Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wenye degree zetu hata hatujali wanaume wajinga, watalia lia sans humu jf
 
Ila kuna watu wanapenda wake zao wachakae..!! Kikubwa majukumu ya Nyumbani yafanyike.

Nitapika weekend na nitafua weekend nikipata muda.

Weekdays ni chakula cha mdada usipokula umeshiba....
 
Ila kuna watu wanapenda wake zao wachakae..!! Kikubwa majukumu ya Nyumbani yafanyike.

Nitapika weekend na nitafua weekend nikipata muda.

Weekdays ni chakula cha mdada usipokula umeshiba....
Usipokula umeshiba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

This made my night
 
Niku report tu hzo comments za matusi stress zake za mahusiano asituletee wengine na kuharibu uzi
Mkuu huyu siyo mara yake ya kwanza tushakutana na comments zake za hivyo na wengi walishamreport mara nyingi tu! Na anajisifia kabisa kuwa hata mkinireport nitapigwa ban then nitafunguliwa nitarudi tena kuwatukana kama kawaida na hata akipigwa life ban atafungua id nyingine!

Guy's a real psychopath
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…