Dollar hermees
JF-Expert Member
- Sep 14, 2013
- 517
- 1,045
Unaweza kumzidi kipato swali je kama kuna wana pembeni wana mhudumia pia sahau kuhusu kukuheshimu.Inaonekana huyo mkeo alikuzidi Elimu na kipato.! Ni hatari sana mwanamke akuzidi hivi vitu na akuheshimu kama mume.!
Ndio maisha move on.!
Of course iko hivoOohh kwahiyo hata mwanaume awe na kipato kidogo kuliko mkewe bado atatakiwa kusimamia majukumu yake yote like kulipa bills na kumhudumia mkewe na watoto wake? Na asiulize kabisa kipato cha mke wake kinaenda wapi right?
Ndoa tamu mkuu. Ni suala la kuchezesha karata vizuri.Kwa shuhuda hizi nahamasisha tuliosingle bado tuongeze mitano 5 kwetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa shuhuda hizi nahamasisha tuliosingle bado tuongeze mitano 5 kwetu
[emoji23] Hongera kupata mke mwema.MADUNGA EMBE YA KIUME YAMEKOSEA KUOA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] NAWAOMBEA NA NYIE MPATE MKE MWEMA KAMA WANGU DEAR KATUNGE
Wanawake hao ni wavivuUna confuse kitu gani? Wewe ni mam mfanyakazi je ukirudi home kwako hutataka kumtengea mumeo chakula? Mi nawashangaa sana wanawake wa humu[emoji28].
Nina cousin ni auditor wa TRA na mumewe yuko TASAC. Walianzana jamaa akiwa senior auditor TRA baadae akahamishiwa TASAC. You can imagine uhasibu ulivyo demanding ila mwanamke wakirudi wote kazini anapika wanakula na watoto wao na dada wa kazi yupo lakini[emoji28] saingine wanakuwa hawana dada!
Sijawahi sikia yule binti wa watu akilalamika eti kupika anachoka[emoji28] yani ni aibu na fedhea ila kuna watu humu kufanya kazi ni kisingizio kikubwa[emoji28]
Asante saana ndugu[emoji23] Hongera kupata mke mwema.
Ndoa Yako bado changa sana.Nna miaka 6 bro
na ndo maana ukitaka kuolewa kataa kusex na mwanaume wako mana akili za wadada zinaishiaga hapo.Mwanamke ni kiumbe wa ajabu mno nje ya sex hakuna kitu kingine anachojivunia, kwa ufupi wanaume tunatumia gharama kubwa mno kwa hawa watu…
Kusingekuwa na neno sex wanawake wangekuwa na maisha magumu mno hapa duniani…
Mkuu VumiliaHata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Na wewe ndio upo hapa unaandika kuhusu mke mwenye busara. How you write tells alot about your character.Yo brain washed idiot
Una shida somewhere.Wanawake hamstahili kuwepo kwenye hii dunia
mna hasara kuliko faida...
Nyie ndio mnashida....Una shida somewhere.
😂😂😂kuna demu nae nilikua nae tulikua tukigombana ni anabishana huyo,Very funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
Tafuta mwanamke wa kawaida oaHasa hawa wanawake wanaojifanya much know, Oa zalisha achana nae akili itakuja kumkaa sawa baadae ambapo ni too late
Na mchumba mbona hutokei mama weeeh Nishachoka kuchoreshana nambieeee [emoji445][emoji445][emoji444]Nakuja