Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

mweee hela za ukuu wa wilaya zimekata?Kwanini mawakili waombe badala ya mke wake au ndg.?
 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

Wakili aache mzaha kwa watanzania mara moja!
 
Kwanini asichuuze kalio huko gerezani halafu kwani mama hayati si yuko tu hapo Chato akiendelea kunenepeana
 
Kwan zle mali za wizi alizovuna wakati wa yule iblisi kuu kashamaliza?????
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

Ata changiwa na wahuni wenzake walio kuwa wana kula bata wote
 
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.

mahuna, achana nae bwege huyo..anakucholesha tu. akauze magari na mali za watu alizopora alipie huduma ya uwakili.
 
Samia mit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…