Tafuta hela wewe wacha kulalama. Weka washing mashine dish washer ndni ya nyumba hamtasumbuana labda sasa akunyime mbususuDuh mm nishagomba mpaka nimechoka wife haingii jikon, nguo zangu anaxofua ni boxer tu tena nlikuaga nazifua mwenyewe nlifanya kumfosi, hapa najipanga nioe mke mdogo coz tuendako uzeeni atanitesa huyu
Kuna mwenzio huko mwanza nae alikua na pesa zake Ila kaishia kumchapa mtu risasi Saba kichwani so take care na hizo helaTafuta hela wewe wacha kulalama. Weka washing mashine dish washer ndni ya nyumba hamtasumbuana labda sasa akunyime mbususu
Very funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially
Yeye alileta ujinga wakuoenda mie natumia hela kula mbususu...thats the differenceKuna mwenzio huko mwanza nae alikua na pesa zake Ila kaishia kumchapa mtu risasi Saba kichwani so take care na hizo hela
Unaweza fanya yote hayo lakini kama hajui dhamani ya mke hutapata chochote, kama Mungu kakujalia umempata Mme ambaye unamfanyia hayo na anadhamini mchango wako shukuru Mungu my dear.Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Ndio iko hivo uwache uvivuKwahiyo we binti unaona ni sawa mwanamke akifanya majukumu mengi kuliko mwanaume? Unaelewa maana ya msaidizi?
Yaani unampiga mkeo kisa hajapika au hajafua! Hivi sijui kwanini mnafananisha mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani, mkae mkijua hawa ni wanawake wa aina mbili tofauti yaani hawatakaa wawe sawa, kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini hawako sawa kwenye hii dunia!
Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!
vipi mkuu bado speed ni ile ile 120[emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
kama nakuelewa hv mkuuKusema kweli wanaume wenzangu wenye vipato kulilia kufuliwa nguo au kuwekewa maji bafuni ni utopolo mkubwa. Kuna mashine za kufua na bomba la mvua.
Cha msingi mke anatakiwa awe na heshima na asicheupuke ukajua. Ukijua amechepuka mpe talaka mapema sana.
Siri wanazotuambia wake za watu kipindi tunawanyoosha ni dharau sana kwa mumewe.
Hili ndilo ambalo hata mimi naweza kusema. Mtu kama hutaki kufanya majukumu ambayo wanawake wanatarajiwa wayafanye ndoani usiolewe ukae huruWanawake hao ni wavivu
Kuna kitu kimoja wanawake wa siku hizi wanakisahau ndoa wanataka lakini majukumu ya ndoa hawayataki wana leta uzungu.
Mwanamke ukisha ingia kwenye ndoa tambua upo pale kwa ajili ya kumhudumia mumeo.
Hivi unaweza lalamika kwa kumlea mwanao. Eti kisa umetoka kazini ndio usipike. Kama ulikuwa hutaki hayo basi ungebaki kwenu
Hahahahhahahah mzee umenichekesha sana kiukweli ni ngumu sana kumuelewa mtu anayesema alikosea kuoa au kuolewa πππ labda kwa madomo zege ambao waliunganishiwa lineMnakoseaje kuoa wakati Mwanzo mlipendana,
mnapigiana simu usiku wa manane,
mnapostiana status na nyimbo za mapenzi.
mnaitana bebi,hakuna kama wewe duniani π€£π€£
Mnaulizana kwa nini sikukupata mapema π€£π€£
mnaitana majina yote Laaziz,ini mkalia nyong'o
Mnaleteana zawadi,kadi
Mnatoka out,mpk tunasema kweli wamependana na harusini tukaja,na michango tukatoa
Saiv mnalia lia mlikosea kuoa/kuolewa haya mambo hayataki mbwembwe oooh.Au Mlikua mnaigiza nini?Mambo ya kukimbilia kuoa bila kutulia yana madhara yake,
Ndoa nyingi za watu waliochelewa kuoa/kuolewa hua zimetulia sana
Ndio maana Mwanamke akiniacha hua simbembelezi arudi,Alieandaliwa na Mungu yupo.
Haya mambo Yanamhitaji Mungu zaidi kupita jambo lolote
Ndio maana mm mapenzi ya kupostiana postiana status naonaga ni ujinga π€£π€£π€£π€£π€£
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Yaani watu wanataka ndoa/kuoa/kuolewa kuliko maisha halisia ya ndoa yenyewe,Mwisho wa siku kilio na kusaga meno
Wengine walioa au kuolewa ili kufurahisha au kukomoa watu
Ambao hatujaoa/kuolewa tumtafute Mungu sana na tutulize akili sana
Comment ya mwaka hii kutoka kwa wanawake hapa jfππππHata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me
Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...
Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...
Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Ndoa ipi na umegoma kukamilisha mpango?π huo usia utunze hadi siku ukikamilisha ndiyo uje uniambieπββοΈComment ya mwaka hii kutoka kwa wanawake hapa jfππππ
Wee financial services na Kelsea mpite hapa mpate kujua mnapaswa kufanya nini kwenye ndoa zenu
Wewe kesho saa saba mchana tukutane hapo johari rotana, nakuja na future hubby wako. Ana mihela huyo hatariNdoa ipi na umegoma kukamilisha mpango?π huo usia utunze hadi siku ukikamilisha ndiyo uje uniambieπββοΈ