Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

wanaume

wanaume hawajasoma hiii post.wanavyopenda kua budiwa na kutreat wenzao bila huruma
 
Wrong. Alpha males don't marry they sleep with many women because the attract alot of attention plus they don't and can't keep.

Simps do that ...... Simps settle down.
Ni kutokujua tu.......tabia nyingine Alpha males ni kuwa super-dominant halafu wanakuwa hawana hela na wanapenda kulelewa na wanawivu na wakorofi sana kama Uchebe wa Shishi
 
hahaha

nawaza hapa watoto wa corporate ladies wanakuja kuishi/kuolewa na watu wa aina gani? corparate men? 🤣😂
Corporate men wanaotoka wapi?

Kizazi hiki cha leo watakaokuja kuoa ni mafundi magari na seremala wengi tu! 😅

Unless otherwise hao watoto muwaachie urithi wa viwanda na biashara kubwa ila kama unategeme degree itamtoa mwanao 20 years to come utashangazwa😀!!!
 
They rather be in kitchen atleast walikuwa na muda wa ku deal na watoto na family issues!
 
Wewe uko matured ndiyo maana unajitambua.....sasa kama huwezi kuingia jikoni hata jmosi au jpili au ukipata nafasi..mimi nikuoe wa kazi gani kama kugegeda naweza kugegeda popote?
 
kwa kuwa wewe ni Marioo hii imewezekana kuingia jikoni na kupika ... lakini umezidisha chumvi kwamba naye anajishughulisha kiasi hicho mara akishashuka toka kwenye V8......hapo unagongewa live au ni chai
 
Huyo cariha bado mtoto hawezi kuelewa hizi mambo
 
sasa wenzenu hawataki kabisa kushughulika hata weekends....halafu mnawatetea humu,,,,muda wote kwenye TV,iPad nakuongea English ndeefu za ki corporate kwenye simu
 
Big up Karucee ni ajabu mwanaume kulia lia eti amekosea kuoa, mwanaume mwenye akili timamu hawezi kukose akuoa
endelea kujifariji lakini nawausia vijana ambao hawajaoa kuna wanawake si wakuwaoa hasa Corporate ladies,,mtakuwa veeery disappointed!unless uwe tayari kwa mashindano yasiyoisha au uende kulelewa..lakini kama unajiweza na unajielewa ...BIG NO!....hawa ni wa kuwapitia tu na kuwatupia kule
 
[emoji23][emoji23][emoji23] unajua tuanzishe kampeni ya kusaidia Hawa wanaume wetu hata kwa michango maana Wana vunja ndoa Kwa vitu vya kijinga kweli kweli kisa uchumi duni tu, Hali inayowapa makasiriko mengi
Hakuna mwanaume anayejiweza atakaye kuoa wewe kama hata chai huwezi andaa,kitanda huwezi kutandika hata siku za Jumapili ,...sawa kuna vitu vingine ataweka vya kurahisisha kazi kama washing mashine nk sawa lakini tatizo mnataka kushindana na wanaume wakati mnakojoa mkiwa mmechuchumaa...mambo mengine ni ya kimahaba zaidi
 
Baba yangu hakuwahi kuishi kama mlemavu.
Nawashangaa watu humu mnaishi kama walemavu.
Hili ni kosa kubwa lingine hasa kwa mafirst born daughters......kila kitu atafananisha na alivyokuwa baba yake kwamba alikuwa anapiga pasi mwenyewe,kufua,kudeki nk.......hapo ndoa lazima iichungulie kaburi
 
bora arudi na mimba🤣😂
 
Bila ya yeye kuwa na Hela utambembeleza hivyo?
 
Ukiwa na pesa moyo una furaha hukasiriki mkuu, na sio kumalizia wake stress
unazungumzia gheto style love life....lakini siyo kuishi chini ya paa moja kama wanandoa, ...yaani we mke unayesubiri kugegedwa tu? wakati papuchi zipo kila mahali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…