Wakuu hivi rafiki akifa ndani kwako Sheria inasemaje kuhusu hilo?

Kwanza Una kwenda Lock up kupisha uchunguzi
Sasa siunajua makarao wetu uchunguzi mwaka 1 kwaiyo huo mwaka 1au zaid upo lock up
Sasa ukitoka ndio utakuwa na cha kuadisia

Sasa Usiombe Yakukute
 
Kikubwa utasaidia polisi kufanya uchunguzi/upelelezi. Na hii inaweza ikugarimu hata miaka 5

Ni hatari na nusu!!
 
Sheria kanuni na utaratibu ni kwamba atapelekwa monchuary afu atazikwa,,au ulitaka ulale nae siku inayofuata
 
Safi sana mkuu
 
Ukipokea mgeni yoyote ni shart kutoa taarifa katika uongozi wa mtaa wako tatizo lolote litakalo tokea utakua mtuhumiwa wa kwanza wewe
Jambo la msingi ni kuomba tu yasitukute Mkuu, Hio ya kutoa taarifa, inawezekana katika mazingira flani na haiwezekani katika mazingira mengine mfano umetembelewa na mgeni wa jinsi totauti.unaweza kwenda kutoa taarifa kwa kiongozi kweli.
 
Jambo la msingi ni kuomba tu yasitukute Mkuu, Hio ya kutoa taarifa, inawezekana katika mazingira flani na haiwezekani katika mazingira mengine mfano umetembelewa na mgeni wa jinsi totauti.unaweza kwenda kutoa taarifa kwa kiongozi kweli.

Sheria haiangalii mazingira mkuu ni shurti kufany ivyo basi
 
Umenikumbusha mambo kama haya nilikua nawaza sana hata siku nimelala na dem wangu siku ya kwanza kabsa nilishtuka usiku kumchek kama anapumua ndo nkarudi kulala
 
Kama hakuna mwenye ushahidi kwamba alikuja kwako na una nyumba ya fensi na una gari, weka kwenye buti.. kuna misitu na mapori mengi ya kutupa.

Hiyo ndo njia 'salama' kuliko zote.

Otherwise, 'justice' system ya TZ 'itakushughulikia' kwenye 18 zake.
Okay..Tuassume hakuna aliyemuona anaingia ndani kwako..lakini kabla ya kukutana ulikuwa unachat naye mkutane na kuwasiliana naye kwa simu....Sasa hata ukimtupa mtoni hawawezi kufuatilia mitandao ya simu wakajua watu aliokuwa anawasilina nao wa mwisho wakakudaka?
 
Kama hakuna mwenye ushahidi kwamba alikuja kwako na una nyumba ya fensi na una gari, weka kwenye buti.. kuna misitu na mapori mengi ya kutupa.

Hiyo ndo njia 'salama' kuliko zote.

Otherwise, 'justice' system ya TZ 'itakushughulikia' kwenye 18 zake.
Ohooo!! Kumbe hukumuona jamaa alikuwa anachungulia kwenye upenyo wa geti , kisha huyooo kwa mwenyekiti wa mtaa!! Mkuu utanyea Dene mpaka awamu ya kumi!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…