Wakili Kibatala: Nitasusia Uchaguzi was TLS kama Mwabukusi asiporudishwa kwenye orodha ya Wagombea

Hii ni kwa sababu wanaosoma hgl au masomo ya arts mara nyingi ni vilaza. Huwezi kukuta bright ambaye anasoma arts. Wale wanaoshindwa physics, chemistry na biology, arts inakuwa kimbilio
Sio kila aliesoma law amesoma arts usiishi kwa kukaririshwa Mambo alafu unajua tatizo ni Elimu yetu tu kimfumo ulivyo ndio inatufanya tuwe na hii mentality but in reality ni kwamba Wewe unaweza piga certificate yako hapa ya Chemistry ukaenda uingereza ukachukua master's ya Sheria kwa kufuata muongozo tu unavyotaka haijarishi umeaomea nini Dunia sasa hivi imeshavaa gauni Ile sketi imeshaivua kitambo
 
Wewe ni bwege mmoja tu unayeshibishwa huko CCM sina muda tena wa kuhangaika nawe.
Maumivu yanakuja mkuu, natamani sana kukuona ukiwa kwenye hali hiyo inayokuja kwako karibuni.
Takataka zote hizi zitafagiwa tu, hii siyo nchi ya kuchezewa na misukule ya aina yako na wenzako.

Imetosha. Ukinifuata tena, nitakupa muda maalum.
 
Mnajuana vizuri sana
 
WAtu wengine ni kukosa vitu vya kufanya tu sasa itasaidia nini yeye akipinga, mbona alishagombea akakosa
 
Huwa wanashtuka wakiwa wamechelewa na kuziingia nchi kwenye machafuko yasiyo na umuhimu wowote. Hawajifunzi kuwa hata hizo nchi zenye machafuko zilikuwa na utulivu mkubwa sana.
 
Huwa wanashtuka wakiwa wamechelewa na kuziingia nchi kwenye machafuko yasiyo na umuhimu wowote. Hawajifunzi kuwa hata hizo nchi zenye machafuko zilikuwa na utulivu mkubwa sana.
Acheni mambo ya machafuko kamati ya uchaguzi imemtoa kwa sababu za kimaadili sasa watu wachache ndio watuaminishe kuwa eti uchaguzi isiwepo kisa tu watu wao wamekatwa si utoto huo, wao wasishiriki ila wengi watashiriki
 
Acheni mambo ya machafuko kamati ya uchaguzi imemtoa kwa sababu za kimaadili sasa watu wachache ndio watuaminishe kuwa eti uchaguzi isiwepo kisa tu watu wao wamekatwa si utoto huo, wao wasishiriki ila wengi watashiriki
Nadhani hukunielewa tu, tulikuwa tunajadili issue tofauti kabisa na hiyo ya TLS. Tulikuwa tunaongelea habari ya kilichotokea Kenya na jinsi Ruto alivyoamua kuwa mpole. Nimetoa angalizo kwa wanasiasa wetu kwa kuegemea hiyo issue ya Ruto na wala si hao TLS.
 
Muvandimwe ukurikiza amakuru ya Tanzaniya?
 
" We are lawyers for GOD's sake . We are the last bastion ." - This phrase inspires confidence.
Porojo tu hizi ,hayo ni maoni yake binafsi abaki nayo mwenyewe tls aliikuta na ataiacha
 
Kumbe Adv Kibatala ni mchafu kihivyo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…