Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Kuna jamaa tulisoma naye akaoa mke pale pale udom miaka hiyo,

Wakaajiriwa 2014 ualimu wakavuta mikopo wakajenga kwa kuchangia.

Saivi mke amejaza kijiji chao ndani jamaa akiongea kidogo anakumbushwa nyumba wamechangia.
Haina tatizo mkuu. Mwambie tu huyo jamaa yako aache uchoyo. Ni uchoyo ndiyo unamsumbua mkuu. Hata kama wasingechangia hiyo nyumba bado mwanamke wake anakuwa na hisa yake hapo mkuu.
 
Siwezi kutoka kazini nimechoka huko eti nianze kuosha vyombo, kupika Hadi saa nne kisa mume never on earth instead ya kutafta mtu afanye nihangaike tu Hadi nizeeke kwa kweli hapana, wote tumetoka tumeenda kazini nirudi nihangaike na yote hayo?
Maisha ni mafupi kujichosha na kazi mara kupika pika jamani Ili kufuraisha binadamu asiye na shukrani
una changamsha tu genge humu ila ukiolewa mbona utatii bila shuruti
 
Eeh... halaf hata hawanywagi bia nyingi. Na hawaendagi kidimbwi. Wanaenda zao serena huko na kempisk wanakunywa whisk ama imported bia 2 tu wanaenda kulala na wanaamka alfajiri lwa siku mpya. Hawanywagi bia nyingi kama wanaume wa mbagala waliozivamia kwenye harusi.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
"Hawanywagi bia nyingi kama wanaume wa mbagala waliozivamia kwenye harusi. "
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji23][emoji23] saa hizi ndo wanafunga maofisi wenye hela zao. Ndo wanakusanya mafile. Wanawaza projects mpya. Siyo hawa hapa kila uzi wa masononeko wamoo... wahanga wakubwaa. Wamenyooshwa hawa

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
"Hawanywagi bia nyingi kama wanaume wa mbagala waliozivamia kwenye harusi. "
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Eeh... wanazigongaga balaa maqna sherehe zenye windhoek na heinkein za kuhesabu shoo. Na kuna wataokufa hawaziotea hizo sherehe maisha yao yote hapa duniani.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Eeh... wanazigongaga balaa maqna sherehe zenye windhoek na heinkein za kuhesabu shoo. Na kuna wataokufa hawaziotea hizo sherehe maisha yao yote hapa duniani.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Nikalale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Eeh... halaf hata hawanywagi bia nyingi. Na hawaendagi kidimbwi. Wanaenda zao serena huko na kempisk wanakunywa whisk ama imported bia 2 tu wanaenda kulala na wanaamka alfajiri lwa siku mpya. Hawanywagi bia nyingi kama wanaume wa mbagala waliozivamia kwenye harusi.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mama ake Pablo mbona unatoponda tunaokunywa bia huku Manzese maisha yetu si unayajua hizo imported bear unataka tuzitoe wapi Serena hotel ni mgahawa wa mama athumani wali shendi


Mnataka turudishe panya road sasa
 
Ili tulishasema kwenye kikao msioe nakumbuka mpka mwenyekiti siku hiyo alikuwa Liverpool VPN siku hiyo alikuwa amevaa shati refu la uvurungi limefika mpka kwenye magoti la kitenge


Bado hamskii nyie endeleeni kulia tu
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Mama ake Pablo mbona unatoponda tunaokunywa bia huku Manzese maisha yetu si unayajua hizo imported bear unataka tuzitoe wapi Serena hotel ni mgahawa wa mama athumani wali shendi


Mnataka turudishe panya road sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah, nisamehe mwanangu mwenyewe. Nishazoea banana. Si unajua tena rombo tumeshafunga kiwanda cha banana? Habari yenu manzese kwishaaa. Kesho tukutane hapo lambo basi kunguru..

Ila jamani tukiwapaga kadi musijionyeshe waroho hv. Kama ni safari kunyweni safari zenu polepole tu na siyo vita jaman mkikuta windhoek na heinkein.

Kuna mama wa kisambaa shughuli yangu hatapata kadi[emoji23][emoji23] alisema imported zitamtoboa utumbo hajazoea. Ila sasa hizo serengeti lite[emoji119][emoji119] alikunywa 19 jamani na bado mkavu. Na akaalika shogake mnene huyoo anakaanga chapati wa mbagala zakhem[emoji23][emoji23][emoji23] walikunyw kreti 2 wale wamama
Na hawayumbi. Wanakwambia ni ngumu kutokea sherehe za hv.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom