Wakuu nina hali mbaya sana, nisaidieni kazi au connection ya kazi. Naona kiza

Wakuu nina hali mbaya sana, nisaidieni kazi au connection ya kazi. Naona kiza

Unaona? Kijana ni umelegea na laini mpaka hutaki nikwambie ukweli na kukuforce kuwa na strong mindset.
Au wewe ni mtoto wa kike?

Hili ndio jambo nililomwambia member mmoja hapo chini. Kusaidia watu wa aina hii ni kazi bure. Mtu mwenye akili yake hawezi jisumbua kusaidia mtoto wa kiume mayaimayai kama wewe.

Either ujipambanie mwenyewe au ufe masikini na kizembe mkia miguuni kama mbwa aliyepigwa na mvua.
Matako ya mbwa wewe
 
Habari zenu wakuu. Ni kijana mtanzania nina miaka 27. Kipindi ninachopitia kwa sasa kinanifanya kuwaza mambo mengi sana pasipo kupata majibu ya kueleweka.

Hadi kufikia kuja humu basi ujue hali imekuwa sio hali. Najua hatufahamiani humu, lakini haimaanishi mtu hawezi kupata msaada. Napitia mambo magumu sana wakuu. Kuna kazi nilikuwa nikifanya ya store keeper ila nilisimamishwa kwakuwa niliugua kwa muda kidogo.

Kwa upande wa elimu, nina shahada ya ualimu lakini sijaona faida yake hadi leo hii tangu nimalize chuo 2020. Sina akiba tena, sijui kunakucha vipi. Kwa atakaekuwa na kazi au connection ya kazi anisaidie wakuu naombeni sana. Popote nitapambana nije. Kwa sasa nipo shinyanga mjini.
0768070927
Jiunge UVCCM
 
wanafanya kazi gani huko? Hakuna bodaboda? Hakuna wauza uji? Hakuna wauza mabanda? Hakuna vibarua wa Ujenzi nk?
Ujue sometimes sio kazi hamna ila ni taarifa sahihi.

Wewe hapa umegeneralize, hebu elekeza kwa huko aliko ni fursa ipi hapo inabamba na nafasi anaweza kupata.

Kama ingekua hivyo usemavyo wewe dunia isingekua na tatizo la ajira.

Bila shaka wewe ni maskini aliepata na matakoo yashaanza kulia mbwata
 
Mods ni nini hiki????mmeswitch iwe english????mie naleft kizungu sijui jamani
Nilistuka mm pia reply yangu ilichenjiwa kwenda US, kuna option hapo bila shaka umeiclick bahati mbaya ila unaweza kuedit kuja kwa lugha yako.
 
Mshenzi sana
Mungu anakuona lakini.

Nakuhakikishia ukimuuliza sababu zingine mbali na alizowasilisha, atakwambia, CCM.

Sasa kwanini ni mshauri akatafute ajira huko?

Nilivyokuwa na umri wake nilishauriwa vivyo hivyo, niliombewa nipate nguvu na kuaswa kutokukata tamaa. Nikaulizwa, "Umejaribu CCM?" CCM wakati huo walikuwa na kazi za kulinda maegesho ya Gari, kuandikisha vijana, n.k
Labda CHADEMA nako wana vinafasi

Sasa kumshauri ajaribu CHADEMA kuna kosa gani?
 
Wewe jamaa unaishi kwenye fantasy land full of fairytales. Eti "Ungemwita uumpe mtaji" yaani wewe kidume kizima unataka uitwe na kidume mwenzio upewe mtaji? Hivi wewe jamaa mzima kweli?

HAHAHHAHA!!!
Acha kudandia post za vidume utakuja kalia mpini dada Aisha,
Uliona comment za Mwanzo mpaka nikaandika maoni hayo au kiherehere cha kukoti post ya mtu bila kujua Mwanzo wa maongezi?

Go down madafucker!
 
Kitendo cha mtu kuhitaji kuonyeshwa fursa ni kigezo tosha cha kutosaidiwa chochote sababu tayari hana akili ya kujiongeza wala kujituma. Kumsaidia ni kazi bure na kujipotezea muda.

Hapa duniani kama wewe ni mwanaume basi unapaswa tambua hakuna mtu atakusaidia kizembe tu burebure. Sababu huna cha kumlipa. Nitasaidia mtoto wa kike sababu nimeona ana umbo matata, kiuno chembamba na soft butt. Nothing is for free.

Kila mwanaume atakula kwa jasho lake, sasa acha kulialia msaada kwa vidume wenzako kama binti wa kike. Tafuta fursa mwenyewe, kama huwezi, kaa kimya.
Wewe kajamaa kajinga sana kama kumsaidia mwanaume mwenzio unaona so na hapo usikute kuna Mwanaume either Babaako mzazi au wa kambo usiemfahamu alikupigania bila wewe kujua mpaka leo umeipata nguvu ya kucoment thread
Sikia we garasa life haliendi hivyo Sio kila mtu alipewa updo wa kuona fursa kama wewe halafu inawezekana una mindset za kimaskini kama ungekua unajua kuona fursa now tungekusoma Forbes na kina Musk,Bill na Jeff
Punguza ujivuni na ujuaji wa kishamba we bumunda!
 
Wewe kajamaa kajinga sana kama kumsaidia mwanaume mwenzio unaona so na hapo usikute kuna Mwanaume either Babaako mzazi au wa kambo usiemfahamu alikupigania bila wewe kujua mpaka leo umeipata nguvu ya kucoment thread
Sikia we garasa life haliendi hivyo Sio kila mtu alipewa updo wa kuona fursa kama wewe halafu inawezekana una mindset za kimaskini kama ungekua unajua kuona fursa now tungekusoma Forbes na kina Musk,Bill na Jeff
Punguza ujivuni na ujuaji wa kishamba we bumunda!
Naona maneno yangu yamekugusa mpaka ukashindwa kuvumilia, ukashusha gazeti bila kujua. Hahahaha!!

Wewe mjinga ungelelewa na mzee wangu ungekuwa umeshajinyonga kama haya maneno yangu ya kistaarabu yamekuumiza.

Ukweli siku zote unauma. Na kama maneno yangu yamekuumiza basi jua huo ndio ukweli usiotaka kuusikia. Sasa acha kunilalamikia mimi sio baba yako. Badala ya kunililia mimi, do something about it! Stand the fuk up, man the fuk up and do something about it.
 
Acha kudandia post za vidume utakuja kalia mpini dada Aisha,
Uliona comment za Mwanzo mpaka nikaandika maoni hayo au kiherehere cha kukoti post ya mtu bila kujua Mwanzo wa maongezi?

Go down madafucker!
Oi! Have some respect goddammit, I ain't going anywhere. Sikia nikwambie wewe emotional and sentimental little bitch. You see, mimi sikutukani bali nakwambia ukweli kijana. Hakuna msaada wa bure hapa duniani! Na hiyo ni kwa mwanamke. Kwa mwanaume ni hakuna msaada kabisa hapa duniani.

Eidha utasaidiwa kama unaonyesha juhudi na kujituma au tayari uwe una kitu unafanya. That's it. Sio mtu atoke huko aje akusaidia for no fuking reason.

Nyie jamaa mmelegea na emotional kupitiliza, zaidi ya wanawake. Seriously, it's pathetic for a man to be weak and emotional as you're.
 
Naona maneno yangu yamekugusa mpaka ukashindwa kuvumilia, ukashusha gazeti bila kujua. Hahahaha!!

Wewe mjinga ungelelewa na mzee wangu ungekuwa umeshajinyonga kama haya maneno yangu ya kistaarabu yamekuumiza.

Ukweli siku zote unauma. Na kama maneno yangu yamekuumiza basi jua huo ndio ukweli usiotaka kuusikia. Sasa acha kunilalamikia mimi sio baba yako. Badala ya kunililia mimi, do something about it! Stand the fuk up, man the fuk up and do something about it.
Bullishit!
Ukweli gani hapo uniumize dude!
Hapa sitii huruma kama dada Mwajuma,
Sikia nikuambie kitu kimoja watu wanapitia changamoto sana,ukiona mpaka Mwanaume anaongea ujue limemfika pabaya hana namna,
Kuna watu humu waliwahi kuja na thread kama hivi kuomba msaada ila kuna kenge kama wewe walidhihaki kama unavyo fanya wewe mshamba mmoja
Guess what!
Jamaa alikua anatafuta msaada seriously kuna pimbi wakazidi mpa stress humu
Jamaa alienda kujinyonga seriously halafu baadae hao hao walirudi kutoa R.I.P za kinafiki humu na kumbe jamaa angesaidiwa asingefika hali hiyo,
Acha kujiona umefika wewe kumbuka kuna kesho huwezi jua mtu anapitia hali gani katika maisha
Wewe kujipata kidogo unaanza ona wasiojipata wazembe punguza makuzi mtoto wa kiume shabhash!

R.I.P Mpauko
 
Oi! Have some respect goddammit, I ain't going anywhere. Sikia nikwambie wewe emotional and sentimental little bitch. You see, mimi sikutukani bali nakwambia ukweli kijana. Hakuna msaada wa bure hapa duniani! Na hiyo ni kwa mwanamke. Kwa mwanaume ni hakuna msaada kabisa hapa duniani.

Eidha utasaidiwa kama unaonyesha juhudi na kujituma au tayari uwe una kitu unafanya. That's it. Sio mtu atoke huko aje akusaidia for no fuking reason.

Nyie jamaa mmelegea na emotional kupitiliza, zaidi ya wanawake. Seriously, it's pathetic for a man to be weak and emotional as you're.
Acha ushamba wewe unajiona mjaaaaaanja kisa umejipata kidogo tu
Dharau hizo inaonesha umetoka maisha ya dhiki sana
Una mindset za kimaskini sana,
Tajiri hana Roho ya kukatisha tamaa kama yako
Wewe kajamaa ni kamaskini ka akili na maskini wa angle hiyo hua na Roho mbaya kama shemeji yenu Ibilisi!
 
Habari zenu wakuu. Ni kijana mtanzania nina miaka 27. Kipindi ninachopitia kwa sasa kinanifanya kuwaza mambo mengi sana pasipo kupata majibu ya kueleweka.

Hadi kufikia kuja humu basi ujue hali imekuwa sio hali. Najua hatufahamiani humu, lakini haimaanishi mtu hawezi kupata msaada. Napitia mambo magumu sana wakuu. Kuna kazi nilikuwa nikifanya ya store keeper ila nilisimamishwa kwakuwa niliugua kwa muda kidogo.

Kwa upande wa elimu, nina shahada ya ualimu lakini sijaona faida yake hadi leo hii tangu nimalize chuo 2020. Sina akiba tena, sijui kunakucha vipi. Kwa atakaekuwa na kazi au connection ya kazi anisaidie wakuu naombeni sana. Popote nitapambana nije. Kwa sasa nipo shinyanga mjini.
0768070927
Pole sana mkuu. Mungu atakaufanyia wepesi utapata kazi nzuri.
 
Acha ushamba wewe unajiona mjaaaaaanja kisa umejipata kidogo tu
Dharau hizo inaonesha umetoka maisha ya dhiki sana
Una mindset za kimaskini sana,
Tajiri hana Roho ya kukatisha tamaa kama yako
Wewe kajamaa ni kamaskini ka akili na maskini wa angle hiyo hua na Roho mbaya kama shemeji yenu Ibilisi!
Hahaha!
 
Back
Top Bottom