Sijaoa na hata nikioa ikatokea mwanamke ananiona sina maana,akanidharau kwa kiwango ambacho hakivumiliki nitamuacha mara moja bila kujali chochote.Pole rafiki. Ndio maana mmeambiwa msioe au ulikimbia kikao??
you are not making any sense.Sio weak men tu..
Wanawake mnamchango gani kwenye maisha haya zaidi ya umalaya wenu..
Alafu nyie sio wanawaake ni wanaume mnaovaa sketi na magauni..
Ingekuwa amri yangu ningewafunga jiwe shingoni niwatose baharini hamna msaada wowote.
Wanawake wote wanatakiwa waishi humo.Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Kwa taarifa yako uzuri na vyote unavyofanyiwa vitadumu kwa miezi mitatu tu baada ya hapo jiandae uhalisia wa mwanamke unaeishi nae[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Wanawake hamstahili kuwepo kwenye hii duniayou are not making any sense.
Come back when you have something tangible.
Haya ndio yana faida kwasababu yataokoa wanaume wengi..Jitahidi kufocus na mambo yanayokupa faida maishani mwako , wanawake achana nasi.
Sawa, usiku mwema.Haya ndio yana faida kwasababu yataokoa wanaume wengi..
Wapumzisheni wanaume ikibidi ufanyike mpango mhamishwe sayari.
Huku niliko ni asubuhi...Sawa, usiku mwema.
Usiku utafika.Huku niliko ni asubuhi...
Slave mentality.Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Slave mentality.
Bora umenisaidia maana nmeona sina hata jibu la kumpa...Utamuelewa mwanamke mwenzako siku ukikua timamu
Hata Joyce kiria alikuwa kama wewe,,, nenda ukamuulize sasa..
Jipe muda,, utaelewa bila kuelezwa how nature works
Yo brain washed idiotSlave mentality.
Mkuu hao brainwashed dumbs wasikuhangaishe. You are right and forever you will be. Wewe ndio mwanamke wa nguvu sasa.Bora umenisaidia maana nmeona sina hata jibu la kumpa...
Wanawake wengi hatupendi kuambiwa ukweli na ndio kushindwa kwetu
Hata awe kilaza vipi haiwezi kuwa dhidi ya mwanamke. Wanawake hawajielewi na wanatumika tu kwenye agenda za watu wengine huko. Mwanamke anaejielewa kamwe hawezi shindana na mwanammeWanaume vilaza wapo kubali au kataa, wapo.
Hebu taja japo mmoja tu usiishie wapo wapoWanawake smart wapo na ndio naowasemea hapa, kuna wanaume ukiwafananisha nao ni sawa sawa na hakuna.
Mkuu unaupiga mwingi sanaaaa.Sio weak men tu..
Wanawake mnamchango gani kwenye maisha haya zaidi ya umalaya wenu..
Alafu nyie sio wanawaake ni wanaume mnaovaa sketi na magauni..
Ingekuwa amri yangu ningewafunga jiwe shingoni niwatose baharini hamna msaada wowote.
Avatar zako huwa unapata wapi?Huu Uzi una comments za makasiriko🤣🤣
Hahaaaa Dada Kelsea unakimbia ligi. Jamaa kakukomalia leo hadi ligi ipate mshindi[emoji1787][emoji1787] haya umesomeka. Uwe na muda mwema.