Acha ujinga wewe chawa!Ana kura ya veto? Halafu kibatala, ka bangi ka nini? Na wewe pia ni mteja wa madada wa Nawanda, interns wako unawalipia mpaka tiketi za ndege ukafanye unawanda, chumba kizima kikinuka bangi. Smart outside, evil inside.
He calls himself rasta, yes, we know why!
Machawa hawaelewi kitu chochote wanaleta Tanzania!
Nilipo msoma "msomi Kibatala" akilia kama mtoto kuhusu hili la wanasheria nao kuingiliwa na wasijue la kufanya...!Kibatala yuko sahihi kabisa, kama wanasheria watashindwa kujitetea wenyewe, wataweza vipi kututetea sisi tusiojua sheria? Ni vyema mawakili kwa wingi wao wasusie huo mkutano ili kupata haki ya mwenzao.
Nina bahati mbaya ya kukutana na wewe, na kila ninapokutana nawe karibu mara zote sikubaliani nawe.walisusa uchaguzi akina Raila amolo Odinga na hayati Maalim Seiph Sharif Hamad na hawakusaidika na chochote,
wew nan bana na wakati kuna mawakili wengine wengi hawatashiriki kwa sababu zao binafsi muhimu na wapo kimya, hawajivuni na wala hawasemi chochote π
hiyo dhoruba labda inawanyemelea wengine, na mimi kamwe siwezi nyemelewa, kwanza unanionaje π€£Nina bahati mbaya ya kukutana na wewe, na kila ninapokutana nawe karibu mara zote sikubaliani nawe.
Hiyo historia ya Raila inaonekana huijui. Mengi ya yanayotokeandani ya nchi hiyo leo, Raila alihusika kwa njia moja au nyingine; na nchi hiyo sasa hairudi nyuma tena. Ndiyo maana unamwona Ruto ambaye yeye alikuwa kila mara upande wa pili, leo hii kanyooka kama rula. Atashukuru sana kama tsunami inayo endelea atabaki salama.
Leo wewe hapa unajiliwaza na kipi hasa wakati unaona wazi kabisa dhoruba inawanyemelea?
kuna ubaya au kasoro yoyote kwa mfano au ndio kutoa la moyoni hivyo lililokukaba π
Kuna wakati unakuwa mjinga kweli, hadi unatia huruma!Ruto hawezi tishwa na bandits bana, yeye hata 60 yrs hajafka yanini kupambana na watu wasio jielewa wala kujitambua, leo wanadai mageuzi haya wakipewa kesho wanabidii madai mengine, useless kabisaaaa π
Haya mengineyo ni takataka zile zile ambazo huwa sina muda nazo.hiyo dhoruba labda inawanyemelea wengine, na mimi kamwe siwezi nyemelewa, kwanza unanionaje π€£
kwanza hata ukiniwazia tu, achilia mbali kuniona,
mimi ni mekaa kama mtu wa kunyemelewa kweli?, kwamba kuna anae weza kuninasa, thubutu wewe
binafsi hata uwe na mihemko namna gani siwezi babaika nayo coz ni yako mwenyewe kwangu ni useless na nonsense πKuna wakati unakuwa mjinga kweli, hadi unatia huruma!
Ina maana huelewi chochote kinacho endelea nchi jirani? Huji walipo anzia na hapa walipo sasa? Hujui Ruto wa miezi michache tu iliyo pita siyo huyo Ruto unayemmfikiria akilini mwako?
Siwezi kukutoa ujinga endapo hali hiyo ndiyo inayo tuliza akili zako.
Haya mengineyo ni takataka zile zile ambazo huwa sina muda nazo.
maskini dah π"Legal English" ya Kibatala Imetulia sana. Safii
Mbona mkisikia inside information za nanihilu mnaandamana nchi nzima? Hivyo kwa nini uogope inside information toka Los Angeles lakini uone za hapa ni sawa?Inside info....akibisha tunayamwaga
Kwa hiyo huoni mafanikio ya Gen.Z huko π°πͺ? Basi uwezo wako ni mdogo mno! Au brain yako imeganda.binafsi hata uwe na mihemko namna gani siwezi babaika nayo coz ni yako mwenyewe kwangu ni useless na nonsense π
hilo moja,
lakini la pili, nadhani gen z waliadabt mihemko ya kibongo kidogo kama yako na wakapoteze directions completely...
wakawa sasa majambazi tu....
sasa baada ya kuvurunda kwa taama na njaa zao za kuvunja na kuiba mali za watu,
wana mbwelambwela tu hawajui ni nini cha msingi waanze nacho kudai tena, nini kisubiri, hawana alternatives plans, fikra na akili zimefikia ukomo wa kufikiria, yaani kama wewe kalamu tu, unae anza kufanya mazoezi ya kuporomosha matusi, kwa vitu ambavyo unajifanya unavijua kumbe huvielewi π€£
gen z hivi sasa wanagawanyika kwa kuanza kukataana wao kwa wao, wengine wanadai hawana viongozi wengine wanadai wao ndio viongozi wao π€£
wengine Ruto must go now, wengine Ruto must not go now π€£
wengine wanadai kumpeleka nyumbani uchaguzi mkuu 2027, wengine hadi 2032,
Gen z wengine kiongozi wao ni makamu wa Rais RigGy , wengine kiongozi wao Uhuru Kenyatta π
kalenjini wanasema tutamlinda mtoto wetu, wakikuyu wanasema wanataka kuheshimiwa π
sasa hapa unakuja kusema eti Ruto kanyooka kama rula π
zigzag Crew kama hiyo itamyoosha nan sasa aise....
kiufupi ni kwamba hata uchaguzi ufanyike leo still Ruto atashinda kwa kishindo...
na huyo wakili kugomea uchaguzi, kwani yeye nani bana, asuse watu wengine waendelee na taratibu nyingine π
Kuna kuku kibao zikivushwa mpaka kwenda huko Ke nina hakika zote zingechinjiliwa mbali na Gen-ZKwa hiyo huoni mafanikio ya Gen.Z huko π°πͺ? Basi uwezo wako ni mdogo mno! Au brain yako imeganda.
Mabadiliko ya Kibajeti yaliyotokea kwa muswada wa sheria ya fedha kutokuwa signed huyaoni?
Ofisi ngapi zisizo na tija zimefungwa? Ununuzi wa vitu vya fahari kama magari huoni umezuiwa? Vijana wale ndio wazalendo wa Kenya, laiti nasi tungezaa wa hivyo! Ingekuwa kheri sana
Kibatala's english is immoral and grammatically incorrect. It is a plain english which should have been written by a bush lawyer not a real lawyer.Katika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (Tanganyika Law Society -TLS), utakaofanyika Agosti 2, 2024, Wakili Msomi Peter Kibatala ametishia kususia Uchaguzi huo ikiwa Wakili Boniface Mwambukusi hatarudishwa kwenye orodha ya Wagombea
Soma; Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Wakili Kibatala amesema βUkweli ni kwamba nisingempigia kura Mwabukusi. Ningempigia kura Wakili Paul Revocatus Kaunda, lakini kama jina la Wakili Mwabukusi halitarejeshwa kihalali katika orodha ya Wagombea wa Urais, nitasusia mchakato wa Uchaguzi wa TLS, na Mkutano. Huu hautakuwa utovu wa nidhamu; ni uamuzi wa kibinafsi. Nitalipa ada zangu, lakini nitasusia mkutano.β
Ameongeza βItakuwa pia mpango binafsi kwa yeyote ninayeketi naye kuwashawishi kufuata nyayo zangu. Wakati huo huo; 1. Nitaungana na Mwabukusi katika hatua zozote za kisheria anazoweza kufuata. Hakuna Uchaguzi halali wa Urais wa TLS unaoweza kufanyika katika mazingira haya.β
Pia soma; Mwabukusi afungua kesi kupinga maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya TLS kumuengua kugombea Urais wa TLS
Aidha, amemalizia kuwa βWaachwe wanachama wachague: sisi ni WANASHERIA. Sisi ni ngome ya mwisho. Hapana.β
wamekubaliana wap hilo?πKwa hiyo huoni mafanikio ya Gen.Z huko π°πͺ? Basi uwezo wako ni mdogo mno! Au brain yako imeganda.
Mabadiliko ya Kibajeti yaliyotokea kwa muswada wa sheria ya fedha kutokuwa signed huyaoni?
Ofisi ngapi zisizo na tija zimefungwa? Ununuzi wa vitu vya fahari kama magari huoni umezuiwa? Vijana wale ndio wazalendo wa Kenya, laiti nasi tungezaa wa hivyo! Ingekuwa kheri sana
Jenga hoja na jadili kilichosemwa mkuu, acha hizo personal attack.Ana kura ya veto? Halafu kibatala, ka bangi ka nini? Na wewe pia ni mteja wa madada wa Nawanda, interns wako unawalipia mpaka tiketi za ndege ukafanye unawanda, chumba kizima kikinuka bangi. Smart outside, evil inside.
He calls himself rasta, yes, we know why!
Na hata akibaki salama atakuwa amejifunza sana na atawaheshimu sana wapiga kura. Hizi dharau hata hapa bongo zimetamalaki sana kwa watawala. Wanawaona wananchi kama mazuzu tu, wanafanya wanavyotaka bila hofu yoyote.Nina bahati mbaya ya kukutana na wewe, na kila ninapokutana nawe karibu mara zote sikubaliani nawe.
Hiyo historia ya Raila inaonekana huijui. Mengi ya yanayotokeandani ya nchi hiyo leo, Raila alihusika kwa njia moja au nyingine; na nchi hiyo sasa hairudi nyuma tena. Ndiyo maana unamwona Ruto ambaye yeye alikuwa kila mara upande wa pili, leo hii kanyooka kama rula. Atashukuru sana kama tsunami inayo endelea atabaki salama.
Leo wewe hapa unajiliwaza na kipi hasa wakati unaona wazi kabisa dhoruba inawanyemelea?
Ulishazoea machawa wanaongea Kwa kujikomba Kwa watawala!Mi nikimtazama yule jamaa naoma kama.elimu imevamiwa na wahuni mbumbumbu kabisa. Mara nyingi anaongea natoa mate na kulowanisha waliokaribu naye halayo pointless.
Sijui nyinyi mnamuonaje.