- Thread starter
- #81
Duuh! Ni wewe au akaunti yako imehujumiwa?Michango inazidi kumimimika covid 19 wametoa mil 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh! Ni wewe au akaunti yako imehujumiwa?Michango inazidi kumimimika covid 19 wametoa mil 20
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Hana mke yule jambazi eti ana mchumba!mweee hela za ukuu wa wilaya zimekata?Kwanini mawakili waombe badala ya mke wake au ndg.?
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Mchangieni nyie mliojitoa utu mkakosa hata soni/aibu na kushangilia ukatili na ushetani.Achangiwe tu mbona Mbowe alichangiwa?
Umelazimishwa?Mchangieni nyie mliojitoa utu mkakosa hata soni/aibu na kushangilia ukatili na ushetani.
Bashite anapumulia mashine sasa hivi, GSM anataka kumyang'anya jumba huko Dar es Salaam!Bashite ukuje huku kuna ujumbe wako.
Maskini we kijana keshaanza kuteseka?Bashite anapumulia mashine sasa hivi, GSM anataka kumyang'anya jumba huko Dar es Salaam!
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Achangiwe tu mbona Mbowe alichangiwa?
Mbona Mbowe ni katili na muuaji na bado alichangiwa. Najua wachaga wote mmeungana kumshughulikia Sabaya ila hakika atawashinda.
Ata changiwa na wahuni wenzake walio kuwa wana kula bata woteHali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Tayari nimeshatuma laki moja.
#free Sabaya
Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
Lazima alipe asijifanye amefilisika!mahuna, achana nae bwege huyo..anakucholesha tu. akauze magari na mali za watu alizopora alipie huduma ya uwakili.
Samia mitHatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.
Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.
Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA