Wakuu hivi rafiki akifa ndani kwako Sheria inasemaje kuhusu hilo?

Wakuu hivi rafiki akifa ndani kwako Sheria inasemaje kuhusu hilo?

huenda mleta mda akawa ni askari au kuna information anataka kuipata kwa mtu fulani au sisi kama raia juu ya nadharia kama hii hongera kwa hilo kwani umejipatia information za kutosha but hainizuii na mimi kutoa wazo langu juu ya hil.

kwanza kwa yeyote huwezi kujinasua juu ya nadharia hii au tukio hili endapo litakutokea ukiwa nyumbani au hata gest.Matukio kama haya yalishatokea sana kwenye magest kiasi cha kufanya gesti nyingi kufungwa hidden camera. kwa maana ukisema uchukue mwili wake ukautupe mtoni au sehemu tofauti kumbuka hapo ndipo utakapo hesabiwa kama muuaji rasmi hata kama hukumuua

sababu mwili wa marehemu ni lazma utakuwa na prints zako za mkono(fingerprints) cha pili hakuna mtu anayeweza kuja kulala kwako bila mawasiliano ya simu au hata mesage hvyo upelelezi ukianzia huko jua umekwisha

Chakufanya
Baada ya marehemu kufariki hakikisha unawaamsha ndugu/majirani mnaoishi karibu na kuwaambia kuwa (mfano)fulani joto lake liko sana ningeomba mnisaidie tumpeleke hospital kama una gari au wakuitie usafiri mwende hospital,wakiwa wanambeba hakikisha ndo uko wa kwanza kumnyanyua wenyewe wape kipaumbele kwenye kufngua milango ya gar na nyumba hapo utapata faida ya mambo yafuatayo

1,hautokwenda jela sababu uchunguzi utapatkana moja kwa moja kutoka kwa daktari uliyempeleka marehemu siku hiyo

2,utapunguza bugudha za polisi sababu utakuwa na mashahid ambao watakusaidia kumpeleka mgonjwa ambae ni marehemu hospitalini

3, jibu lako ni kwamba marehemu alipata homa ya ghafla lakini alifia njiani nikiwa nampeleka hospitalin kwa msaada wa majirani/ndugu ....

NB: fanya yote haya kuanzia nusu saa au dakika kadhaa baada ya marehemu kufariki,au kama hukumdhuru/kusababisha kifo cha marehemu

Ushauri mzuri ila sasa katika kumpeleka hospital si lazma watamuamsha hata kama anaumwa kiasi gani ndio atashindwa kunyanyuka, kusogeza mkono/mguu, kufumbua hata macho kweli...?

Na kwa kum-beba peke yako pia itakuwa ngumu haswa kama mtu mwenyewe ni binge hapo inakuaje kiongozi...?
 
Ushauri mzuri ila sasa katika kumpeleka hospital si lazma watamuamsha hata kama anaumwa kiasi gani ndio atashindwa kunyanyuka, kusogeza mkono/mguu, kufumbua hata macho kweli...?

Na kwa kum-beba peke yako pia itakuwa ngumu haswa kama mtu mwenyewe ni binge hapo inakuaje kiongozi...?
hapo utakuw unajua kuwa amekufa ni wew but unatakiwa kuhakikisha unatengeneza mazngira kwa wengine wajue amezimia au yuko hoi so unatakiwa kutumia mbinu za kushawishi wengine wawe juu juu kuhakikisha anaenda hospital bila kujua wenyewe pia wanatumika ku solve issue yako
 
Ts the best option maana huwezi sema amekufa sababu kuna vigezo huangaliwa ili kusema mtu amekufa.

maelezo lazima utatoa ndio ila utakuwa kwenye nafasi nzuri ya utetezi kuliko wewe ukiwa umetoa taarifa kuwa amekufa maana swali la kwanza ni ulijuaje kuwa amekufa na hilo swali si jepesi hata kidogo.

Kumbuka watu kutoa maiti chumbani kwako kwenda mochwari ni hatari zaidi kuliko kuitoa hospitali kupelela mochwari.

Hii issue ina ukakasi kupita maelezo kiongozi...!

Hatari sana mkuu.
 
Unaweza ukaplay as a good guy au a bad guy

Ukiamua kuplay good guy, umeamka asubuhi ukagundua mgeni wako kafa, anza kutoa taarifa kwa majirani zako kisha uongozi wa mtaa au kijiji chako. Polisi watataarifiwa, watauchukua mwili na wewe watakuchukua, utahojiwa, utalala selo kidogo wakati majibu ya postmortem yakisubiriwa, kisha mwili utakabidhiwa kwa familia yake kwa ajili ya maziko, majibu yakionesha kifo kilikuwa ni cha kawaida, utaachiwa huru, majibu yakionesha alikabwa, alipigwa na kitu kizito mwilini, au alilishwa sumu, bado utaendelea kushikiliwa na unaweza kufunguliwa mashitaka ya kuua kwa kukusudia, hutapata dhamana, utaendelea kusota mahabusu, mashahidi wa upande wa jamhuri watamiminika mahakamani kukukandamiza, hatimae utapewa nafasi ya kujitetea, kama utakuwa huna mwanasheria na haujajipanga vizuri katika utetezi wako, mahakama itakukuta na hatia na unaweza ukahukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Ukiamua kuplay bad guy, umeamka asubuhi ukagundua mgeni wako kafa, usiruhusu wenge likutawale, kuwa jasiri, vaa gloves, kama huna kanunue uvae, chukua simu yake usiizime, ya kwako acha nyumbani, nenda nayo mbali kabisa, kama upo dar nenda hata chalinze huko, itoe line, batterry, vitupe mtoni. Rudi dar, kanunue gunia, ushajua la kazi gani eee, ucjali, kila binadamu ana dirty mind, kama una usafiri safi, kama huna azima wa mtu, hakikisha hajui unamuazima kwa kazi gani, hili sio suala la kumshirikisha yoyote, pia hakikisha gunia unalifunga vizuri halitoi picha ya kilichomo ndani. Subiri usiku sana, nenda masafa ya mbali kabisa tofauti na yale uliyotupa simu, liache gunia mafichoni, rudi endelea na mishe zako, waliomuona mgeni nyumbani wakikuuliza unawajibu simple tu, ameshaondoka. Mwili ukipatikana na baadhi ya marafiki au ndugu zake wanaojua ukaribu wenu wakikutafuta kukupa taarifa, onyesha kusikitishwa lakini usiende msibani wala mazishini, jitie ugonjwa baki nyumbani.

Usiombe yakukute, muhimu kama umepanga, ukipata mgeni mtambulishe kwa mwenye nyumba au hata majirani zako, kama nyumba ni yako mtambulishe kwa balozi wa mtaa(ingawaje mazoea haya wengi wetu hatuna), kumtambulisha kunasaidia kuleta picha kuwa hukumuita kwako kwa nia ovu. Epuka kuongea kwa sauti kubwa na mgeni wako, majirani wakisikia wanaweza wakahisi mlikuwa na ugomvi, na hivyo kuhisi ndio sababu ya kifo chake.

Ushauri mzuri kiongozi ila hapo kwenye simu hata ukiitupa si wanaweza wakacheki na service provider wa mtandao wa simu anayotumia mgeni wako ikakuja kujulikana mara ya mwisho aliwasiliana na wewe mkuu...?
 
hapo utakuw unajua kuwa amekufa ni wew but unatakiwa kuhakikisha unatengeneza mazngira kwa wengine wajue amezimia au yuko hoi so unatakiwa kutumia mbinu za kushawishi wengine wawe juu juu kuhakikisha anaenda hospital bila kujua wenyewe pia wanatumika ku solve issue yako

Ndio asifungue hata macho kiongozi...? Au hata kupumua asiweze...?

Wataweza kugundua tu kuwa ni maiti mkuu.
 
Dadeki kafa nini jamaa ndani kwako! ... By the way uchunguzi wa dactari ndio utaonesha amekufa kwa sababu gani, Ikionesha kuna viashiria vya kuasababishiwa kifo au kuuawa lazima uwe na kesi ya kujibu kwa kosa la mauaji. Sasa hukumu itakuja kwamba ulimuuaje huyo mtu kwa kukusudia au bila kukusudia nyundo ya maisha au 30 jela inakuhusu.
Ila kama alikufa bahati mbaya huna kesi wala.
Shida no hapo mpaka uchunguzi ukamilike, utakuta umeshapungua kilo kumi aisee

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Ungetuambia kwanza alikuja kulala kwa minajili gani ili tupate kukusaidia vema. Je, ni wa kike au wa kiume?
 
Pole Sana mkuu,
Matukio ya ivo kuyasolve yanahitaji uwe na roho ya paka kupoteza ushahidi.

1. Beba mwili, Peleka porini.
Uchune ngozi mwili wote, kisha
Ukatekate vipande vipande Kisha choma moto mpaka yabaki majivu.

2. Beba mwili, Uchune ngozi,
Kisha kata kata vipande na Chukua blenda visage sage mpaka uwe mchuzi.
Chukua mchuzi kamwage mtoni au baharini.

3. Beba mwili, ukatekate vipande.
Kisha nunua chupa 10 za Sulphuric acid 99.9% ile ya maabara (120,000@chupa)
Tumbukiza mapande ya nyama,
Baadae ya masaa 6 utakuta uji uji TU.
Kamwage mtoni au baharini

4. Chimba shimo, nunua gunia 2 za mkaa
Kweenye shimo, tanguliza mkaa Kisha mwili, Kisha mkaa
Mwagia petroli.
Choma mpaka yabaki majivu Kisha funika shimo lako.
 
Pole Sana mkuu,
Matukio ya ivo kuyasolve yanahitaji uwe na roho ya paka kupoteza ushahidi.

1. Beba mwili, Peleka porini.
Uchune ngozi mwili wote, kisha
Ukatekate vipande vipande Kisha choma moto mpaka yabaki majivu.

2. Beba mwili, Uchune ngozi,
Kisha kata kata vipande na Chukua blenda visage sage mpaka uwe mchuzi.
Chukua mchuzi kamwage mtoni au baharini.

3. Beba mwili, ukatekate vipande.
Kisha nunua chupa 10 za Sulphuric acid 99.9% ile ya maabara (120,000@chupa)
Tumbukiza mapande ya nyama,
Baadae ya masaa 6 utakuta uji uji TU.
Kamwage mtoni au baharini

4. Chimba shimo, nunua gunia 2 za mkaa
Kweenye shimo, tanguliza mkaa Kisha mwili, Kisha mkaa
Mwagia petroli.
Choma mpaka yabaki majivu Kisha funika shimo lako.
Wewe jamaa sio binadamu kabisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji3]
 
Ungetuambia kwanza alikuja kulala kwa minajili gani ili tupate kukusaidia vema. Je, ni wa kike au wa kiume?

Chukulia kuwa ni wa kike na amekuja kulala as a friend tu mkuu...!
 
Pole Sana mkuu,
Matukio ya ivo kuyasolve yanahitaji uwe na roho ya paka kupoteza ushahidi.

1. Beba mwili, Peleka porini.
Uchune ngozi mwili wote, kisha
Ukatekate vipande vipande Kisha choma moto mpaka yabaki majivu.

2. Beba mwili, Uchune ngozi,
Kisha kata kata vipande na Chukua blenda visage sage mpaka uwe mchuzi.
Chukua mchuzi kamwage mtoni au baharini.

3. Beba mwili, ukatekate vipande.
Kisha nunua chupa 10 za Sulphuric acid 99.9% ile ya maabara (120,000@chupa)
Tumbukiza mapande ya nyama,
Baadae ya masaa 6 utakuta uji uji TU.
Kamwage mtoni au baharini

4. Chimba shimo, nunua gunia 2 za mkaa
Kweenye shimo, tanguliza mkaa Kisha mwili, Kisha mkaa
Mwagia petroli.
Choma mpaka yabaki majivu Kisha funika shimo lako.

Daaaaah aisee hii ni ngumu kumeza mkuu...!
 
Heshima kwenu wakuu.

Naomba twende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Tuchukulie nina rafiki yangu amelala ndani kwangu then ikatokea bahati mbaya akafa akiwa usingizini, sheria inasemaje kuhusiana na hilo wakuu?

Naombeni muongozo tafadhali. Thanks.
We unataka kumuua lini?
 
Back
Top Bottom