Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Wale ambao hatuna Mpango wa kuoa tuendelee kupeana Mbinu za Maisha

Kwahiyo mke hawez kufa wa kwanza? Hawez kuishiwa nguv wa kwanza? Hawez kulemaa wa kwanza?
Mleta mada muhim sana uwe na bima za maana utibiwe aghakan.
Mleta mada uwe na makaz rafik usikose wa kukaa nae kati ya ndugu, jamaa na marafiki
Mleta mada wekeza vitega uchumi visivyohitaj ufuatiliaji wa kila siku kama real estate, au hisa. Pesa ikukute kitandan.
Mleta mada jenga mahusino mazuri na watu wote na zaid wa dini yako. Mtu mwema hakosag wa kumsaidia.
Mleta mada kama utafit uko sahihi utakufa miaka 5 haraka kabla ya aliyeoa kama ambavyo aliyeoa mke 1 anakufa haraka kabla ya wa wake wengi.
Mleta mada kuoa wakat mwingine huwa ni involuntary action. Unashtukia uko ndoan. Umeshawekwa kwenye sidiria. Nadhan bado u kijana.
Mleta mada nakuhakikishia UTAOA TU! hata iwe wiki 1.
Umeshusha nondo za moto mtaalamu[emoji91][emoji91][emoji1434][emoji1434][emoji1434]
 
Wanawake wazuri ni wengi kuliko wabaya tunao waona au kushuhudia

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Okay kila mmoja ana mtizamo na experience yake kwa wanawake anaokutana nao ila kwangu mimi .Naamini wanawake wenye sifa kuitwa mke na kuviishi viapo vya ndoa ni wachache sana.

Wanawake wamekuwa too wabinafsi,wapenda hela na kukimbizana na wakati mpaka wanashindwa kufikiria ktk uhalisia wa mazingira wanayo ishi na wenza wao.
 
Ninamuona Baba mwenye nyumba wangu ana 50+ hana Ndoa na wala hana huo mpango, na Mtoto mmoja yupo Marekani,
Anasema shida zake za mwili huzimaliza kwa mwezi mara moja kwa dau la elfu 30 tu hazidishi,

Anajipenda sana, ana ujana mwingi na kwake kapangisha wasela tupu hataki familia,

Nguo anafua kwenye washing machine,
Jioni lazima aende baharini anasema anapata tiba ya akili, "bahari inaongea kama ukisiliza mawimbi vizuri"

Ukimuona ana furaha ila kuna watu wanahisi ni mpweke.
Mkuu hapa duniani hakuna kitu kibaya kama upweke ndio mana mungu hakuwa bwege kumpa Adam mwenza wake ambae ni Eva so uyo mwenye nyumba wako subili maradhi yaanze kumsumbua ndio tutajua hizo pesa zake zitamsaidia au lah
 
Ni kweli ukitaka kuishi maisha marefu usioe. Ndoa ni jehanam ya hapa duniani. Hasa kwa wanawake wa siku hizi. Kila kitu anayegemea kutoka kwako hata awe na kazi. Na maisha anayoishi ni kama anakumiliki. Na kumuacha mke ukimuoa ni ving'ang"azi hatari. Hawakubali. Kwa hiyo suruhisho Bora usioe tu.[emoji116]
 
Mkuu hapa duniani hakuna kitu kibaya kama upweke ndio mana mungu hakuwa bwege kumpa Adam mwenza wake ambae ni Eva so uyo mwenye nyumba wako subili maradhi yaanze kumsumbua ndio tutajua hizo pesa zake zitamsaidia au lah
Tunasikia wake hukimbia waume zao wagonjwa,
Pesa husaidia kuepuka dhahma ndogo ndogo
 
Miaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.

Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.

Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.

Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?

Uzi tayari!

cc: Liverpool VPN
None, after a certain age no one should be single.

Civilization is sustained through families and not miserable individuals.
 
Kwahiyo mke hawez kufa wa kwanza? Hawez kuishiwa nguv wa kwanza? Hawez kulemaa wa kwanza?
Mleta mada muhim sana uwe na bima za maana utibiwe aghakan.
Mleta mada uwe na makaz rafik usikose wa kukaa nae kati ya ndugu, jamaa na marafiki
Mleta mada wekeza vitega uchumi visivyohitaj ufuatiliaji wa kila siku kama real estate, au hisa. Pesa ikukute kitandan.
Mleta mada jenga mahusino mazuri na watu wote na zaid wa dini yako. Mtu mwema hakosag wa kumsaidia.
Mleta mada kama utafit uko sahihi utakufa miaka 5 haraka kabla ya aliyeoa kama ambavyo aliyeoa mke 1 anakufa haraka kabla ya wa wake wengi.
Mleta mada kuoa wakat mwingine huwa ni involuntary action. Unashtukia uko ndoan. Umeshawekwa kwenye sidiria. Nadhan bado u kijana.
Mleta mada nakuhakikishia UTAOA TU! hata iwe wiki 1.
hayo yote ni ya maana ukiwa na relationship na watu wako wa karibu sana-mke, mtoto/watoto. kwa sasa utajigamba tu kwa sababu una nguvu na unapesa na una nguvu za kuitumia. wait when you are old, ndipo utatambua. Waulize wazee watakujaza ufahamu zaidi.
 
Ni kweli ukitaka kuishi maisha marefu usioe. Ndoa ni jehanam ya hapa duniani. Hasa kwa wanawake wa siku hizi. Kila kitu anayegemea kutoka kwako hata awe na kazi. Na maisha anayoishi ni kama anakumiliki.
yaani anategemea papuchi tu kama silaha kuu, na ndicho kitu anachoki offer pekee, vyake vyote ni vyake, vyako ni vyake, anatafuna mali zako akitegemea ku-fanya exchange na papuchi yake

mkizinguana, anakimbilia kubana miguu, shenzi kabisa

aliyeleta huu ujinga wa Ndoa apimwe akili aisee,
 
Ninamuona Baba mwenye nyumba wangu ana 50+ hana Ndoa na wala hana huo mpango, na Mtoto mmoja yupo Marekani,
Anasema shida zake za mwili huzimaliza kwa mwezi mara moja kwa dau la elfu 30 tu hazidishi,

Anajipenda sana, ana ujana mwingi na kwake kapangisha wasela tupu hataki familia,

Nguo anafua kwenye washing machine,
Jioni lazima aende baharini anasema anapata tiba ya akili, "bahari inaongea kama ukisiliza mawimbi vizuri"

Ukimuona ana furaha ila kuna watu wanahisi ni mpweke.
Anafuga majini huyo.
 
Back
Top Bottom