Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Mkuu nimekuwa nikipitia threads zako humu....wewe ni CHADEMA die-hard na uko kwa ajili ya mabadiliko. Hongera sana....ila nina maswali kwako.mkuu hii Id yako nimeiona kwenye kidaftari cha Id za mchongo , hivi ni kweli ?
Ulishawahi kuyatazama maisha in the other way round nje ya siasa zetu hizi za maji taka na wanaharakati uchwara?
Do you think everything is all about CCM vs CHADEMA?