yake hayazidi elfu 20.. Sikuamini.. Na yeye alikuwa anataka 1m tuu
Chelewachelewa utamkuta mtoto si wako, kusita na kujivutavuta kwangu, nafika eneo la tukio nakuta gari inavutwa, biashara ilishawahiwa . Yule fundi alinichukua mpaka garage moja pale Ilala kushuhudia alichosema...
Huwezi kuamini ndani ya lisaa gari ilikuwa sawa tunapiga nalo misele
Asilimia 90 ya magari ya serikali yanayoitwa mabovu matengenezo yake hayazidi milion 5
Hawa wasahau,tujifunze kuwekeza itufae keshoMkuu hawa sio hao uliowati hilo jina baya; hao wanakula kiinua mgongo na pension juu. Wanao zungumziwa humu ni wale ambao hawapo kwenye mfumo rasmi wa Serikali. .
Tatizo lako ni kuwa na fikra mgando,mna hofu na kisichojulikana. Kwa hiyo tuendelee na hawa hawa mafisadi papa.Itoke ccm alafu waingie hawa?
View attachment 2587602
Mara elfu 10 mafisadi papa kuliko wapumbavu wa ufipaTatizo lako ni kuwa na fikra mgando,mna hofu na kisichojulikana. Kwa hiyo tuendelee na hawa hawa mafisadi papa.
Kuendeleza ushabiki maandazi wa vyama ndiyo maana hawa mafisadi wanapata kibri ya kuifisadi nchi kwa akili kama zako.Itoke ccm alafu waingie hawa?
View attachment 2587602
nchi inahitaji chama kipya kabisa kianzishwe sambamba na katiba mpya maana hata vyama vya upinzani vya sasa ni CCM BMagari mazima kabisa yameegeshwa ili wauziane land cruiser bei ya bajaji. Nchi hii bila CCM kutoka madarakani tutaendelea kuumizwa sana.
Nimesahau kumbe wewe Sukuma Gang,nyie akili zenu ziko matakoni.Mara elfu 10 mafisadi papa kuliko wapumbavu wa ufipa
Tatizo hao wenye kutoa usajili ndiyo hao mafisadi wenyewe chama chenye mwelekeo wa kuwatoa madarakani hakiwezi kupata usajili.nchi inahitaji chama kipya kabisa kianzishwe sambamba na katiba mpya maana hata vyama vya upinzani vya sasa ni CCM B