Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Aahh hapana aise! Hata ninyi wenyewe hamuwezi kutimiza majukumu yenu kwa mwanamke asiyekutii wala kukuheshimu!
Kumbe unaelewa vyema tu😅 kwamba kumtii mume sio ombi ni amri,,,sasa kwanini mna complain kuombwa huduma ndogo ndogo tu zakawaida. Na mwanamke mvivu kwenye mambo madogo madogo huanza hivyo mpaka mwisho kutoa gemu anaanza kuleta zengwe!
 
Most of dees hoes like in-house democracy.

Kiuhalisia hamna demokrasia baina ya mume na mke ila kuna order system. Wanaume tuko different kila mmoja ana namna ya kuendesha mambo katika familia yake. Mwanamke yapaswa awe flexible tu ili kuendana na utaratibu anaowekewa na mumewe on how she handle her business!

The ones who aren’t flexible ndio watalalamika kuonewa sijui eti wanatumwa sana wamechoka😅 mehn das stupid as fuqq.
 
Kwahio ukilipwa million na kazi za home hufanyi😅 hebu acha mapepe mtt mzuri!
 

Pole sana kama ni kweli anayafanya hayo hapo huna mke
 
Siku kuu ya uhuru mwaka huu ningekuwa president ningeidediketi kwako. You're so sweet
 

Sasa kama mlikua hamuelewani hao watoto wanne sio haba unepataje; sidhani kama umefanya vema kumuacha au ilikua sawa kuwa unampiga

Ulitakiwa kufanya upelelezi ili tu uwe na uhakika ; je anachelewa ni vikao vya kazi ; marafiki au Mabwana ?!?
Kama ukiridhika hafanyi hivyo ili kufaanya umalaya ni kujifunza kumvumilia

Moja ya hatua ni kutafuta subsititution ; usimfuatilie ; hakikisha watoto wako vizuri ; weka wafanyakazi ; tumia vizuri muda mchache mtakaokuwa pamoja ; wape watoto mapenzi makubwa mwisho utaona tofauti kwani ni kama atajiona yuko peke yake ; mambo yaanaenda na kuanzia wewe hadi watoto mkonkama vile hayupo na mwisho hakikkisha malezi ya kiroho yanzingatiwa iwe kwenda na watioto kanisani au msikitini

Watoto wanne ni wengi fikiria kumkaribisha tena muishi hata kama itabidi kila mmoja na room yake
 
Inakera sana mtu unayebishana naye anapoanza kuleta point zenye kumake sense
 
Oooh!! Hapo sasa ndio tunarudi kule kwa kuchokana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtu ulomchoka hata kumuongelesha unaona taabu, hata akiongea point wewe unamuona kilaza tu!
Umeongea kama mama, mke, mfanyakazi na mzazi. Sasa jiandae tunatafuta third born haraka[emoji23][emoji23]
 
Umeongea kama mama, mke, mfanyakazi na mzazi. Sasa jiandae tunatafuta third born haraka[emoji23][emoji23]
Aaah we, nyonga ishagoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao wawili wanatutosha jamani.
 
Aaah we, nyonga ishagoma[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hao wawili wanatutosha jamani.
Jiandae next ovu kitu ndani ya nyumba. Halafu nimemiss zile keki, fanya hii weekend kakeki kamoja tu.

Huwa ukiamua kutukasirisha na kutuita mafurushi natamani uchezee kelbu moja ya kwenda, Ila huu uandishi unaonyesha sikukosea hata kidogo mama watoto. Leo breakfast naandaa mimi[emoji23][emoji23]
 
Hiyo next ovu nitakuwa naumwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yo word is my command darling, keki umepata.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa tutafanyaje jamani, tunawapenda hivyo hivyo na ufurushi wenu.
Mambo si ndio hayo baby[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Kwani wewe unataka mke au chef?
Maana kazi ya mke kugegedwa na kuzaa hizo nyingine ni hisani tu
Ebu rudia tena...kazi ya mke ni nini? 🤣🤣🤣🤣 Fanya fasta bwana uje nikuwowe maana tutaendana. Kwanza mie wala kula sio ishu mighahawa na mama ntilie wamejaa kibao. Sie kubwa ni kuvuana kyupi tuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hupendi kushikwa kalio?
Hata hakunishika kalio bali alinibusu shingoni kwenye zile pingili mbele za watu imagine[emoji134]

Huo ukunga niliopiga najionea aibu hadi sasa hivi

Na nimeamini kuwa kulowana ni dakika hata kama ulikuwa huna mpango wa kutoa utatoa tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]
 
Unanichekeshaga na hilo neno furushi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…