Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe nenda kafisadi. Huo wivu wako na umaskini utakufa nao.Kuendeleza ushabiki maandazi wa vyama ndiyo maana hawa mafisadi wanapata kibri ya kuifisadi nchi kwa akili kama zako.
Wazungu ndivyo wanaoongoza na UgaidiViongozi wa Afrika akili zao zipo matakoni.
Safisheni kwanza vyoo ndio mtake kuiondoa ccmNimesahau kumbe wewe Sukuma Gang,nyie akili zenu ziko matakoni.
Wewe ni GaidiViongozi wa Afrika akili zao zipo matakoni.
Unashangq gari la mln 200 wakati wao wananunuaga magari mpaka ya mln 400 mzeeThis is extremely sadiest, twende kwenye figures kuwasaidia wabunge wetu wasiopitia tarakimu Ina maana Gari Moja ni million 204, yaani 204,000,000 hii ni aina Gani ya Gari!? Najua Prado Mpya bila Kodi ni 146,000,000/-
Kapelekwa pale ili watu wapige pesa vizuriHuyo ndo Jasmine kairuki,akiwezeshwa ataiweza tamisemi 🤣🤣
Umeambiwa magari yaliyopo ni mabovu? ni matumizi mabaya ya fedha za umma na kutaka kujiuzia magari mengine kwa bei ya kutupwaNingelikuwa waziri maneno haya nisinge thubutu kuyatamka machoni wa watanzania, ningeyaboresha yaliyopo na fedha zingine nikapeleka kwenye mabarabara ya vijijini.
NAKAZIAKwahyo unataka watembelee bajaji
Pale yard tengeneza urafiki na mafundi halafu pata mawasiliano ya TOConnection ya kuyanunua sasa ndo shuhuli
Naona unajichanganya akili Kijana....Magaidi ni Waarab, hii toka mwanzo wa dunia hawa watu ni waharamia na haramu kwa jamii......kuuana kwao ni jadi. We umeona wapi mtu na akili timamu eti anavaa mabomu mwilini kujiliipua na kuua wengine wasio na hatia, kama si ujinga ni kitu gani?Wazungu ndivyo wanaoongoza na Ugaidi