Wakati watoto wa masikini mnabishana kuhusu Simba na Yanga, matajiri na marafiki zao wanasiasa wanawagawia ajira nzuri watoto wao

Wakati watoto wa masikini mnabishana kuhusu Simba na Yanga, matajiri na marafiki zao wanasiasa wanawagawia ajira nzuri watoto wao

Nawakumbusha tu vijana.

Kuwa wakati nyie mnabishana kuhusu Simba na Yanga au Liverpool na Man U wanasiasa pamoja na marafiki zao matajiri wanagawanya ajira nzuri nzuri na kuwapatia watoto wao.

Nyie endeleeni kusubiri ajira zile za kukaripiwa na madiwani, ma DAS, ma DED, ma DC n.k, nako hizo zenyewe hamzipati.
Umenikumbusha vitabu vya ushairi

WASAKATONGE
MALENGA WAPYA

Kwa Sasa +267
 
Nawakumbusha tu vijana.

Kuwa wakati nyie mnabishana kuhusu Simba na Yanga au Liverpool na Man U wanasiasa pamoja na marafiki zao matajiri wanagawanya ajira nzuri nzuri na kuwapatia watoto wao.

Nyie endeleeni kusubiri ajira zile za kukaripiwa na madiwani, ma DAS, ma DED, ma DC n.k, nako hizo zenyewe hamzipati.
Hahaha!! Naiona point kwenye hoja yako aice, sijui nani Bora Kati ya Ali kiba na Diamond, ukiludi kule mandonga mtu kazi ilimradi tu kupoteza MDA, Ila mkuu ungetoa na ushauli nini hasa ulidhamilia kufikisha hasa.
 
Mada yako haina mashiko umeshindwa kujibu maswali ya wadau, basi tuache na timu zetu za dabi
 
Thats the hard truth... masikini wachache sana tutatoboa dunia hii...
Matajiri wanajua hilo ndo maana wanalinda utajiri na vizazi vyao visitoke kwenye huo mfumo... maana kuingia ni bahati nasibu sana ukiwa nje...
 
Back
Top Bottom