Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Single vs kuoa ni vitu viwili tofauti na kufanya hayo sio hisani wala kudekezwa ni mandatory kwa mwanamke kufanya so long as umeolewa unless uniambie umeolewa Ili iwaje?
 
Jibu swali ,upendo unapimwaje sasa? Unaolewa na huwezi fanya hayo Ili iwaje? Yaani nioe halafu mwanamke ashindwe kufanya majukumu ya ndani hapo naoa Ili iwaje?
 
Inaonekana huyo mkeo alikuzidi Elimu na kipato.! Ni hatari sana mwanamke akuzidi hivi vitu na akuheshimu kama mume.!

Ndio maisha move on.!
Anaweza akakuzidi elimu ila asikuzidi akili na maarifa
 
Na hivyo alikuwa anampiga! Mwanaume anepiga mwenza wake hajiamini, so anajaribu kumuonyesha kwamba Yuko juu. Sasa anaenda kukutana na mabazazi na anajua hajamuonyesha kumpenda na kumthamini. Lazma awe roho juu [emoji16][emoji16][emoji16]
Mjomba alikua akifikiria dinner meeting za kila siku anaona kabisa mama huko alikokua wakurugwa wameshamkula wife [emoji1787][emoji1787]

Sent from my MI 8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Michepuko ishawaroga huko hata akili haifanyi kazi tena.
Hakuna mwanamke asomheshimu mwanaume wake, ukiona hauheshimiwi ujue wewe ni jipu haustahili heshima.
 
Nabii Isaya aliyaona haya......... ukisoma comments za humu hili andika linaenda kutimia.

Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.”
 
Kwanza mimi biashara ya kujifunika shuka moja kukumbatiana na kugusanisha matako siwezagi ,ukiona nimefanya hivyo ujue ni siku ya mechi otherwise biashara za kutiana kila siku siwezi.

Nikisogelea mwanamke akizingua huwa silazimishi natafuta mchakato wa nje mpaka atakapokuwa tayari so naweza maliza hata mwezi na wiki kadhaa sijasex na wife na hakuna shida tulishazoea hivyo toka kitambo .
 
Sijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Safi sana.
 

Siyo kweli kwamba huyo mwanamke ni multiple human being awe anaacha ya kazini a nafanya ya nyumbani!?

Yaani mnataka tushirikiane kwenye mambo ya kuingiza pesa and at the same time tuwafulie and every thing 100%?

Wewe mwanaume na nguvu zako unaweza kufanya kazi zako za ofisini na kisha kutimiza majukumu ya nyumbani?
 
Ingekuwa kuna ugumu kuliko majukumu ya mwanaume basi makaburini kungejaa wanawake,sasa ni wengi lakini wanaume wachache wameyajaza makaburi.
 
sijui kama watakuelewa wanaume wenzio
 
Kati ya mwanaume na mwanamke anayetumikishwa ni nani hapa Duniani? Kutimiza wajibu wako ni kutumikishwa? Si Bora uishi mwenyewe sasa.
 
huyu mkeo mvumilivu sana, huwezi pat mwingine kama yeye hicho kipigo kwa miaka 15 alikivumilia kwa sababu zipi yaaani.

can you please list them.

ni kitombo tu au nini mapaka akawa tayari kufia hapo kwako.
 
Chochote unachofanya sio favour ni wajibu wako na mwanaume anatimiza wajibu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…