Karma mume anatengewa chakula! Sio mbwa huyo kwamba unamvua cheni ananusa nusa karai la uji lilipo akale😅Kama mtu hajisikii kula kwa muda huo utamlazimisha? Hivi wanaume wa kiafrika mna matatizo gani kwani?
We mi nataka uje tupige game...i told you that! You need to fucc with a real G and get that sample.Jipe Moyo Mungu Atakusaidia
Huyo atakuwa ana matatizo bure! Kuna mdau kashauri vizuri pale juu kuwa mwanamke ukiona huchangii chochote kwa mumeo basi kuwa submissive tu hakuna namna ila mwanaume ukitaka mama naye akusaidia majukumu yako unakuwa ushasign 50/50 rule automatically hivyo unatakiwa kuwa mpole tu lakini wewe unajifanya kichwa ngumu duuh!Wapi wanaolipa all bills na bado mke ukimwambia akutengee chakula atakuonyesha ma hotpot jikoni uyafate ujipakulie [emoji28].
Bado atakuvutia mdomo ukitaka kumsex!
Unaelekea kuwa huyo mtu unaesa atakuwa na matatizo.Huyo atakuwa ana matatizo bure! Kuna mdau kashauri vizuri pale juu kuwa mwanamke ukiona huchangii chochote kwa mumeo basi kuwa submissive tu hakuna namna ila mwanaume ukitaka mama naye akusaidia majukumu yako unakuwa ushasign 50/50 rule automatically hivyo unatakiwa kuwa mpole tu lakini wewe unajifanya kichwa ngumu duuh!
Siku hizi mke na mchepuko wako sawa tu huo ndiyo ukweli! Tofauti ni kwamba mke ndiyo anatwishwa mamizigo mengi kuliko mchepuko ila raha na starehe wote wanapata sawa teh!Ukiamua kuwa mchepuko si unakuwa tu! Usizae we kaa udange ili ule hizo good times maana kutiwa kuko pale pale na kupika kuko pale pale hata ukiwa mchepuko na ukiwa average hamna mwanaume atalipia average comfort ambayo anaipata kwa mke nyumbani. Utaachwa tu na uvivu wako[emoji28]
Twende basi tukapatebhelankwa leyla ali mechi moja ya round 10 tulishakiwa mamilioneaTeh wala sikulazimishi uamini! Watu tumeachwa sababu ya hizo case za kupigana na wanaume na wanaume wenyewe ni wale wa kanda ya ziwa mnaowaita wababe sembuse wewe mpare sijui mchaga wa wapi duuh hebu nikae kimya asee!
Ndiyo uhudumie na uache kuipiga kijicho pesa ya mkeo ili ufanyiwe yote hayo! Ila mkeo atoe pesa na bado akupakulie chakula huo ni uongo ambao unalazimishwa kuwa uhalisia!Karma mume anatengewa chakula! Sio mbwa huyo kwamba unamvua cheni ananusa nusa karai la uji lilipo akale[emoji28]
Kwenye mchakato wa katiba mpya utapewa kiti maalum. Una madini mengi sanaSiku hizi mke na mchepuko wako sawa tu huo ndiyo ukweli! Tofauti ni kwamba mke ndiyo anatwishwa mamizigo mengi kuliko mchepuko ila raha na starehe wote wanapata sawa teh!
Jiongopee tu! Mchepuko ana add value kile ni cheo kama kilivyo cheo kingine tu yani!Siku hizi mke na mchepuko wako sawa tu huo ndiyo ukweli! Tofauti ni kwamba mke ndiyo anatwishwa mamizigo mengi kuliko mchepuko ila raha na starehe wote wanapata sawa teh!
Teh wanaume wa Kilimanjaro tushasikia sifa zenu bhana nyie kitandani wala hamna maajabu yoyote hadi wake zenu wanalalamika tena na hako kamwili kako ndiyo nakuonea huruma kabisa! Watu tunataka wanaume wa Mara huko ndiyo wanaoiweza shughuli siyo nyie mliokulia Dar na Pwani bhana!We mi nataka uje tupige game...i told you that! You need to fucc with a real G and get that sample.
Pesa ya mke sio ishu. Inazungumziwa kwenye state of emergency tu. Hebu acha kukaza ubongo. Halafu usi justify uvivu wako wa ku behave kama mke kwa kusingizia eti hela ya mke sijui kazi😂Ndiyo uhudumie na uache kuipiga kijicho pesa ya mkeo ili ufanyiwe yote hayo! Ila mkeo atoe pesa na bado akupakulie chakula huo ni uongo ambao unalazimishwa kuwa uhalisia!
asijaribu kabisa,asije akajinyonga au akaua mtu,bola atulie tu,akiitwa baba 8namfariji ,kuliko ajue Kati ya hao ,wengine wanamuita baba kumbe si wake!!Mkuu hao watoto wa 4 nakushauri uwapime DNA.
Hahahahahah tatizo jengine hilo😅 dharau na karma ni kama chai na sukari! How can you judge a book by its cover? Try me!!!Teh wanaume wa Kilimanjaro tushasikia sifa zenu bhana nyie kitandani wala hamna maajabu yoyote hadi wake zenu wanalalamika tena na hako kamwili kako ndiyo nakuonea huruma kabisa! Watu tunataka wanaume wa Mara huko ndiyo wanaoiweza shughuli siyo nyie mliokulia Dar na Pwani bhana!
Mbona hamuwekagi tar ya hivyo vikao hapa jukwaani !!??, Haya ndo matokeo Sasa ,member wenu yamemkuta huko!Mwenyekiti kuna wajumbe wali dodge kile kikao na ndio hao wanaoleta usumbufu sasa.
Unfortunately facts zako haziapply kwenye ndoa ambayo mkeo anakusaidia kulipa bills! Ndiyo maana tunawashauri oeni wanawake wasiosoma jamani hao hata ukimrudia nyumbani saa 12 asubuhi atakufungulia mlango na kukupigia magoti ila sisi wengine mtaendelea kutuona tuna midomo tu kwa kweli!Unaelekea kuwa huyo mtu unaesa atakuwa na matatizo.
Mie sio kichwa ngumu. Im just factual my friend im a real G!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Sijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
Sasa si ndiyo ninachosema kwamba siku hizi kuwa mke hakuna thamani? Na ndiyo maana wanawake wengi wanataka kuwa michepuko so endeleeni hivyo hivyo mkija kushituka wanawake wote hawaitaki tena ndoa na wanaume kama ninyi ambao bado mnataka wanawake ambao mtawafanya mazoba ndoani bado mtaendelea kuwepo na ndiyo mtajua hamjui!Jiongopee tu! Mchepuko ana add value kile ni cheo kama kilivyo cheo kingine tu yani!
Hupewi hiko cheo kama hu add value trust me. Mara zote ni Luxury and comfort level lazma iwe of the most high! Madeko kupetiwa petiwa. Mke hafikii hio level na ndio maana mchepuko anachukua taji.
Mke kusaidia ni option mbona hilo huelewi. Sihitaji anisaide kama hataki anaacha tu na hamna kitu kitaharibika. Nimekupa mfano tu ili uone kuna watu wanaweza wakafanya mambo na wala ikawa sio ishu yani😅!Unfortunately facts zako haziapply kwenye ndoa ambayo mkeo anakusaidia kulipa bills! Ndiyo maana tunawashauri oeni wanawake wasiosoma jamani hao hata ukimrudia nyumbani saa 12 asubuhi atakufungulia mlango na kukupigia magoti ila sisi wengine mtaendelea kutuona tuna midomo tu kwa kweli!
Kuweni michepuko tu tutazaa na kuoa wenye akili ambao msio na akili mnawaona mazobaSasa si ndiyo ninachosema kwamba siku hizi kuwa mke hakuna thamani? Na ndiyo maana wanawake wengi wanataka kuwa michepuko so endeleeni hivyo hivyo mkija kushituka wanawake wote hawaitaki tena ndoa na wanaume kama ninyi ambao bado mnataka wanawake ambao mtawafanya mazoba ndoani bado mtaendelea kuwepo na ndiyo mtajua hamjui!
Oohh kumbe huwa unajua kuelewa sasa unavyojifanyaga unajitoa ufahamu? Hata sisi kutusaidia kazi siyo kila siku bali ni pale ambapo unaona kabisa hapa mkeo kazidiwa na siyo mpangiane zamu eti leo mimi kesho wewe uwe unaelewa basi!Pesa ya mke sio ishu. Inazungumziwa kwenye state of emergency tu. Hebu acha kukaza ubongo. Halafu usi justify uvivu wako wa ku behave kama mke kwa kusingizia eti hela ya mke sijui kazi[emoji23]