Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lets say Mtanzania anaenda China, kafika pale kaona fursa ya kuleta mizigo Watanzania wenzake, kafungua ofisi ya kuleta mizigo anacharge analeta, huyu ni Diaspora, anaisaidia nchi yake bila kuiathiri.Inaanguka na nini? Kwa hiyo diaspora ni ku import workforce?
Wajerumqni walikuwa Tanzania Miaka mingi huko,wameacha alama nyingi hapa Tz,hebu nambie walileta nini kama sio uchuro,Kenya tayari ni koloni la Ujerumani,wamekubali kwa mchina na sasa kwa mjerumani,kwisha habariEndelea kufuatilia kina magoma na kagoma, Wakenya wanaenda kupiga pesa huko nje na kuna fursa zaidi za kujiendeleza kimasomo kupata kazi zenye mishahara mirefu zaidi, connections za kuja kununua maparachichi Tanzania kuyauza Ujerumani, n.k.
Mkuu nadhani wewe ni exposure huna. Duniani kote nchi hutaftia wananchi wake nafasi mahala pengine wakafanye kazi. Wachina wote unaoona Tanzania ni diasporas, nchi yao imewataftia nafasi Tanzania waje kufanya kazi warudishe fedha nyumbani kwa sababu hakuna nchi inaweza kuajiri wanachi wake wote. Kwa akili yako hapo ni workforce exportation, hairuhusiwi.Lets say Mtanzania anaenda China, kafika pale kaona fursa ya kuleta mizigo Watanzania wenzake, kafungua ofisi ya kuleta mizigo anacharge analeta, huyu ni Diaspora, anaisaidia nchi yake bila kuiathiri.
Ila una daktari yupo Hospitali XXX anatoka anaenda Kutibu Ujerumani, hata kama ataleta kiasi fulani cha hela sisi ndio losers.
Mtu kaenda mwenyewe that's one thing, Serikali kufacilitate raia wake iliowagharamia waende huo ni ujinga kiwango cha lami.
Naukizingatia sababu za kihistoria tulitakiwa hili deal au fursa kama hizi Watanganyika tuzifaidiWatanzania wataendelea kupigwa gap na wakenya milele na milele.Sasa mtanzania aende ujerumani atazungumiza lugha gani?lugha za kimataifa watanzania ni sifuri na baadhi ambao wamesoma wanakuwa hawako mahiri wa lugha hizo za kimataifa.
habari ya muda tu.
Tanzania ukweli wanaoukataa wengi ni kwamba lugha inawakosesha sana watz fursa. nasema hayo kama mtu ambaye nafanya kazi nje ya tz. maana hata kazi za unskilled unatakiwa walau ujue kubonga.
Hao wanaojua kukibonga mbona wapo wengi sana, wamesaidia vipi? Angalia interview za KADA ya madaktari, walimu manesi, Sheria nk wote hawa wanajua kubonga kiengereza, je wametafutiwa Fursa nje wakaprove incompetence? Sema serikali yetu Bado imelala ktk kutafuta fursa za ajira nje. Viongozi Wakenya wanapopata fursa za nje wanawakumbuka vijana wao wasio na ajira, na sisi viongozi wajifunze hilo wanapopata fursa za ziara za nje watengeneze deal za ajira wasomi ni wengi wanaishia kujiajiri boda boda na mama ntilie wengi ni graduatehabari ya muda tu.
Tanzania ukweli wanaoukataa wengi ni kwamba lugha inawakosesha sana watz fursa. nasema hayo kama mtu ambaye nafanya kazi nje ya tz. maana hata kazi za unskilled unatakiwa walau ujue kubonga.
Waafrica wengi bado tuna mawazo ya kitumwa.Nimesoma magazeti ya Kenya,habari haiko kama ulivyoiweka.
Kwanza kwenye makubaliano hayo hakuna idadi yoyote ya wanufaika iliyotajwa.
Pili,ni Mpango wa mabadilishano (Exchange program) kati ya Kenya na Ujerumani.Ni Mpango wa nipe nikupe.
Wamepigwa Mnada Kwa bei gani?
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Makubaliani ni kuingiza skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k) na semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
Harafu wanakenua wakati wamepigwa bei 😆😆new slave trade mode
Aibu 😆😆👇👇Ni Ruto aliwaombea kazi wakenya 250000 au ni ujerumani ndio imeomba msaada wa kupatiwa wafanyakazi 250000 kutoka Kenya ?
Kuna kazi zenye taaluma kubwa Kama sayansi, tehama, uhandisi nk na kazi zenye taaluma ndogo Kama udereva malori na mabasi nk
Mpira una nafasi ndogo sana kwenye maisha ya watu wa nchi hizo ndio maana si ajabu kukuta mapinduzi, maandamano taifa zima mambo yanapoenda mrama, n.k. Mpira ni mambo ya ziada tuUnajua mawazo na akili ndogo ziache huko kwenye family. Unachoongea sio kweli . Mbona Egypt imeendelea kiuchumi na kuna Zamaleik na Ahly na Pyramid. Mbona Morroco imeendelea na kuna timu kubwa tu. Mbona South African imeendelea na kuna Mamelod na Kaiser Chiefs. Uliochoongea ni uongo uongo.
Achana nayo waende kwanza nchi za magharib sio za kuziamin sana ,,utashangaa wanarud wanaanza kuhamasisha ushoga na usagaji
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Makubaliani ni kuingiza experts sio vibarua, kundi la kwanza ni skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k), kundi la pili ni semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
Achana nayo waende kwanza nchi za magharib sio za kuziamin sana ,,utashangaa wanarud wanaanza kuhamasisha ushoga na
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Makubaliani ni kuingiza experts sio vibarua, kundi la kwanza ni skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k), kundi la pili ni semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
Lakini walio wengi walikuwa bado wanaishi ndani ya mipaka ya nchi ya Rwanda kwa hiyo walikuwa wanajua Kifaransa.Na zaidi ya hapo wengi walioishi ukimbizini Uganda na Bongo walikuwa kwenye English speaking countries na kifaransa hawakuwa wanakijua Kwani wengine walizaliwa Uganda au Bongo.
Sasa yeye na supporting staff aliokuja nao, inakuwaje hapo. Nao walikuwa English speaking placesLakini walio wengi walikuwa bado wanaishi ndani ya mipaka ya nchi ya Rwanda kwa hiyo walikuwa wanajua Kifaransa.
Tuache Watanzania tuishi maisha yetu; usitulazimishe kuipenda CHADEMA
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Makubaliani ni kuingiza experts sio vibarua, kundi la kwanza ni skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k), kundi la pili ni semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
- Baadhi ya pesa wanazopata ujerumani zinarudi Kenya, mfano mdogo kutuma euro 500 nyumbani kila mwezi, ni kiasi kidogo ujerumani lakini kwetu ni shilingi milioni 1 na nusu, ni ada ya mwaka mzima chuoni, si haba ni mtaji wa kuanza biashara , n.k.
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
Fake news
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Makubaliani ni kuingiza experts sio vibarua, kundi la kwanza ni skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k), kundi la pili ni semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
- Baadhi ya pesa wanazopata ujerumani zinarudi Kenya, mfano mdogo kutuma euro 500 nyumbani kila mwezi, ni kiasi kidogo ujerumani lakini kwetu ni shilingi milioni 1 na nusu, ni ada ya mwaka mzima chuoni, si haba ni mtaji wa kuanza biashara , n.k.
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.
Watu laki 2 na nusu? Serikali ya Ujerumani imekanusha hiyo taarifa. And the proof is here 👇👇👇👇👇👇
Natumaini mu wazima humu, ni siku nyingine tukiwa bado tunasubiri muafaka wa mchezaji Kagoma kama atabaki Simba au atarudi Yanga, Mzee wetu magoma na yeye ni mpaka kieleweke !!,
Anyway tukirudi kwenye kichwa cha habari, Ujerumani imekubali kuwapokea Wakenya 250,000 na kuwapa nafasi za kufanya kazi nchini humo.
Makubaliano hayo yamefikiwa kati ya Rais William Ruto na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Makubaliani ni kuingiza experts sio vibarua, kundi la kwanza ni skilled workers (mfano wahandisi, it, wahasibu, madaktari, walimu, n.k), kundi la pili ni semi skilled workers (mfano madereva, wapishi, reception, store keeper, n.k)
Tayari madereva Watano toka Kenya wamefika kwenye mji wa Flensburg Ujerumani kupitia mpango huu. (Maderva hulipwa wastani wa euro 14 / shilingi elf 42 kwa saa)
Lugha kuu ujerumani ni kijerumani lakini asilimia 56 ya watu Ujerumani wanaweza kuongea kiingereza, ni sawa na kwenda Uganda unaweza usijue lugha yao ya kiganda lakini ukijua kiingereza inasaidia, inakuwa rahisi zaidi kujifunza kijerumani taratibu unapojua kiingereza.
Faida..
- Fursa za kujiongeza kielimu na kupata kazi zenye mishahara ya kizungu (Mwalimu analipwa milioni 8 kwa mwezi)
- Kupunguza tatizo la wahitimu wengi wasio na ajira Kenya, hata kwenye ajira za kiswahili mfano walimu wa kiswahili na watangazaji wa vituo vya Idhaa za Kiswahili kama BBC na DW, wakenya ni wengi na wanaenda kujazana zaidi.
- Baadhi ya pesa wanazopata ujerumani zinarudi Kenya, mfano mdogo kutuma euro 500 nyumbani kila mwezi, ni kiasi kidogo ujerumani lakini kwetu ni shilingi milioni 1 na nusu, ni ada ya mwaka mzima chuoni, si haba ni mtaji wa kuanza biashara , n.k.
- Kupata connections za biashara za kimataifa, Mfano kununua maparachichi Tanzania kwa mia mbili, kuyauza ujerumani kwa elf 5.
- Diaspora inazidi kupanuka, baadhi ya sehemu kunakuwa na vijiji / mitaa iliyojaa wakenya
- Inakuwa rahisi kwa wakenya kuingia ujerumani wakiwa na ndugu, marafiki na jamaa waliojaa nchini humo.
- Wakenya kupata fursa za kutumia vipaji kupata pesa zaidi, Kuna vijana wadogo ujerumani wanacheza mpira wanakunja milioni 200 kila wiki.
- n.k.