Wakuu nina hali mbaya sana, nisaidieni kazi au connection ya kazi. Naona kiza

Wakuu nina hali mbaya sana, nisaidieni kazi au connection ya kazi. Naona kiza

Joined
Mar 12, 2024
Posts
67
Reaction score
221
Habari zenu wakuu. Ni kijana mtanzania nina miaka 27. Kipindi ninachopitia kwa sasa kinanifanya kuwaza mambo mengi sana pasipo kupata majibu ya kueleweka.

Hadi kufikia kuja humu basi ujue hali imekuwa sio hali. Najua hatufahamiani humu, lakini haimaanishi mtu hawezi kupata msaada. Napitia mambo magumu sana wakuu. Kuna kazi nilikuwa nikifanya ya store keeper ila nilisimamishwa kwakuwa niliugua kwa muda kidogo.

Kwa upande wa elimu, nina shahada ya ualimu lakini sijaona faida yake hadi leo hii tangu nimalize chuo 2020. Sina akiba tena, sijui kunakucha vipi. Kwa atakaekuwa na kazi au connection ya kazi anisaidie wakuu naombeni sana. Popote nitapambana nije. Kwa sasa nipo shinyanga mjini.
0768070927
 
Habari zenu wakuu. Ni kijana mtanzania nina miaka 27. Kipindi ninachopitia kwa sasa kinanifanya kuwaza mambo mengi sana pasipo kupata majibu ya kueleweka.

Hadi kufikia kuja humu basi ujue hali imekuwa sio hali. Najua hatufahamiani humu, lakini haimaanishi mtu hawezi kupata msaada. Napitia mambo magumu sana wakuu. Kuna kazi nilikuwa nikifanya ya store keeper ila nilisimamishwa kwakuwa niliugua kwa muda kidogo.

Kwa upande wa elimu, nina shahada ya ualimu lakini sijaona faida yake hadi leo hii tangu nimalize chuo 2020. Sina akiba tena, sijui kunakucha vipi. Kwa atakaekuwa na kazi au connection ya kazi anisaidie wakuu naombeni sana. Popote nitapambana nije. Kwa sasa nipo shinyanga mjini.
0768070927
Kwani huko mtaani kwako wengine wanafanya kazi gani?

Mwisho hivi Huwa hamuulizi Kwa wenzenu? Hizo kazi zenu za Ualimu Kwa Sasa Ajira ni kusubiliana,first out first inn.Mfano Jamaa yangu akimaliza Chuo 2015 akapata kazi mwaka 2022 ,Sasa wewe tumiaka 4 ndio unaona shida?

Mwisho kabla ya June mwaka huu Ajira za Walimu zitatoka andaa cheti.
 
Kwani huko mtaani kwako wengine wanafanya kazi gani?

Mwisho hivi Huwa hamuulizi Kwa wenzenu? Hizo kazi zenu za Ualimu Kwa Sasa Ajira ni kusubiliana,first out first inn.Mfano Jamaa yangu akimaliza Chuo 2015 akapata kazi mwaka 2022 ,Sasa wewe tumiaka 4 ndio unaona shida?

Mwisho kabla ya June mwaka huu Ajira za Walimu zitatoka andaa cheti.
Mzee una majibu ya dharau sana usijibu hivyo kwa vile wewe umeajiliwa sio wote tuna ajira
 
Nyiee CCM mbona hamjatupa ajira sisi wafuasi wenu
IMG-20240410-WA0001.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Naunga mkono hoja,hapa ndio Chadema inatakiwa kuwapa Msaada Hawa wafuasi wao
Wewe jamaa kua seriously basi kila kitu unaweka kisiasa tu jaribu kuficha ujinga hata robo mtanzania mwenzio yupo nusu kaputi kwa ukosefu wa ajira wewe unaleta masikhara kisa una kakazi kanakokupa nguvu ya kua chawa wa Lumumba buku 7!

Shabhashhhh
 
Back
Top Bottom