Uongo sasa hivi watu wanajisomesha wenyewe hawasomeshwi na serikali90% ya Wasomi Afrika husomeshwa kwa pesa ya serikali au hutumia miundombinu ya serikali. Lengo la kuwasomesha watu sio kwa ajili ya kuajiriwa tu, ni kutengeneza watu wenye uwezo wa kufanya kazi kwa ubora na ufanisi popote pale, hasa katika private sector.
Serikali ya Tanzania kwa sasa haisomeshi.watu vyuoni wanajidomesha kwa mikopo ambayo watailipaSo wasomi wote wameajiriwa hapa? Pili notion ya kwamba watu wanasomeshwa na serikali mnaioata wapi?
Nchi changa ni ipi? Labda South Sudan. Lakini zingine kama Tanzania, haziwezi kuwa changa. Nchi yenye umri wa miaka 62 haiwezi kuwa changa. Ni Rika moja na South Korea.Mkuu, serikali lazima iwe na uwezo wa kudhibiti watu wake kutoka nje ya nchi, Kama ambavyo ni lazima kudhibiti raia wa nchi nyingine kuingia nchini kwake, hakuna serikali yoyote yenye kuacha watu wake hasa kwa hizi nchi changa ambazo watu wake wengi hawana ajira, ni rahisi Sana hawa vijana kwenda na kufanya uhalifu katika nchi za watu, sio sifa kwa nchi kuonekana raia wake ndio wanafanya uhalifu kwa wingi katika nchi za watu wengine.
Nitakubaliana na wewe Kama utailaumu serikali kwa kushindwa kuwasaidia vijana wake kuweza kujiajiri lakini sio kufikiria kuwapa passport kirahisi Ili wakajazane South Afrika kuuza madawa na kuvunja Nyumba za watu.
Mkuu, hao wanaohitaji na kukosa passport hawazidi laki 5, ni chini ya 0.5% ya watanzania wote. Hapa JF sidhani Kama tunazidi watu laki Moja, na wanaolalamika kuhusu passport hawazidi hata elfu 1.
Mkuu, nchi lazima ifanye kazi kwa kutumia taarifa zilizofanyiwa kazi. Bei ya Passport Moja ni zaidi ya Tsh 50,000 ni "source nzuri sana ya kupata pesa kwa uhamiaji, hawana sababu yoyote ya kuzikataa pesa nyingi kiasi hicho, wangekuwa wabinafsi wangeamua kuzitoa hovyo passport Ili wakusanye mapato, lakini ni hatari Sana kwa usalama na heshima ya nchi, zingeangukia mikononi mwa raia wa nchi nyingi na mwisho passport yetu ingepoteza thamani.
Mkuu, Passport ya Tanzania enzi za Nyerere ilikua na nguvu sana, lakini kadri miaka inavyozidi kwenda inapoteza nguvu kutokana na vitendo vyetu vya kujihusisha na hasa madawa ya kulevya na vijana wetu kushiriki ktk mambo maovu ukiwemo ugaidi, lazima passport idhibitiwe kwa nguvu zote
Mkuu, NIDA na PASSPORT zote ni ID katika ngazi tofauti.Sasa upewe passport huna safari, Ya nini? ID card ndo haki yako!
Kwa nini tuende mbali?Developed nations wao wanafanya aje?
Tunajifunza from the top level.
Sera ya ujamaa ilifanikiwa kuwapumbaza wengiKwani safari inaaga. Mbona leseni mnapewa bila magari. Wtz wengi mna backward thinking.
Mkuu, unaishangaza dunia kwa huo mtazamo. Ni North Korea pekee ndiyo inaweza ikakubaliana na mtazamo wako, kwa kuwa haipendi raia wake wajue jinsi Dunia inavyoenda. Kule watu "wanafugwa" na "kutumikishwa" kwa maslahi ya watawala.Mkuu, ni jukumu la serikali yoyote kuwapatia maisha bora watu wake, sio kuwaacha na kusababisha uhalifu kwa majirani. Baba yeyote mwenye hekima hawezi kushindwa na watoto wake na akawaruhusu kwenda kuiba na kufanya fujo kwa Nyumba ya jirani.
Nchi yenye kujielewa, kamwe haiwezi kuwasaidia raia wake kwenda kuishi katika nchi za watu bila shughuli maalumu, huko ni kupeleka uhalifu kwa majirani zako.
Mkuu, nchi hii Kuna watu wengi wazuri wenye hekima, elimu na busara nyingi ukiwemo wewe, lakini Kumbuka hauko peke yako, wengi wameona si busara kutoa passport bila kudhibiti, ila wapo wenye maoni Kama wewe, lakini kwa bahati mbaya wenye mawazo Kama wewe mpo wachache, au hamjashika madaraka, kwahiyo utalazimika kukubaliana na walio wengi au waliopo madarakani, ila unaruhusiwa kutoa maoni yako.
Mkuu, inaelekea hata Kenya bado hujafika. Hakuko hivyo kama unavyofikiri. Ina wasomi wa kutosha na ziada, ndiyo maana Serikali yake inafanya jitihada kuwatafutia raia wake kazi katika mataifa mengine.Kenya imeathirika pakubwa Sana kwa kuruhusu watu wake kutoka kwa wingi bila udhibiti;
1)Wasomi wengi na wataalamu wazuri wameikimbia Kenya wako nje ya nchi Yao, matokeo ni haya ya uchumi wao kuporomoka kwa Kasi kwasababu waliobaki Kenya ni wale wa daraja la chini, majumba yanaporomoka Kila siku na miradi Yao yote ipo "poorly done".
2)Wasichana wa kikenya wengi wanatumikishwa Kama watumwa, wengi wanauliwa huko Uarabuni, thamani ya raia wa Kenya huko Uarabuni ipo chini Sana.
3)Kiusalama huko ndio usiseme kabisa, wasomali wote wako na Passport ya Kenya, wakitaka kuingia na kufanya unyama ni kitu Cha kawaida Sana. Hoja ya kukosekana usalama Kenya kuhusisha na kupakana na Somalia au South Sudan, mbona Ethiopia yenye kupakana na nchi hizohizo haina tatizo la Kiusalama?, Mbona Uganda imepakana na DRC na South Sudan lakini haina hilo tatizo?
Lakini milango iko wazi kwa kila anayehitaji. Hawana urasimu kama wa Tanzania.Hata nchi walizoendelea passport si kila mtu anayo! Huko Kenya unapouliza ni hivyohivyo pia!
Nimekubali sera ya ujamaa na ukomunisti hupofusha fikra.Idadi ya vyuo vikuu Japan ni zaidi ya mara 100 ya idadi ya vyuo vya Kenya, iweje Kenya iwe na Wasomi wengi wa kuwapeleka Japan?, tulitegemea iwe kinyume chake. Kenya Kuna shida, hiyo nchi viongozi wao wanafikiria kinyumenyume Sana
Kenya pamoja na kuwa na Diaspora kubwa, lakini bado hawana "Foreign currencies", uchumi wao unazidi kuzorota, unemployment ndio kubwa kuliko nchi zote na inazidi kuongezeka.
Conclusion: Jibu la matatizo ya Kenya lazima wajenge uchumi wa ndani kwa kutumia Wasomi na raia wao Ili watengeneze ajira, sio kuwapeleka nje ya nchi huku nyumbani wanabaki "less Qualified people "
Sio kutaka kusafiri tu uonyeshe vithibitisho kama kweli unataka kusafiri among them barua ya mwaliko. Kinyume na hapo utumie madalali uhonge.Nashangaa these guys wanasema tz unapaswa ku apply ukiwa unataka kusafiri
Kenya imekuwa ranked poorly kwa sababu inapakana na Somalia,Ndio sababu Kenya is ranked poorly on security, Globally Tanzania is ranked position 54, while Kenya 125.
Serikali haisomeshi, bali inatoa mikopo tena kwa baadhi tu.90% ya Wasomi Afrika husomeshwa kwa pesa ya serikali au hutumia miundombinu ya serikali. Lengo la kuwasomesha watu sio kwa ajili ya kuajiriwa tu, ni kutengeneza watu wenye uwezo wa kufanya kazi kwa ubora na ufanisi popote pale, hasa katika private sector.
Muwekezaji yeyote anapotaka kuwekeza nchini lazima achunguze kuwepo kwa skilled people, Sasa Kama skilled people wako nje ya nchi na waliobaki ni "semi skilled", unategemea kupata uwekezaji wa maana kweli?
Sahihi serikali ya Kenya karibuni imeingia makubaliono na serikali ya ujerumani kupeleka wafanyakazi wakenya 250,000 kwenda ujerumani kujaza nafasi mbalimbali zilizo wazi ujerumani na wamekubakiana mafunzo ya lugha ya kijerumani yaanze Kenya ili kuwaanda watakaoenda kufanya kaziMkuu, inaelekea hata Kenya bado hujafika. Hakuko hivyo kama unavyofikiri. Ina wasomi wa kutosha na ziada, ndiyo maana Serikali yake inafanya jitihada kuwatafutia raia wake kazi katika mataifa mengine.
Serikali ya watu wanaojitambua.Sahihi serikali ya Kenya karibuni imeingia makubaliono na serikali ya ujerumani kupeleka wafanyakazi wakenya 250,000 kwenda ujerumani kujaza nafasi mbalimbali zilizo wazi ujerumani na wamekubakiana mafunzo ya lugha ya kijerumani yaanze Kenya ili kuwaanda watakaoenda kufanya kazi
According to President William Ruto of Kenya, an agreement between Kenya and Germany is in the works and may see Berlin welcome Kenyans to fill some of the 250,000 unfilled positions to help the European country's enormous labor need.
Chancellor Olaf Scholz of Germany and President Ruto of Kenya relayed the information during a joint news conference from the State House in Nairobi.
According to the deal, the European nation would take in more professionals, skilled workers, and semi-skilled Kenyans. Nairobi wants Berlin to reconsider and relax immigration restrictions so that Kenyans can work in Germany in order to make this possible.
Source: Media za Kenya
Kama umesoma, katika harakati zako zote za kusoma kwako hadi level uliyofika, KUNA PAHALA ULIKUBALIANA NA SERIKALI KWAMBA UTAKUJA KUFANYA KAZI SERIKALINI BAADA YA KUSOMA KWA KODI ZINAZOKUSANYWA NA SERIKALI? Haya, serikali imekaa miaka mingapi haijaajiri mtu, wale wahitimu wafanyeje? Kuna wakati tuwe waharisia tuachane na nadharia..!!Tatizo ni pale wanapotumia pesa ya serikali Kisha wanatoroka, Sasa vipi unataka serikali ijitathimini?.
Hivi wewe ukimsomesha msichana kwa lengo la kuja kumuoa aje kuwa mkeo na mlikubalian hivyo,lakini mara tu baada ya kumaliza chuo, akamuona jamaa anaishi maisha mazuri kukuzidi wewe akaamua kuachana na wewe na kwenda kuolewa na huyo jamaa mwengine, tatizo liko kwako au kwa huyo msichana?
Unazungumzia wasomi majobless? Yaani mtu amalize chuo leo, halafu amsubiri mwekezaji miaka minne bila ajira..!!!Swali lako halijakaa sawa. Ninalotaka kusema ni kwamba, nchi ikiwa na Wasomi wengi ni miongoni mwa vivutio vya uwekezaji nchini, Kama Wasomi wako unawaacha waende nchi zingine, wawekezaji wengi hawatopenda kuja kuwekeza kwasababu atakosa watu wa kufanya kazi zake, haiwezikani muwekezaji kuja na wafanyakazi 200 toka nchini kwake
Kumbe unafahamu hilo. Inawezekana na wewe uko kwenye system. Kama kuna mahali mmekwama, mseme msaidiwe. Kuna Watanzania wengi wenye mawazo mbadala na wako tayari kuyatoa bure, bila kudai malipo yo yote.Mkuu, nchi hii Kuna watu wengi wazuri wenye hekima, elimu na busara nyingi ukiwemo wewe...
Unafahamu kuwa Tanzania kuna maelfu ya watu ambao tokea wahitimu Vyuo zaidi ya miaka kumi iliyopita, hawajapata ajira mpaka sasa?90% ya Wasomi Afrika husomeshwa kwa pesa ya serikali au hutumia miundombinu ya serikali. Lengo la kuwasomesha watu sio kwa ajili ya kuajiriwa tu, ni kutengeneza watu wenye uwezo wa kufanya kazi kwa ubora na ufanisi popote pale, hasa katika private sector.
Muwekezaji yeyote anapotaka kuwekeza nchini lazima achunguze kuwepo kwa skilled people, Sasa Kama skilled people wako nje ya nchi na waliobaki ni "semi skilled", unategemea kupata uwekezaji wa maana kweli?
Unafahamu kuwa Tanzania kuna maelfu ya watu ambao tokea wahitimu Vyuo zaidi ya miaka kumi iliyopita, hawajapata ajira mpaka sasa?90% ya Wasomi Afrika husomeshwa kwa pesa ya serikali au hutumia miundombinu ya serikali. Lengo la kuwasomesha watu sio kwa ajili ya kuajiriwa tu, ni kutengeneza watu wenye uwezo wa kufanya kazi kwa ubora na ufanisi popote pale, hasa katika private sector.
Muwekezaji yeyote anapotaka kuwekeza nchini lazima achunguze kuwepo kwa skilled people, Sasa Kama skilled people wako nje ya nchi na waliobaki ni "semi skilled", unategemea kupata uwekezaji wa maana kweli?