Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Sanaaa. Masingo fazas kibao humu na mia ya matumizi hawatoi. Yet yanatukana tu. Heshimunk hawa singo mazaz. Hawakutoa mimba za wanenu. Nyie wenyewe ni mazao ya mama zenu kuwa singo. Ila kuutwaaa kuwasengenya mabinti za watu. Nachowapendeaga singo mazaz wanajipendaaa. Watoto wao wanasoma shule nzuriii. Wanapendezaaa. Wanavaa vizuri balaa[emoji28] wanapambana mno. Heshima kwenu singo mazaz. Vizazi mnavyo. Sisi ambao hatujaenda leba tunawaheshimuni sana[emoji3059][emoji3059]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji126][emoji126][emoji126]

Kujitoa ufahamu tu
 
Basi wasilalamike, mke kuwekwa ndani hakuondoi hulka ya kike kupenda kusifiwa...jamani Mimi huyu Baba kaniteka hapo tu, naweza kupika akala, akatoka mara unaona SMS, "mke wangu chakula kilikuwa kitamu", guess what, akirudi ananikuta mlangoni nimemuandalia juice ya tende na maziwa....
Wanaume tupeni hamasa, yashibisheni masikio yetu Kwa maneno matamu, maneno tu..
Kama naweza kupata mwanamke kama wewe
Ulimwengu utakuwa wangu wallah!
 
Ukioa mwanamke mwenye degree umechomwa na kitu chenye ncha kali.
Siyo kweli mkuu. Sema tu tatizo la wanawake wasomi ni ule umalaya wanaotoka nao vyuoni huko. Kwa vitu vingine wako vizuri sana.

Kadhalika, kama hujawa financially stable usioe mama wa nyumbani mkuu. Kufanya hivyo utahaso sana mpaka utoboe.
 
Mnh hiyo sasa itakuwa dhambi jamani kuwafanyisha kazi za namna hiyo watoto wa watu.

Hata kama mke amejifungua au anaumwa bora kumuomba ndugu yake wa damu amfulie na siyo yaya jamani!

Yani mtu anashindwaje kufua nguo za ndani ?

Unaloweka na sabuni kisha unafikicha kidogo na kusuuza kwa maji mengi na kuanika juani.
Huo ndio ukweli, siku ukipata muda kaa na viongozi waliokuwa kwenye kamati za usuluhishi makanisani then watakupa ukweli wa changamoto za mabinti wa siku hizi.

Baba paroko msaidizi Singano wa kanisa moja lipo karibia na Tbt Bima, alisikitika sababu kuna kesi nyingi zimeletwa pale mme analalamika mke wake hafanyi kazi za nyumbani na hajui chochote kuhusu majukumu ya nyumbani kabisa na akasema wengine mpaka wamepeana likizo za mda.

Humu wanaongea kuchangamsha genge ila hali mbaya, kuna wengine wanajua kupika chai na chemsha maji basi, vyingine hawajui.
 
Weweeeee... almost 80% of the women are singo mazaz. Mama zetu, dada zetu, shangazi zetu including wakwako etc etc. Singo maza ndo mashujaa zetu wametulea mpaka hapa. Singo maza siyo matusi. Hata sisi wasimbe tuko hapa. Hatujazaa ila mtaumia na vizazi vyetu bado. Na hata wewe yawezekana ni singo faza ama msimbe mwenzangu.. punguzaa hasiraa weweeee... masingo faza mumejaa humu kibao[emoji23][emoji23] njoo unipige...

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti njoo unipige[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
Siyo kweli mkuu. Sema tu tatizo la wanawake wasomi ni ule umalaya wanaotoka nao vyuoni huko. Kwa vitu vingine wako vizuri sana.

Kadhalika, kama hujawa financially stable usioe mama wa nyumbani mkuu. Kufanya hivyo utahaso sana mpaka utoboe.
Kuna jamaa tulisoma naye akaoa mke pale pale udom miaka hiyo,

Wakaajiriwa 2014 ualimu wakavuta mikopo wakajenga kwa kuchangia.

Saivi mke amejaza kijiji chao ndani jamaa akiongea kidogo anakumbushwa nyumba wamechangia.
 
Back
Top Bottom