Wakuu mwenye uelewa na hii fursa nasikia mwisho Feb 28 mwezi huu watu wanakuwa matrilionea

Wakuu mwenye uelewa na hii fursa nasikia mwisho Feb 28 mwezi huu watu wanakuwa matrilionea

Hizo calculation wanakujaza tu usiamini
Bei yake ya kufkirika ni View attachment 3227055
Na itakapoingia sokoni sidhani kama itafika $100 per coin
Mimi na ww mpaka ss thaman halisi hatuijui, tusubiri trh 28 mzigo ukiachiliwa sokoni. Tambua hii sarafu itakuwa na nguvu kuipiku bitcon
 
Hii iko siku nyingi na unaambiwa u-install app ambayo utakuwa unachimba pi kila siku. Ina wafuasi wengi na kila siku utasikia wanasema ''mwezi ujao wanazindua''. Nilii check kwa haraka sana na haya ndiyo mawazo yangu. Nadhani kuna mtu/ watu wenye hiyo app/site wanapata malipo ya matangazo kwa watu ku-click kila siku. Yaani pale unaambiwa kuwa unatakiwa uchimbe sarafu kila siku kwa ku-click, zile clicks zinahesabiwa na wenye matangazo ambao walipa wenye site. Nikipata muda nitafanya research zaidi.
Mimi nikajua research umefanya ama umewahi kujoin huko utupe majibu
 
Nikiingiaga JF na kukutana na kauli kama "hakuna hela za bure mitandaoni fanyeni kazi"... mara sijui "Mali zinapatikana shambani"... na maneno mengine ya kishamba kama hayo, huwa naona wabongo bado wako zama za giza, yaani wameachwa na dunia na wamebaki na zile zile fikra zao za kwamba kilimo ndio uti wa mgongo.

Sasa hivi karibu matajiri wote wa kiwango cha dunia wame invest kwenye crypto currency maana huko ndio ulimwengu wa fedha unaelekea, Trump mwenyewe hivi karibuni ame launch coin yake maana mbali na stocks sehemu nyingine ya kutunza hela ni huku kwenye crypto.... lakini wabongo bado wanakwambia ni utapeli😮‍💨😮‍💨

Wabongo mtaendelea kubaki na njia zenu za kijima za kutafuta hela mpaka kihama.

Endeleeni kupondea kila fursa mnayoiskia mitandaoni.
 
Kunajamaa yangu alianza mambo ya bitcoin since 2015, hadi saivi pesa aliyo ipoteza angekua ana nyumba , gari na biashara kubwa tu.. Lkn hana ishu saiv, analialia tu hela ngumu.

Ushauri: Wekeza kwenye kitu unacho kiona, otherwise utajikuta 2040 huna kitu
 
Nikiingiaga JF na kukutana na kauli kama "hakuna hela za bure mitandaoni fanyeni kazi"... mara sijui "Mali zinapatikana shambani"... na maneno mengine ya kishamba kama hayo, huwa naona wabongo bado wako zama za giza, yaani wameachwa na dunia na wamebaki na zile zile fikra zao za kwamba kilimo ndio uti wa mgongo.

Sasa hivi karibu matajiri wote wa kiwango cha dunia wame invest kwenye crypto currency maana huko ndio ulimwengu wa fedha unaelekea, Trump mwenyewe hivi karibuni ame launch coin yake maana mbali na stocks sehemu nyingine ya kutunza hela ni huku kwenye crypto.... lakini wabongo bado wanakwambia ni utapeli😮‍💨😮‍💨

Wabongo mtaendelea kubaki na njia zenu za kijima za kutafuta hela mpaka kihama.

Endeleeni kupondea kila fursa mnayoiskia mitandaoni.
Musk amewekeza zaidi ya $900m kwenye btcn
1738833843644.jpg
 
Sidhani kama inaweza kuipita bitcoin na sidhani kama kuna alt coin itakuja kuipita.
Hii mbona calculatoion yake Pai Moja inasoma mzigo mrefu kuipiku btcn, halafu ukisachi data za AI wanakwambia Pai bado Hana bei halisi hajaingia sokoni
 
Unahitaji kujielimisha kuhusu centralized na decentralized finance mkuu..Cryptocurrency sio scam na una mine bure ikiwa listed watu wanatoboa hapo jaman btc,Bnb na etc
Asante kwa kumuelimisha huyo mrembo alikuwa ashanivua nyota tayr
 
Kunajamaa yangu alianza mambo ya bitcoin since 2015, hadi saivi pesa aliyo ipoteza angekua ana nyumba , gari na biashara kubwa tu.. Lkn hana ishu saiv, analialia tu hela ngumu.

Ushauri: Wekeza kwenye kitu unacho kiona, otherwise utajikuta 2040 huna kitu
Uwekezaji wwt unahitaji umakini boss. Huyo jamaa yetu aliepoteza Kuna wezake pia wamenufaika mpaka leo
 
Nikiingiaga JF na kukutana na kauli kama "hakuna hela za bure mitandaoni fanyeni kazi"... mara sijui "Mali zinapatikana shambani"... na maneno mengine ya kishamba kama hayo, huwa naona wabongo bado wako zama za giza, yaani wameachwa na dunia na wamebaki na zile zile fikra zao za kwamba kilimo ndio uti wa mgongo.

Sasa hivi karibu matajiri wote wa kiwango cha dunia wame invest kwenye crypto currency maana huko ndio ulimwengu wa fedha unaelekea, Trump mwenyewe hivi karibuni ame launch coin yake maana mbali na stocks sehemu nyingine ya kutunza hela ni huku kwenye crypto.... lakini wabongo bado wanakwambia ni utapeli😮‍💨😮‍💨

Wabongo mtaendelea kubaki na njia zenu za kijima za kutafuta hela mpaka kihama.

Endeleeni kupondea kila fursa mnayoiskia mitandaoni.
Jf ni miyeyusho sana ukileta mada tofauti na mbususu lzm ukutane na upinzani mkubwa sn
 
Hii mbona calculatoion yake Pai Moja inasoma mzigo mrefu kuipiku btcn, halafu ukisachi data za AI wanakwambia Pai bado Hana bei halisi hajaingia sokoni
Pi hana bei halisi ni speculation lakini hakuna speculation yoyote inayosema pi itazidi $200 wakati bitcoin ishagonga $90000 + na march huenda ikaweka rekodi mpya
 
Pi hana bei halisi ni speculation lakini hakuna speculation yoyote inayosema pi itazidi $200 wakati bitcoin ishagonga $90000 + na march huenda ikaweka rekodi mpya
Kwann huamini kuwa ipo sarafu ambayo inaweza kuichalenji btcn kwa ss
 
Back
Top Bottom