Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Ahaaahaahaaa umegonga mle mle[emoji38][emoji38][emoji38][emoji126][emoji126][emoji16][emoji16]
Eeh... halaf hata hawanywagi bia nyingi. Na hawaendagi kidimbwi. Wanaenda zao serena huko na kempisk wanakunywa whisk ama imported bia 2 tu wanaenda kulala na wanaamka alfajiri lwa siku mpya. Hawanywagi bia nyingi kama wanaume wa mbagala waliozivamia kwenye harusi.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sibishani na wewe.

Inatosha kusema kwamba wanaume wanaosimama kama wanaume hawawezi kulia lia kisa wapo na wake zao ambao wamesoma na wanapiga hela ndefu.

Na Wachagga wanaongoza kwa support wanayowapa wake zao sasa wewe Kongomani hebu tupumzishe na uturudishie jina letu na si tafazali
Big up Karucee ni ajabu mwanaume kulia lia eti amekosea kuoa, mwanaume mwenye akili timamu hawezi kukose akuoa
 
Sibishani na wewe.

Inatosha kusema kwamba wanaume wanaosimama kama wanaume hawawezi kulia lia kisa wapo na wake zao ambao wamesoma na wanapiga hela ndefu.

Na Wachagga wanaongoza kwa support wanayowapa wake zao sasa wewe Kongomani hebu tupumzishe na uturudishie jina letu na si tafazali
Umechoka na kuchokwa nikiendelea na comment zangu hzi huko uliko hapakaliki coz unapigwa za uso we RUTU
 
Nashangaa hii mada ni kwaajili ya WANAUME WALIOKOSEA KUOA... Lakin yanakuja manamake manungayembe yaliyoshindikana kwa tabia zao chafu huko... inawezekana hata na yenyewe yameisha achika huko na sasaiv ni masingo maza, yanatetea ukubuhu wao kwa nguvu sana [emoji706][emoji706][emoji706] Idiots!!
Weweeeee... almost 80% of the women are singo mazaz. Mama zetu, dada zetu, shangazi zetu including wakwako etc etc. Singo maza ndo mashujaa zetu wametulea mpaka hapa. Singo maza siyo matusi. Hata sisi wasimbe tuko hapa. Hatujazaa ila mtaumia na vizazi vyetu bado. Na hata wewe yawezekana ni singo faza ama msimbe mwenzangu.. punguzaa hasiraa weweeee... masingo faza mumejaa humu kibao[emoji23][emoji23] njoo unipige...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Nataka kusema kitu kimoja

Wadogo zangu mlioolewa na msioolewa ndoa ni sacrifice kwa mwanamke!
Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke,tunafeli kutaka kua sawa na wanaume.Hiko kitu hakipo na hakitakaa kiwepo hata usome mpk wapi au uwe na mshahara billions of cash...!!!Labda uolewe na wazungu hukoo au mukubaliane kimkataba b4 hamjaona kua mtaishi kizungu zungu ila hawa wa kitanzania utaenda kazini,utarudi na utamhudumia yeye binafsi uchoke usichoke utajiju.
Ukihisi huwezi kumtake care mwanaume au unapretend ukiolewa unaonesha makucha yako mtashindwana mwisho kutafutiana lawama kuzungushana mahakamani Bure.
Kingine hakuna mwanaume anapenda mkewe amzidi kipato ikitokea ndo hvyo atakubali lakini wengi inakua shida plus mawivu na maugomvi.
So choose wisely mwenza wako,na Mungu awasimamie sana.
Ndoa ni changamoto sana,siku hizi sihukumu wanandoa mmegundua wake na waume wotee vimeo Siku hizi.
Rey unajua why una upeo huu??

You are an adult and matured. Hivi vitoto humu tunaviangalia tu vinavyojiropokea!

Usiku Mwema
 
Weweeeee... almost 80% of the women are singo mazaz. Mama zetu, dada zetu, shangazi zetu including wakwako etc etc. Singo maza ndo mashujaa zetu wametulea mpaka hapa. Singo maza siyo matusi. Hata sisi wasimbe tuko hapa. Hatujazaa ila mtaumia na vizazi vyetu bado. Na hata wewe yawezekana ni singo faza ama msimbe mwenzangu.. punguzaa hasiraa weweeee... masingo faza mumejaa humu kibao[emoji23][emoji23] njoo unipige...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji1787][emoji849][emoji1787]

Hii mijanaume inayoropoka humu ni zao la single mom's inaowatukana kila uchwao shiiit[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Nataka kusema kitu kimoja

Wadogo zangu mlioolewa na msioolewa ndoa ni sacrifice kwa mwanamke!
Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke,tunafeli kutaka kua sawa na wanaume.Hiko kitu hakipo na hakitakaa kiwepo hata usome mpk wapi au uwe na mshahara billions of cash...!!!Labda uolewe na wazungu hukoo au mukubaliane kimkataba b4 hamjaona kua mtaishi kizungu zungu ila hawa wa kitanzania utaenda kazini,utarudi na utamhudumia yeye binafsi uchoke usichoke utajiju.
Ukihisi huwezi kumtake care mwanaume au unapretend ukiolewa unaonesha makucha yako mtashindwana mwisho kutafutiana lawama kuzungushana mahakamani Bure.
Kingine hakuna mwanaume anapenda mkewe amzidi kipato ikitokea ndo hvyo atakubali lakini wengi inakua shida plus mawivu na maugomvi.
So choose wisely mwenza wako,na Mungu awasimamie sana.
Ndoa ni changamoto sana,siku hizi sihukumu wanandoa mmegundua wake na waume wotee vimeo Siku hizi.
Reymage kwa hoja hizo hapo juu naomba kujua nikutumie pesa ya mafuta ya full tank kwa namba ipi mkuu?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji1787][emoji849][emoji1787]

Hii mijanaume inayoropoka humu ni zao la single mom's inaowatukana kila uchwao shiiit[emoji57][emoji57][emoji57]
Sanaaa. Masingo fazas kibao humu na mia ya matumizi hawatoi. Yet yanatukana tu. Heshimunk hawa singo mazaz. Hawakutoa mimba za wanenu. Nyie wenyewe ni mazao ya mama zenu kuwa singo. Ila kuutwaaa kuwasengenya mabinti za watu. Nachowapendeaga singo mazaz wanajipendaaa. Watoto wao wanasoma shule nzuriii. Wanapendezaaa. Wanavaa vizuri balaa[emoji28] wanapambana mno. Heshima kwenu singo mazaz. Vizazi mnavyo. Sisi ambao hatujaenda leba tunawaheshimuni sana[emoji3059][emoji3059]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom