Unazidi ku-sound kitoto na toka huko juu nimekwambia wewe bado mtoto.
Ktk maisha wote tunabahatisha hakuna aneyejua atafikisha umri gani,ajali zipo maradhi yapo serikali yako kila siku inatoa tathmini magonjwa yasiyoambukizwa yameongezeka unasemaje hakuna kutojiweza ktk maisha?na siyo wanaume hata wanawake inawahusu
Huyo Liverpool mbona ameoa, Au ndo hua anawadanganyaMiaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.
Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.
Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.
Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?
Uzi tayari!
cc: Liverpool VPN
Hata sababu yako ni ndogo sana na haitoshi ku-justify ulazima wa mwanaume kuoa.Hii ni sample ndogo sana kuweza ku-justfy issue ya βumuhimu wa mwanaume kuowa au kutokuowaβ.
Kuowa ni kama kutafuta kazi,utapata kazi ina mapungufu kadhaa mwengine anapata kazi inampenda kila siku anapanda vyeo so ni bahati ,siyo sababu kazi siyo nzuri tuseme tusifanye inabidi tu-face realty huo ndiyo uanaume hata baba yako kuishi na mama yako alitumia mbinu hizi hizi.
Wanataka kujiaminisha watazeeka ni matajiri wakati utajiri pia ni watu wa damu yakoKweli mtu mjinga tu atashindwa kukuelewa
Tatizo watu wanafanya maamuzi bila kuangalia mbeleni, the future
Unaweza kuoa na ukakimbiwa pia, ukiwa na tatizo.Wanataka kujiaminisha watazeeka ni matajiri wakati utajiri pia ni watu wa damu yako
Mnaongea vitu utafikiri mtaan hamuyaoni
Mimi mwenyewe na mshkaji wangu anaumwa hoi mguu unaoza mke kakimbia na watoto, jamaa alikuwa vizuri economically ila now anasaidiwa na wasamaria wema[emoji24][emoji24]Pia mimi nina mfano
Kulikuwa na mgonjwa X kwenye hospital X hapa Tanzania, alikuwa ana 26yrs ameoa na anawatoto wawili.
Baada ya kuumwa sana, mke akawa anamuuliza kuwa nguvu za kiume anazo tena. Maana tatizo lake alihisi litakuwa limeathiri nguvu za kiume lakini si kweli.
Kilichofuata mke ni kumkimbia mume. Yule jamaa aliteseka sana , mwisho alifariki lakini kifo chake hakikutokana na ule ugonjwa alioupata bali ni hizo stress zilizotokana na mke wake.
Una miaka 60 labda hivi..utaoa pia na hapo tayari una wajukuu?..Unaowa mwingine hata hili hulijui?
Maswali gani haya unauliza?sasa napata picha nabishana na watu wenye upeo gani
InasikitishaMimi mwenyewe na mshkaji wangu anaumwa hoi mguu unaoza mke kakimbia na watoto, jamaa alikuwa vizuri economically ila now anasaidiwa na wasamaria wema[emoji24][emoji24]
Wanataka kujiaminisha watazeeka ni matajiri wakati utajiri pia ni watu wa damu yako
Wamekuwa wakali kama mbogo..Wanaoteswa na ndoa wamevamia uzi.
Hahaha huyo hajui halafu hajui kama hajui, ndio maana anaandika upuuzi akiwa na confidence.Una miaka 60 labda hivi..utaoa pia na hapo tayari una wajukuu?..
Aibu gani hii?..ili tu upate wa kukuchamba..kudadadeki
Halafu tukipangua hoja anatuita watoto..Hahaha huyo hajui halafu hajui kama hajui, ndio maana anaandika upuuzi akiwa na confidence.
Mimi nimesema nitauona umuhimu wa ndoa kama ataleta sababu nyingine za msingi, si hizi za kutafuta mtu wa kuchambishwa nae.
Hapo ndipo unajidanganya kudhani fedha ni kila kitu.Utakuwa na fedha.Sawa.Ila utakuwa in terms of purchases!Kwenye kununua lazima upigwe tu.Kwa nini usijiandalie upendo wako wa kudumu?Haya,endelea kutafuta wachukue kiulaini uanze kujiliza eti "golddigger" kakukomesha.ππππ
Ila wengi ni wafanyakazi wa Serikali sana sana WalimuWajinga kweli wanakwepa majukum
Na akifa mnamtia gunzi kwenye puru.Usipooa kwenye familia tunakutenga maana huna faida yeyote na misibani pia tutakufukuza...
Aiseeeh, una kichwa kizito sana kwenye kuelewa hayo mambo.Kwani huo mfano wako ulioutoa ndio unaonesha umuhimu wa ndoa ?