WTF you talking about?
Tatizo sio kutoa mchango wa maana au kuomba msaada wa kazi. Tatizo ni mtu asiyetaka kujisumbua kama yule member mwengine kule huku akililia msaada.
Hii ndio sababu hamuwezi kufanya chochote mkafanikiwa sababu mnategemea watu wanafikiria nini. Heshima? No, mimi sijali kuhusu heshima wala kuwa civilized. Especially on fake ids. Hiyo sio kazi yangu mimi. Shukuru ukiona nimepoteza muda wangu kukwambia ukweli.
Ukisoms history utagundua sababu kubwa ya mafanikio ya The West au Wazungu ni kuwa makatili, wadhurumishi na uncivilized sons of bitches. Mpaka kufikia hatua ya kukamata babu na bibi zako wa Kiafrika, wakawatia kwenye meli mpaka kwao, wakawafunga minyororo na kuwafanyika kazi mashambani, machimboni kama wanyama bila malipo na mateso ya kila aina. Leo hii angalia Marekani na Europe zilipo? Unafikiri yale ni matunda ya kuwa civilized? Hapana, yale ni matunda ya ukatili, roho mbaya, damu na majasho ya watu wengine. So usiniambie kuhusu kuwa civilized, na sio kuwa civilized tu. Bali kuwa civilized ili kuheshimiwa. Sijali kuhusu heshima na nitaheshimiwa only kama nastahili. It just doesn't matter.
Uhalisia wa maisha ni usitegemee heshima kutoka kwa yoyote kama huna kitu wala kustahili. Kama wewe ni peasant then utakuwa treated as a peasant. Maisha ni katili yasio na huruma. Life is a bitch. And I fuking mean it.