Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Sana halaf wana midomo wanapenda ligi mnoYaan majanaume ya kibongo yanapenda maugomvi na wanawake aaaaagghhh[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]...natapika mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana halaf wana midomo wanapenda ligi mnoYaan majanaume ya kibongo yanapenda maugomvi na wanawake aaaaagghhh[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]...natapika mimi
Hana ishu huyo.
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji126][emoji126][emoji126]Sanaaa. Masingo fazas kibao humu na mia ya matumizi hawatoi. Yet yanatukana tu. Heshimunk hawa singo mazaz. Hawakutoa mimba za wanenu. Nyie wenyewe ni mazao ya mama zenu kuwa singo. Ila kuutwaaa kuwasengenya mabinti za watu. Nachowapendeaga singo mazaz wanajipendaaa. Watoto wao wanasoma shule nzuriii. Wanapendezaaa. Wanavaa vizuri balaa[emoji28] wanapambana mno. Heshima kwenu singo mazaz. Vizazi mnavyo. Sisi ambao hatujaenda leba tunawaheshimuni sana[emoji3059][emoji3059]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Upogoo?[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mwambie aingie kwenye anga zangu aione.
Nipo.
Ewaaa. Watoto ni baraka[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji126][emoji126][emoji126]
Kujitoa ufahamu tu
Kama naweza kupata mwanamke kama weweBasi wasilalamike, mke kuwekwa ndani hakuondoi hulka ya kike kupenda kusifiwa...jamani Mimi huyu Baba kaniteka hapo tu, naweza kupika akala, akatoka mara unaona SMS, "mke wangu chakula kilikuwa kitamu", guess what, akirudi ananikuta mlangoni nimemuandalia juice ya tende na maziwa....
Wanaume tupeni hamasa, yashibisheni masikio yetu Kwa maneno matamu, maneno tu..
Anga lenyewe ulitoe wapi[emoji28][emoji28] we mchawi ama NASA?[emoji28][emoji23][emoji23]Mwambie aingie kwenye anga zangu aione.
Carihaa kamanda acha kbs. Anawaadabisha hawa wavulana wasio na hela hapa.Nipo.
Cariha akija hapa atawavuruga wote hao,watapoteana tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siyo kweli mkuu. Sema tu tatizo la wanawake wasomi ni ule umalaya wanaotoka nao vyuoni huko. Kwa vitu vingine wako vizuri sana.Ukioa mwanamke mwenye degree umechomwa na kitu chenye ncha kali.
Huo ndio ukweli, siku ukipata muda kaa na viongozi waliokuwa kwenye kamati za usuluhishi makanisani then watakupa ukweli wa changamoto za mabinti wa siku hizi.Mnh hiyo sasa itakuwa dhambi jamani kuwafanyisha kazi za namna hiyo watoto wa watu.
Hata kama mke amejifungua au anaumwa bora kumuomba ndugu yake wa damu amfulie na siyo yaya jamani!
Yani mtu anashindwaje kufua nguo za ndani ?
Unaloweka na sabuni kisha unafikicha kidogo na kusuuza kwa maji mengi na kuanika juani.
Tulia mdogo wangu inaonekana wewe bado ni mtoto mchanga.Anga lenyewe ulitoe wapi[emoji28][emoji28] we mchawi ama NASA?[emoji28][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Weweeeee... almost 80% of the women are singo mazaz. Mama zetu, dada zetu, shangazi zetu including wakwako etc etc. Singo maza ndo mashujaa zetu wametulea mpaka hapa. Singo maza siyo matusi. Hata sisi wasimbe tuko hapa. Hatujazaa ila mtaumia na vizazi vyetu bado. Na hata wewe yawezekana ni singo faza ama msimbe mwenzangu.. punguzaa hasiraa weweeee... masingo faza mumejaa humu kibao[emoji23][emoji23] njoo unipige...
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Huyu demu nmemshangaa sanaKwahio unataka mumeo umlishege chips kila siku ambayo hutaki kupika[emoji28]!
Nakusihi jikite kwenye kuwa demu wa mtu achana na ndoa! Muwe mnakutana weekend na kulana uroda tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Carihaa kamanda acha kbs. Anawaadabisha hawa wavulana wasio na hela hapa.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa tulisoma naye akaoa mke pale pale udom miaka hiyo,Siyo kweli mkuu. Sema tu tatizo la wanawake wasomi ni ule umalaya wanaotoka nao vyuoni huko. Kwa vitu vingine wako vizuri sana.
Kadhalika, kama hujawa financially stable usioe mama wa nyumbani mkuu. Kufanya hivyo utahaso sana mpaka utoboe.
Alafu uzoefu unaonyesha siku hizi ndoa zinavunjika apa kwenye miaka 12 Hadi 15[emoji849][emoji849]Baada ya miaka 13 ndo nilijua nimekosea, bado sana Ndugu! Ndoa ni Jambo gumu sana, huwezi elewa!