Wakati magari mengine yakitupwa na kutelekezwa, Tamisemi waomba magari ya Bil 16, kununua magari 81

Wakati magari mengine yakitupwa na kutelekezwa, Tamisemi waomba magari ya Bil 16, kununua magari 81

This is extremely sadiest, twende kwenye figures kuwasaidia wabunge wetu wasiopitia tarakimu Ina maana Gari Moja ni million 204, yaani 204,000,000 hii ni aina Gani ya Gari!? Najua Prado Mpya bila Kodi ni 146,000,000/-
 
Nimesahau kumbe wewe Sukuma Gang,nyie akili zenu ziko matakoni.
Safisheni kwanza vyoo ndio mtake kuiondoa ccm
20230404_101045.jpg
 
Hiyo LC200 imechukuliwa leo, wamekuja askari kibao kwa mbwembwe mida ya saa 7 mchana.

Na fununu zinasema ilipotelea mwanza.
 
This is extremely sadiest, twende kwenye figures kuwasaidia wabunge wetu wasiopitia tarakimu Ina maana Gari Moja ni million 204, yaani 204,000,000 hii ni aina Gani ya Gari!? Najua Prado Mpya bila Kodi ni 146,000,000/-
Unashangq gari la mln 200 wakati wao wananunuaga magari mpaka ya mln 400 mzee

Ova
 
Wanaona ufahari kutembelea magari ya bei kali, wakati sio yao?.
Wawakumbuke wagonjwa wanaohangaika kwa kukosa matibabu, kisa hawana pesa.
I'm crying for my lovely country.
 
Ningelikuwa waziri maneno haya nisinge thubutu kuyatamka machoni wa watanzania, ningeyaboresha yaliyopo na fedha zingine nikapeleka kwenye mabarabara ya vijijini.
Umeambiwa magari yaliyopo ni mabovu? ni matumizi mabaya ya fedha za umma na kutaka kujiuzia magari mengine kwa bei ya kutupwa
 
🐕 eat 🐕 world ,unawaza unadhani Kama chui huwa anamuonea huruma ama upendo mtt wa swala asimle Basi akubali kuumia ama kufa njaa.
Pia na swala aumie ili asile nyasi
 
Wanipe tenda nianze ku supply magari please [emoji23][emoji23][emoji23]


IMG_2386.jpg
 
Wazungu ndivyo wanaoongoza na Ugaidi
Naona unajichanganya akili Kijana....Magaidi ni Waarab, hii toka mwanzo wa dunia hawa watu ni waharamia na haramu kwa jamii......kuuana kwao ni jadi. We umeona wapi mtu na akili timamu eti anavaa mabomu mwilini kujiliipua na kuua wengine wasio na hatia, kama si ujinga ni kitu gani?
 
Back
Top Bottom