Wakuu hivi rafiki akifa ndani kwako Sheria inasemaje kuhusu hilo?

Vipi mkuu,

Mmepanga na rafiki yako aje kufia ndani a ghetoni kwako?

Siku akifia kwako ndio utajua sheria inasemaje. Mwite tu aje afe.
 
Unakuwa mtuhumiwa, utakuwa na kazi sana ya kujieleza mpaka ueleweke
 
Andika taratibu punguza wenge jambo dogo tu hilo hapo ndani kwako si una safleti au busati? Si ndio?
Mnyongorote Kama mzgo kamtupe mtoni au baharini vaa gloves ili finga print zako zisijichore

Au Kama umemgusa eneo lioshe na sprit hata vidole vioshe na sprit hasa ile methyl ya kunyolea ndo nzuri

Ukifika huko mtoe kwenye mzgo mbebe mrushe kwenye maji ionekane alizama tu Kama pattern yake ya simu unaijua ingia kweny call history futa namb yako na mbili za nyuma tuu halafu jaribu kudial namb yeyote kweny phone book yake bila kusahau kutuma message ya salamu kwa ndugu

Halafu vaa gloves osha simu na sprit iweke kweny mfuko wake mtupe kweny maji tubwiii
 
Tunakuacha uteseke

Vyovyote itakavyokua, lazima uingie misukosuko. Vipimo vya kitaalam na ushahidi wa mazingira ya sababu za kifo ndio vitakunasua au kukupunguzia kadhia.

Ina maana hata kama hana jeraha na wala hakuna kinywaji aidha pombe au simu yoyote aliyokunywa mkuu...?

Na vipi kama ukawasiliana na ndugu zake kuwajulisha kwanza au ni lazma kwanza ukaripoti polisi...?
 
Huyo rafiki yako tayari kafia ghetto kwako au umeamua tu kuulizia

Mkuu kuna mambo mengine ni lazma ufanye jitihada ya kuyanasua kabla hayajakufika ili hata yakikukuta uwe unajua jinsi gani ya kukabiliana nayo kiongozi...!
 

Aisee sasa kama ni mke au mume wa mtu ambaye ni wa hapo hapo mtaani inakuaje hapo kiongozi...?
 
[emoji1][emoji1]
 
Mkuu hujaangalia misukosuko


Unachukua maiti hiyo usiku wa manane unaenda kuzika mwenyewe


Hakikisha hakuoni mtu


Vinginevyo hakuna atakaye kuamini hapa bongo zaidi ya kupigwa miaka 30 jela
 
Acha woga Mkuu!
Mtemi Chenge aligonga watu kwenye Bajaj anadunda mpaka leo! Tena alikuwa ana uhusiano nao, kama si demu wake kabisa!
 

Daaaaah mbona unanitisha mkuu.
 

Daaaaah kiongozi umeongea point haswa coz tatizo linaweza kuwa ametoka nalo huko alipotoka then kwako ikawa ndio point of no return hivi hapo inakuaje kwa kweli...?
 
Je ukikaa na kademu kakafia chumbani halafu nduguze hawakujui inakuwaje hapo?

Hapo inabidi tu ukimbie chumba na ukikimbia ndio utaonekana umemuua kweli na ukibaki bado tu utapata shida hata sjui lipi ni jema kwa kweli...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…