Isack Lusajo
Senior Member
- Nov 3, 2021
- 108
- 208
Mbele yako nyuma yetu bro pamoja sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] Nna mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Huyu mwehu eehNiko hapa kumpa cariha backup[emoji23][emoji23][emoji23] ishu si matukio maana waweza pia kuwa mpiga matukio ungali ukijiona mwema.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
😀😀😀😀😀😀 sema jeiieefuuu rahaaMbele yako nyuma yetu bro pamoja sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks mtakatifu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sema jeiieefuuu rahaa
LalaThanks mtakatifu
Ili niende nao bampa to bampa ngoja nianze nao kesho
Saivi ex wako ananisibiri nikamuhudumie[emoji28]
E bwana muhudumie asikonde [emoji38]Thanks mtakatifu
Ili niende nao bampa to bampa ngoja nianze nao kesho
Saivi ex wako ananisibiri nikamuhudumie[emoji28]
Asante dear huyu mjinga kumbe ni shomile na makasiriko yake hovyo yamemshinda hafu hana hela, ndio maana anaomba kubebewa maji kwenye ndoo kichwani, na ana makasiriko na wanawake humu huyu mpuuzi, I was wondering why ana complain vitu vya ajabu maana uchagani sikuhizi watu hawabebi ndoo kichwani, asante kunifumbia@akilinjema kasema wanaume walio wakali humu hawana hela na mwamini kabisaNyie kuku vishingo mnatulazimishaga tuonekane waswazi wa kigogo fresh. Kelele kibaooo. Mkute hata nguvu za kiume hamna. Mkomeee carihaaa. Munajiaminisha bure kwamba mwanamke akisema uhalisia basi ni msimbe ama singo maza. Basi msimbe OG . Niko hapa na maisha ninayo vilevileee na siombi hela ya mtu. Kwani tunakufa? Wahinga nyieee. Nendeni basi kwa maslay queen wenu.. ndo maana tunawaoagaaa. Manyoko
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mnaharibuu uziE bwana muhudumie asikonde [emoji38]
Hahahaaahaha....Asante dear huyu mjinga kumbe ni shomile na makasiriko yake hovyo yamemshinda hafu hana hela, ndio maana anaomba kubebewa maji kwenye ndoo kichwani, na ana makasiriko na wanawake humu huyu mpuuzi, I was wondering why ana complain vitu vya ajabu maana uchagani sikuhizi watu hawabebi ndoo kichwani, asante kunifumbia@akilinjema kasema wanaume walio wakali humu hawana hela na mwamini kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbele yako nyuma yetu bro pamoja sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
V huyoMnaharibuu uzi
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wivu whichiiiiii unataka waseme na mm sina pesa makasirikooo😀😀😀Kwenda uko
Wivu tu[emoji125]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Asante dear huyu mjinga kumbe ni shomile na makasiriko yake hovyo yamemshinda hafu hana hela, ndio maana anaomba kubebewa maji kwenye ndoo kichwani, na ana makasiriko na wanawake humu huyu mpuuzi, I was wondering why ana complain vitu vya ajabu maana uchagani sikuhizi watu hawabebi ndoo kichwani, asante kunifumbia@akilinjema kasema wanaume walio wakali humu hawana hela na mwamini kabisa
Mkuu
Yani mke ASI enjoy life au kushirikiana vikao kisa wivu wa mwanaume asiye jiamini?Muelewe mleta mada,,,,ko hata kama ulimpenda ndo awe anazurura tu usiku eti anaalikwa dinner na watu usowajua,mixer nyumbani hakuna kitu anamfanyia mumewe nyumbani huo sio upendo
[emoji23][emoji23][emoji23] nipo nilikuwa busy kidogoCariha jamani kamanda wangu umeenda wapi tena? Njoo tuwanyooshe hawa wanaume wa hapa. Ndo maana tunawanunuliaga sing'lendi na boxer za utajiju hawa[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app