Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

😂😂😂😂@Cariha wewe unauwezo wa kubishana na radio na ikanyamaza umewakalia kooni Vidume
 
Halafu Leo nkasikia wimbo wa bia tamu, Kuna mstari flani kwamba "usikibanie kitaoza"....... kama vipi mpe kwani nini Bibie. Watu flani wanasema sio sabuni kwamba itayeyuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…