Kuna mahala nimetaja kushindana?Hata awe kilaza vipi haiwezi kuwa dhidi ya mwanamke. Wanawake hawajielewi na wanatumika tu kwenye agenda za watu wengine huko. Mwanamke anaejielewa kamwe hawezi shindana na mwanamme
Alianza matusi, mimi na watu wene mdomo mchafu huwa siwezagi.Hahaaaa Dada Kelsea unakimbia ligi. Jamaa kakukomalia leo hadi ligi ipate mshindi
Afu hapa hakuna mashindano, yeye anataka nifute ninachokiamini nifate anachoamini yeye badala aje na hoja za kueleweka akaanza matusi, na mtu akishaanza kutukana najua kabisa akili yake ikoje naachana nae.Hahaaaa Dada Kelsea unakimbia ligi. Jamaa kakukomalia leo hadi ligi ipate mshindi
Brother, umeongea kitu kikubwa sana kwenye hiyo aya ya kwanza.Nasikitika sana mwanamke kadri unavyozidi kumthamini,kumuheshimu na kuhakikisha anapata kila anacho hitaji ndivyo jinsi anavyozidi kukudharau, ukifunga vioo na ukaamua kuachana nae bado hataki uendelee na maisha yako kwa amani matokeo yake anatafuta njia na mbinu ya kukuharibia maisha yako au kukuangamiza kabisa
Hadi unashindwa kuelewa kosa lako ni nini kumpenda na kumthamini au kosa lako ni kumuacha aende kuishi maisha yake baada ya kukuona wewe huna maana kwake
Taratibu basi mrembo hii dunia ni ya kwetuWanaume vilaza wapo kubali au kataa, wapo.
Haya, lakini wapo.Taratibu basi mrembo hii dunia ni ya kwetu
Mwanaume kilaza mmoja ni sawasawa na wanawake 100 wenye iq kubwa
Lipo kama lote mimilooHaya, lakini wapo.
Nakuja kumalizia pilau la jana.
Sijui lakini.Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Huu Uzi una comments za makasiriko🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] punguza makasiriko.
Nadhani kama mna japo chembe ya busara mna kitu cha kujifunza kwenye uzi huu, hii ni research kamili ya ndoa nyingi zilivyo na tatizo ni wanawake.Mwenzangu watu wamepasukiwa na nyongo hehee
Duniani watu wenye akili tayari wametengeneza sex toy, she can offer you anything you get from woman.Mwanamke ni kiumbe wa ajabu mno nje ya sex hakuna kitu kingine anachojivunia, kwa ufupi wanaume tunatumia gharama kubwa mno kwa hawa watu…
Kusingekuwa na neno sex wanawake wangekuwa na maisha magumu mno hapa duniani…
Mama Samia akiwa makamu wa Rais alishawaambia wanawake yeye akiwa nyumbani na mume wake anapiga goti umakamu wa Rais anauacha mlangoni, ila wanajifanya wameweka pamba masikioni.Bora umenisaidia maana nmeona sina hata jibu la kumpa...
Wanawake wengi hatupendi kuambiwa ukweli na ndio kushindwa kwetu
Sawa Kiongozi umesomeka.Nadhani kama mna japo chembe ya busara mna kitu cha kujifunza kwenye uzi huu, hii ni research kamili ya ndoa nyingi zilivyo na tatizo ni wanawake.
Na hapo wanawake wa Kimachame wana special case yao ya kuuwa wanaume.
Hahahahh,Mkuu labda unatania aisee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hilo Pepo uliliokota wapi
Comment yako imeonwa na imesomwaNadhani kama mna japo chembe ya busara mna kitu cha kujifunza kwenye uzi huu, hii ni research kamili ya ndoa nyingi zilivyo na tatizo ni wanawake.
Na hapo wanawake wa Kimachame wana special case yao ya kuuwa wanaume.
NakujaLipo kama lote mimiloo
Njoo tusaidiane kulimaliza kulimwaga ni dhambi
Hili jambo ni very complicated, wakati tunaongelea mapungufu makubwa ya wanawake lakini ukumbuke pia ni vizuri kupata watoto kabla ya kufikisha miaka 35 ili uweze kuwapa haki yao ya msingi ya malezi na elimu bora.Kwa shuhuda hizi nahamasisha tuliosingle bado tuongeze mitano 5 kwetu
Sasa tunafanyaje ndugu yangu😃Hili jambo ni very complicated, wakati tunaongelea mapungufu makubwa ya wanawake lakini ukumbuke pia ni vizuri kupata watoto kabla ya kufikisha miaka 35 ili uweze kuwapa haki yao ya msingi ya malezi na elimu bora.