Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

[emoji23][emoji23] Bora Mimi nadanga kwa akili napata hela na connection muhimu huwezi nikuta nalia shida ndogo ndogo kama zenu wanaume humu JF msiojiamini, tafuteni hela Mimi mtoto wa kike nawashinda mna kwama wapi aisee?!
Uwe unanitag nisome replay zako boss lady
 
Sanaaa. Masingo fazas kibao humu na mia ya matumizi hawatoi. Yet yanatukana tu. Heshimunk hawa singo mazaz. Hawakutoa mimba za wanenu. Nyie wenyewe ni mazao ya mama zenu kuwa singo. Ila kuutwaaa kuwasengenya mabinti za watu. Nachowapendeaga singo mazaz wanajipendaaa. Watoto wao wanasoma shule nzuriii. Wanapendezaaa. Wanavaa vizuri balaa[emoji28] wanapambana mno. Heshima kwenu singo mazaz. Vizazi mnavyo. Sisi ambao hatujaenda leba tunawaheshimuni sana[emoji3059][emoji3059]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Humu JF ma single father ni wengi Wana stress na makasiriko ka yote Kuna Uzi walitoa povu sana kuhusu ku force wao kulelewa watoto unfortunately moderators waliufuta ule Uzi. Wengi wenye hasira humu wameachwa na wake zao hata huyo mzee shirima ni single father hapo ana stress.
 
Humu JF ma single father ni wengi Wana stress na makasiriko ka yote Kuna Uzi walitoa povu sana kuhusu ku force wao kulelewa watoto unfortunately moderators waliufuta ule Uzi. Wengi wenye hasira humu wameachwa na wake zao hata huyo mzee shirima ni single father hapo ana stress.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Humu JF ma single father ni wengi Wana stress na makasiriko ka yote Kuna Uzi walitoa povu sana kuhusu ku force wao kulelewa watoto unfortunately moderators waliufuta ule Uzi. Wengi wenye hasira humu wameachwa na wake zao hata huyo mzee shirima ni single father hapo ana stress.
😀😀😀😀😀 nikajua single father ni yule aliyeachiwa mtoto mama akakimbia
 
Back
Top Bottom