Wakati Tanzania ipo busy na masuala ya Simba na Yanga, Wakenya wanazidi kutupiga gap. Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000

Issue ni nini unacho kichwani. Hata Urusi wanasoma Kirusi ila wakienda nje still wanahitaji Kiingereza. You cant live and trade without it. It is a necessary element in our international engagements, even if you dont like to admit. Kiswhili tu hakitoshi au hata Kiingereza kama hakuna materials stored in your head.
 
Sisi waswahili we have nothing to do

Ila mabeberu kufanya nao kazi unafanikiwa sio wabinafsi
Waswahili wa Bongo tukitaka kubadirika tunaweza kufanya vizuri zaidi ya hao majirani zetu. We fuatilia BBC, VOA, DW, CGTN, hata KNC wengi wa watangazaji wametoka Kenya, si kwa sababu ni wazuri katika lugha bali upeo wa kujua mambo. Sisi Kiwahili tunakijua vizuri ila hatupendi kupanua upeo wetu wa kujua mambo nje ya yale tuliyokaririshwa Darasini ili tukashinde mitihani yetu. Muda wa kusoma na kupanua upeo wetu wa mambo mengi hatuna kwa kuwa tuko Busy na Simba na Yanga na kushabikia Bongo flavours .
 

Mkuu Mimi sifatilii hizo simba na tanga - how I can attract hizo fursa za kufanya Kazi na mabeberu.
 
Sisi kwetu tumezidi. Hatutaki kusumbua vichwa vyetu. Sisi ni nchi ya amani na utulivu. Yanga leo imeshinda 1-0 hii itakuwa ndiyo story ya whole week na waandishi wetu wa habari hawatafuti tena habari mpya za kuisaidia jamii yetu isipokuwa uchawa nao umewavamia .
 
Sisi tumepeleka wasanii Korea ya kusini,
 
Mkuu Mimi sifatilii hizo simba na tanga - how I can attract hizo fursa za kufanya Kazi na mabeberu.
Kama mpaka sasa hujui namna unavyoweza kupata hizo fursa, hili peke yake linaonyesha usivyokuwa agressive . Wabongo tukisha shiba ubwabwa na maharage tunaridhika. In the early 80s and 70s angalau hata Vijana wa kipindi hicho walikuwa wako radhi hata kuzamia meli ili mradi wafuate fursa nje hata kama walikuwa hawakusoma. This current generation , uchawa na Kamali za betting ya match za mpira inawatosha.
 
Na wengine wanaenda kuleft group maana huko ni ruksa
 



Tulia mkuu sio kila MTU yupo Kama unavyomfikiria wewe utakuwa unafanya motivation
 
Lazy in thinking and less aggressiveness . Tunapenda mambo mapesi mepesi, ndo maana hata tunaporwa na baadhi ya Haki zetu na mamlaka za wananchi wetu. Kenya is a different society
 
Kwa sababu 56% ya wajerumani wanaongea inglishi.
Achana na takwimu zako kutoka unknown sources na wikipedia,
Uliza walio na Experience ya kuishi Ujerumani watakwambia jinsi ilivyongumu kama huwezi kuongea kijerumani. Sipingi uwepo wa wazungumzaji wa kiingereza Ujerumani hata hapa Tz wapo pia shida ni nyinyi kulazimisha watu waongee English kama lugha ya Kwanza mkihisi ndo inafanya watu wapate fursa. Huo ni upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…