[emoji3][emoji3][emoji3]sema mliwasengenya balaa sana!haya mambo haya yana wenyewe bwana siye wengine acha tu tuendeleze libeneke!!![emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]!!!Yaani baada ya pale Wabongo waliwasengenya mtu ma mkewe[emoji3][emoji3][emoji3]
Am not available.Wewe umeolewa? Nataka the rest of our life tuzeeke pamoja.
Sasa mamii natoaje ulinzi wakati umetutag midume wawili,si tutavunjana Meno kukupiganiaπ
Mbn kama jobless,hana tofaut na wale vijana wa kakobe.Hahahaha u are very naive jamaa yangu[emoji23][emoji23] nimechekaaaa
Sasa muone huyu la saba b. Na hapo ana watoto watatu kila mmoja na mamake na na hela bado hana na kila muda anajihami kwnagu juu ya elimu na pesa. Ukatoke jasho udangwe halaf wakishapataga pesa hawa wanabadilika balaa. Ni mwendo wa kuchapwa matukio tu[emoji23][emoji23][emoji119]View attachment 2040119View attachment 2040120View attachment 2040121
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
hahahaVery simple fact....huwezi ukawa mke halafu weekend huwezi hata kumpakulia mmeo chakula au kumtengea chai ..uko bize na iPad au simu ...that's unacceptable at any level...acheni uhuni nyie corporate takataka
Hahaha mpuusi tu huyo.Mbn kama jobless,hana tofaut na wale vijana wa kakobe.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ha ha ha ,huyu ni mjuba mwenzakoSijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
Mimi wanawake wananielewa hapo nilishagawaweza,usije kuonekana mnyonge Kisa k,utalia kila siku.Umemaliza mkuu...
Sex kwa mwanaume ni trap... Ukiweza Control tamaa ya utelezi... Basi Furaha yako itakuwa kubwa sana Duniani....
Sex imekuwa overrated sana tofauti na miaka ya nyuma. Watu wanafanya vitu hadi vya ajabu ilimradi tu apate utelezi...na ndio haohao huingia kwenye trap hio.
Viwanaume vijingaHivi muda wote huu wanaotumia kulia na wanawake wenye videgree si waende tu kuoa wasio na videgree!
Kwahiyo vijana wa Kakobe ni majobless?Mbn kama jobless,hana tofaut na wale vijana wa kakobe.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Sioni shida mwanaume ukimbeba mwanao na kuosha vyombo hyo sio dhambi kabisaNdio mnachokitaka eti?.View attachment 2041175
Mimi ukiajiri house girl sina shida ila uzembe ukianza nakuvaa wewe sio house girl,sikuoa house girl..ukiona majukumu huwezi usiolewe kabisa unless upate mwanaume ambae anataka hayo.Hivi hamuwezi kusaidiana hizo kazi kwa pamoja huyu ashike hiki na huyu ashike hiki mmalize haraka mambo yaende? Kama mnaona hamuwezi hayo basi ndiyo mkubali wake zenu waajiri housegirls bila kuleta siasa za kijinga eti oo housegirl afanye kila kitu wakati mke yupo nigga are you for real?
[emoji23][emoji23][emoji23]Viwanaume vijinga
Mwanaume akitekeleza haya yote are you going to be submissive to him? Au ndiyo yale mambo ya 50/50 ila siyo kwenye kipato chako?Mkuu bila shaka nawe unatimiza majukumu yako yote! Huulizii mshahara wa mkeo na unamhudumia kwa kila kitu yeye pamoja na watoto na unalipia bills zote peke yako!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Ha ha ha haShoga ndoo nambebea, namuogesha na zivu namnyoaa.
Sifanyii utumwa nafanyia mahaba. Hata nichokeje
It is safe and right for a man to provide for a family kwa kila kitu.Kwahiyo sisi ndiyo tuliumbiwa kuteseka eeh, kamume kenyewe kamekaa sebuleni tu kameshika remote, mama anapalangana na masufuria jikoni, bado na kuoga upelekwe,akii wewe utatulisha kwa jasho humo ndani yaani utalipa kila bills sitoi mimi chochote na siku nikitoa pesa nakuandika kwenye kitabu cha madeni cha familia utanirefund tu.π si wataka kuwa kichwa cha familia eeh sawa sisi mikia tutakudekeza baba.ila utalipia hadi chumvi.πββοΈ