π π π π π π mauajiUsiombe uchokwe mamawe hakuna rangi utaacha ona yaani mtu uishi nae miaka12 na ushee akulishe samaki na magamba[emoji848]we unaona ni sawa hii??unless kuna sehemu amevurunda ma ke akaona isiwe tabu utakula hivyohivyo bora liende
ππππππππUlitaka mwenye degree na akili ya biashara halafu unataka asitumie degree yake na uwezo wake kutafuta biashara akuandalie maji ya kuoga??π€£π€£π€£....
Kuna mwenzako kaachana na mkewe sababu huwa hapokelewi begi akitoka kaziniπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ukitaka ufanyiwe hayo mambo ya kuwekewa maji ya kuoga achana na wanawake akili kubwa, oa wanawake wa kawaida wa kiswahili tena wale Wapenda taarabu n.k, wale huwa ni waoga wa kuibiwa mume, utaogea mpaka maji yenye iliki.
Aisee mkiachana nitafute mremboπ maana wenzio wanaona big deal kumfanyia mume treats!Shoga ndoo nambebea, namuogesha na zivu namnyoaa.
Sifanyii utumwa nafanyia mahaba. Hata nichokeje
Kama utaweka msaidizi tu sawa haina tatizoSiwezi kutoka kazini nimechoka huko eti nianze kuosha vyombo, kupika Hadi saa nne kisa mume never on earth instead ya kutafta mtu afanye nihangaike tu Hadi nizeeke kwa kweli hapana, wote tumetoka tumeenda kazini nirudi nihangaike na yote hayo?
Maisha ni mafupi kujichosha na kazi mara kupika pika jamani Ili kufuraisha binadamu asiye na shukrani
Kumbe wanaume halisi bado wapo. Suala la kuwanyoosha watoto ni la baba. Sisi tukiwa wadogo mama alikuwa anatwambia kuwa mmekosea ngoja baba yenu aje nimwrleze. Manake suala la nidhamu na kunyoosha vijana ni la baba. Unaogopaje kuwanyoosha wanao kisa mkeo hataki? Ujinga gani huo? Jiulize wakati unamleta hapo nyumbani alikuja na watoto? Watoto ni wako wewe baba na hata huyo mama mkitofautiana ndo maana watoto huwa anawaacha hapo kwa baba. Wanaume amka nyoosha watoto wenu acha kueaogopa wake zenu.Jamaa yangu suala la kuwafundisha watoto wife akaingilia kuwatetea inabidi ulinyamazishe kwa nguvu zote (hata kwa ngumi na damu). Binafsi siwezi kulivumilia
Huyu jamaa alitaka kuingilia majukum ya baba mkwe wake.Mke hasomeshwi.
Sawa ila ukichoka zaidi umwambie bek 3 ampe na mbunye kabisa[emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya kujichosha ya nini jamani natafta mtu namlipa afanye bana
Hakuna mwanamke asiyependa kumdekeza mumewe apatapo nafasi, ila inategemea kwa mama mfanyakazi kama atapata muda jioni ni vizuri kupika na kumtengea mume ila ikitokea amechelewa kurudi labda , mume amuelewe na asicomplicate maisha kama dada yupo basi atasaidia kupika, ila mimi sitopenda dada amsevia mume wangu chakula ntajitahidi nimsevie mwenyewe ama ajisevie mwenyewe.Una confuse kitu gani? Wewe ni mam mfanyakazi je ukirudi home kwako hutataka kumtengea mumeo chakula? Mi nawashangaa sana wanawake wa humuπ .
Nina cousin ni auditor wa TRA na mumewe yuko TASAC. Walianzana jamaa akiwa senior auditor TRA baadae akahamishiwa TASAC. You can imagine uhasibu ulivyo demanding ila mwanamke wakirudi wote kazini anapika wanakula na watoto wao na dada wa kazi yupo lakiniπ saingine wanakuwa hawana dada!
Sijawahi sikia yule binti wa watu akilalamika eti kupika anachokaπ yani ni aibu na fedhea ila kuna watu humu kufanya kazi ni kisingizio kikubwaπ
Sasa kuna raha gani umeoa mke na bado still unaishi maisha ya kutesekaπ ???Hakuna mwanamke asiyependa kumdekeza mumewe apatapo nafasi, ila inategemea kwa mama mfanyakazi kama atapata muda jioni ni vizuri kupika na kumtengea mume ila ikitokea amechelewa kurudi labda , mume amuelewe na asicomplicate maisha kama dada yupo basi atasaidia kupika, ila mimi sitopenda dada amsevia mume wangu chakula ntajitahidi nimsevie mwenyewe ama ajisevie mwenyewe.
Ila on weekends kupika ni lazima mama mjengo nioneshe maujuzi jikoni harufu nzuri nyumba nzima hadi baba mjengo aseme leo kaingia mama mwenyewe jikoni rahaa.π
Ila wanaume nyie mnadeka sana eti tuwatengee chakula, maji ya kuoga wakati mlivokua single mlikua mnasugua hadi sufuria na michanga na kubeba madumu ya maji, ila ghafla umeoa basi umegeuka mtotoo huwezi hata kusogeza maji ya kuoga bafuniπ€ͺ. Ila fresh tu tunawapenda hivo hivo watoto wetu.
Naishi hapa hapa Tz.Mkuu unaishi ughaibuni?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]Nimeona 'K' zimecharuka humu.....
dawa ni kuzipotezea tu huzioi
Haha.Sasa kuna raha gani umeoa mke na bado still unaishi maisha ya kutesekaπ ???
Hujawahi sikia jamaa anabezwa na demu kwamba aoe atajipikia mpaka lini?
Wanawake baadhi mnajua majukumu yenu sema wachache wasiojielewa ndo wanafanya uhuni wa makusudi wa kutaka mashindano na wanaume. Na hawa ndo wale kabla ya kuolewa wanajifulishaga na kupiga deki magetoni ili wakuchote tu uingie kingi!
Jamaa anamaindi hajawekewa maji ya kuoga na mke mwenye dili zake za biashara. πππππππππ
Hapana mkuu huyo dada yupo sahihi kabisa,hili jambo haliwezekani kwa wanawake wengi.Katikati ya mstari naona una tatizo kubwa sana la kisaikolojia linalohitaji msaada wa haraka sana.... samahani kama umekwazika
Ndiyo kaka[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Inawezekana ukawa sahihi kulingana na maoni yako.....Hapana mkuu huyo dada yupo sahihi kabisa,hili jambo haliwezekani kwa wanawake wengi.
Kwa wanaoweza acha wafanye,kwa ambao wanashindwa wasibezwe kwa sababu ni kweli na wao wanachoka.
Imagine mke mwalimu anarudi labda saa tisa kazini,akifika nyumbani kachoka hapo aanze kufua,kupika,kuosha vyombo huku wewe baba kama baba au mume umetulia kwenye sofa unachati jamii forum ukiwa na soksi miguuni zenye vitobo vimetafunwa na panya unasubiri kula.
Hii haikubaliki,nenda kamsaidie mkeo kazi kwa sababu wote mumetoka kazini.
Wanaume wengi wakitz bado tuna umwinyi sana na upuuzi flani ambao hauna maana yeyote,kwanza hizo kazi sio lazima kwa mwanamke kufanya kijamii tu ndio kwa kuwa wanawake wengi ni watu wa nyumbani ndio imeonekana ni kazi zao.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee mkiachana nitafute mrembo[emoji28] maana wenzio wanaona big deal kumfanyia mume treats!