miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
[emoji23][emoji23][emoji23] uwuuoi, ni singo faza kumbe... ila amelala mapema sana. Amelog out muda kweli. Ama amepata kiposongo saa hizi. Huyu kaka ngoja nimtongoze anioe nike kumnyoosha.Humu JF ma single father ni wengi Wana stress na makasiriko ka yote Kuna Uzi walitoa povu sana kuhusu ku force wao kulelewa watoto unfortunately moderators waliufuta ule Uzi. Wengi wenye hasira humu wameachwa na wake zao hata huyo mzee shirima ni single father hapo ana stress.
Mzee Shirimaa plz marry me. Mimi ni mtraamuu[emoji23][emoji23] ila jua tukaoana hatuachani. Biashara uje nitangaza singo maza humu na nyuzi nakuua. Nanyofoa hizo kengele na sikuachi bado maana utatafuta meingine. Haikubaliki... nakutaka shirimaa... kwanza una mauno uzazi?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app