Isack Lusajo
Senior Member
- Nov 3, 2021
- 108
- 208
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀Daaah nimekupa vyeo kibao kumbe pisi tu[emoji23][emoji23][emoji23] dunia imekaa kushoto sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi iendeleeNakusalimia sana
Nambie saa ngapi nikutakie usku mwema ?Kazi iendelee
[emoji23][emoji23][emoji23] eti bossledUwe unanitag nisome replay zako boss lady
Hahahahahaha ,[emoji23][emoji23][emoji23] eti bossled
Wana hasira za kutendwa wanakuja kutukana humu wakali ka mbogo aliye jeruhiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama kawaida yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wana hasira za kutendwa wanakuja kutukana humu wakali ka mbogo aliye jeruhiwa
Hata kama hajaachiwa humu wako kibao sana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nikajua single father ni yule aliyeachiwa mtoto mama akakimbia
Ndio nalala huu Uzi unanuchelewesha tuNambie saa ngapi nikutakie usku mwema ?
Bhasi bossled kama unavotaka niitamke nikutakie usiku mwemaNdio nalala huu Uzi unanuchelewesha tu
Ex wako anakuitaKama kawaida yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aniitie wapi bana mimi nasonga mbele kama injili.Ex wako anakuita
Cariha, umerejea boss wangu[emoji23][emoji23][emoji23] sisi warombo tumemkataa shetani na mambo yake yote..Kumbe hili nili shomile linaandika ujinga wake maana hamnaga mchaga mjinga ka yeye, ngoja nimchambe huyu
Anakusambaziaje ukorofi hivi. Kama amewahi kukutongoza tusambazie taarifa tumtangaze[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu mwehu eeh
Huyu shirima fala sanaaa. Anabebesha wanawake ndoo za maji, anataka na kusuguliwa madodoki bafuni. Na ana mawe ya kusugulia masagamba ya miguuni[emoji23][emoji23] bado anataka maji yaungwe na karafuu na mdalasini ya kuoga. Hatuwezi muelewa.Asante dear huyu mjinga kumbe ni shomile na makasiriko yake hovyo yamemshinda hafu hana hela, ndio maana anaomba kubebewa maji kwenye ndoo kichwani, na ana makasiriko na wanawake humu huyu mpuuzi, I was wondering why ana complain vitu vya ajabu maana uchagani sikuhizi watu hawabebi ndoo kichwani, asante kunifumbia@akilinjema kasema wanaume walio wakali humu hawana hela na mwamini kabisa
Nataka tumnunulie huyu phaller boxa 2 za draft na vest ya spider tumtumie kesho bar anazokunywa huyu mlevi huko sijui chugga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo nilikuwa busy kidogo
Nyie si majeuri[emoji23][emoji23]Mnafanyaga maksudi kumbee
Hivi waga mna maana gani kumpatia zawadi ya boxer ?
[emoji23][emoji23][emoji23] wanajua ni msimbe wa kimataifa kama mm eti[emoji23][emoji23][emoji23] Yani Hawa nilikuwa busy naongea na baby wangu ndio maana