Wakuu nina hali mbaya sana, nisaidieni kazi au connection ya kazi. Naona kiza

Tafuta mtu mwenye kituo cha elimu omba kujitolea au nenda kwenye shule za private omba kujitolea wanaweza kuguswa kuanza kukupa chochote kama hawatoguswa anzisha kituo chako cha Tuition jirani na hiyo shule unayojitolea wataona aibu kukufokea kwa sababu unajitafuta.
Tatizo lenu vijana mnasomea kitu alafu hamtaki kukomaa nacho mpaka kiwape majibu.Asante
 
Akitafuta ushauri zaidi ya huu basi ajitafakari sana, inaweza ikawa sio ufundi simu tu ila umempa njia rahisi ya kujitafuta. Safi sana
 
Hii point Kali naifikiria kwa jicho la tatu🤕🤕
 
Mkuu uko wapi nije kujifunza, ili nami nipate huo ujuzi.
 
Mimi sahv nilipata channel nyingine nimesogea mbele kidogo.... Ufundi nimeacha ila huwa naipa respect sana hyo kazi💪

Ila hta kesho ikitokea nimeanguka, hyo ndo backup yangu kaka!!!
Ile n kaz inayohitaji akili na sio nguvu..... N kaz ambayo unaingiza pesa bila jasho kama vile unadegree😁😁😁

Kuna muda unatengeneza simu ya mteja huku umeweka nne kabisa, pemben Kuna soda!!!!

Halafu ukiwa fundi muaminifu wateja wanakunyenyekea sana..... Kuna muda mtu anakuletea simu imezima anakwambia Kuna info za muhim hataki kizipoteza.... Hapo anakuahidi donge nono ikiwa simu itawaka😋😋😋

Wewe unachofanya unamwambia usijari acha simu ntaenda kuitengenezea nyumban nikiwa nimetulia zaidi.....
Kama upo dar, asubuh mapema unazama kariakoo kwa miamba wanatengeneza halafu baadae unarudi offisini kifua mbele na kulalamika simu imekusumbua Sana kipindi unatengeneza😂😂😂....... Jitahidi ujisifie wewe ndo umetengeneza (hapo ndo unakuza jina,,,, bora ufanye kazi bure ila mteja atoke anakuona wewe n hatari na fundi kama wewe n ngum kumpata🤝)

Utapewa pesa na Asante nyingi sana pia kusambaziwa sifa nzuri...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…