Tatizo ni wewe mkuu sio mkeo.
Kwa karne hii ya 21 mkuu mkeo ishi nae kama demu wako,ishi naye kama rafiki yako na usiishi na mkeo kama mke wako.
Kuishi na mkeo kama demu wako maana yake mnaweza kupiga stori za nje ya mapenzi pamoja kwa muda mrefu mkiwa katika interest moja,sio muda wote mapenzi tu,hakuna maisha ya muda wote mapenzi tu,mapenzi yana muda wake na maisha mengine yana muda wake.
Dunia ya sasa sio lazima mkeo afanye kazi za ndani yeye,unaweza kumsaidia au mkafanya pamoja au ukatafuta mfanyakazi afanye.
Sio lazima yeye apike,tafuta mfanyakazi apike yeye.
KAMA MKE ANAENDA KAZINI KAMA WEWE NA ANARUDI BAADA YA MASAA KADHAA KAMA WEWE BASI ACHA HUYO MKE AWE KAMA WEWE tu yaani asifanye kazi za nyumbani kama ambavyo wewe hufanyi unaporudi kazini.
Kusolve jambo hili ungekuwa ukirudi kazini unaanza kummotivate wewe unamuambia wife mimi nafanya kazi hizi wewe fanya kazi hii,ili aone kwamba inawezekana kurudi kazini na kufanya kazi.
KWA MAANA NYINGINE TU NI KWAMBA SIO LAZIMA MKE KUFANYA KAZI ZA NYUMBANI,KUNA KAZI MOJA YA LAZIMA TU KWAKW KUIFANYWA KUIFANYWA KUIFANYWA.