Wakuu hivi rafiki akifa ndani kwako Sheria inasemaje kuhusu hilo?


Ushauri mzuri ila sasa katika kumpeleka hospital si lazma watamuamsha hata kama anaumwa kiasi gani ndio atashindwa kunyanyuka, kusogeza mkono/mguu, kufumbua hata macho kweli...?

Na kwa kum-beba peke yako pia itakuwa ngumu haswa kama mtu mwenyewe ni binge hapo inakuaje kiongozi...?
 
hapo utakuw unajua kuwa amekufa ni wew but unatakiwa kuhakikisha unatengeneza mazngira kwa wengine wajue amezimia au yuko hoi so unatakiwa kutumia mbinu za kushawishi wengine wawe juu juu kuhakikisha anaenda hospital bila kujua wenyewe pia wanatumika ku solve issue yako
 

Hii issue ina ukakasi kupita maelezo kiongozi...!

Hatari sana mkuu.
 

Ushauri mzuri kiongozi ila hapo kwenye simu hata ukiitupa si wanaweza wakacheki na service provider wa mtandao wa simu anayotumia mgeni wako ikakuja kujulikana mara ya mwisho aliwasiliana na wewe mkuu...?
 

Ndio asifungue hata macho kiongozi...? Au hata kupumua asiweze...?

Wataweza kugundua tu kuwa ni maiti mkuu.
 
Shida no hapo mpaka uchunguzi ukamilike, utakuta umeshapungua kilo kumi aisee

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Ungetuambia kwanza alikuja kulala kwa minajili gani ili tupate kukusaidia vema. Je, ni wa kike au wa kiume?
 
Pole Sana mkuu,
Matukio ya ivo kuyasolve yanahitaji uwe na roho ya paka kupoteza ushahidi.

1. Beba mwili, Peleka porini.
Uchune ngozi mwili wote, kisha
Ukatekate vipande vipande Kisha choma moto mpaka yabaki majivu.

2. Beba mwili, Uchune ngozi,
Kisha kata kata vipande na Chukua blenda visage sage mpaka uwe mchuzi.
Chukua mchuzi kamwage mtoni au baharini.

3. Beba mwili, ukatekate vipande.
Kisha nunua chupa 10 za Sulphuric acid 99.9% ile ya maabara (120,000@chupa)
Tumbukiza mapande ya nyama,
Baadae ya masaa 6 utakuta uji uji TU.
Kamwage mtoni au baharini

4. Chimba shimo, nunua gunia 2 za mkaa
Kweenye shimo, tanguliza mkaa Kisha mwili, Kisha mkaa
Mwagia petroli.
Choma mpaka yabaki majivu Kisha funika shimo lako.
 
Wewe jamaa sio binadamu kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3]
 
Ungetuambia kwanza alikuja kulala kwa minajili gani ili tupate kukusaidia vema. Je, ni wa kike au wa kiume?

Chukulia kuwa ni wa kike na amekuja kulala as a friend tu mkuu...!
 

Daaaaah aisee hii ni ngumu kumeza mkuu...!
 
We unataka kumuua lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…