Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Asante dear huyu mjinga kumbe ni shomile na makasiriko yake hovyo yamemshinda hafu hana hela, ndio maana anaomba kubebewa maji kwenye ndoo kichwani, na ana makasiriko na wanawake humu huyu mpuuzi, I was wondering why ana complain vitu vya ajabu maana uchagani sikuhizi watu hawabebi ndoo kichwani, asante kunifumbia@akilinjema kasema wanaume walio wakali humu hawana hela na mwamini kabisa
 
Hahahaaahaha....
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Muelewe mleta mada,,,,ko hata kama ulimpenda ndo awe anazurura tu usiku eti anaalikwa dinner na watu usowajua,mixer nyumbani hakuna kitu anamfanyia mumewe nyumbani huo sio upendo
Yani mke ASI enjoy life au kushirikiana vikao kisa wivu wa mwanaume asiye jiamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…