Wale ambao wana stress ya umri kwenda huku hawana chochote, tukutane hapa

Natamani nifany Jambo lkn too late
 
Mkuu una age gani kw sasa
 
Mm mpk kufika 2018 December Nina Kama milion 15 HV Ila baada ya hapo

Story IPO kwenye ule Uzi walio filisika ....

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Samahani mkuu imebidi nicheke japo siyo jambo la kuchekesha.

Bila shaka uko kwenye harakati za kuinuka tena. Cha muhimu ni kutokata tamaa tu na kama uzima upo mengine yote ni madogo.
 
39? Au maana 30's got no limit within 31-39.

Hupaswi kuhofu kusema ukweli. Mm Nina 41 Nina nyumba mbili Moja haijaisha ..Nina watoto kazi japo siipendi.


Kazi ninayoipenda naona kama siipendi japo natamani kitu ni Prestige tu. Hii kazi imaniudhi Sana. Nipo katika kuomba Allah niwe na maisha mazuri tu hizi kazi za tamaa zipite mbali.

Yaani I have dreams nadhani kuliko MTU yyt Yule
 
Umri wako?? Tukuombee Nini?,,,,,Trako?,kazi?,mume?mtoto?

Siyo tunakuombea kumbe hats 20yrs bado haujafika

Mie nina 35yrs hapa nikifikia 45+ndiyo nikimiliki kitanda na godoro vyatosha yaani maisha nitakuwa nishayapatia.
Kwani saivi unamiliki nn mswaki au 😹😹😹😹
 
Mawaidha ya mzee wa 75+
Noted mkuu πŸ˜’πŸ€›
 
Exactly,
Watu wengi wana depression sababu ya kutaka maisha ambayo hata hawayahitaji kuwakamilishia furaha zao bali kufurahiwa, kupongezwa na kuonekana na watu wengine kuwa wamefanikiwa au ni watu wa maana sana. Mwisho wanapata walichokitafuta lakini bado hawapati furaha

Umebarikiwa sana kujua ni nini unachohitaji cha kwanza na kukipata πŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ‘πŸΎπŸ€·πŸ½β€β™‚οΈ
 
Dah! Hapa mkuu umenigusa mimi kabisa yani. Mpaka sasahivi sielewi hatima ya maisha yangu itakuwaje, acha tu niishie hapa maana kuna wakati napata mawazo mabaya sana lakini kila nikiwafikiria wanangu roho inaniuma sana!

Kiukweli hii situation ya kuchelewa kwenye maisha ni mbaya. Acha nife kijerumani tu!
 
Kusoma sio kazi, kazi kubadirisha masomo kuwa pesa.😁
Watu wengi wapo depressed sio kwa sababu hawana pesa za kuwaendeshea maisha yao Ila kuendana na matarajio ya jamii zao. Mfano mzuri ni huo wa kutumia pesa kama kipimo cha thamani ya vitu vyote ikiwemo elimu

Ndio maana graduate asipopata pesa za kuishi life flani anajiona useless. Hii haipo sawa
 
Sio Babu tu wa Loliondo hata Joe Biden amepata u Rais akiwa na 78yrs wakati Joseph Kabila akaupata akiwa na 31 au Obama just 44 kama sikosei au Waziri Mkuu wa Sasa wa Uingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…