Isack Lusajo
Senior Member
- Nov 3, 2021
- 108
- 208
[emoji23][emoji23]hamna bro sijawaza uko nimemaanish tusafishie njia si tuko nyuma yako ukipotea sema[emoji23][emoji23]acha woga kamandaMkuu
Hivi umewaza nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]hamna bro sijawaza uko nimemaanish tusafishie njia si tuko nyuma yako ukipotea sema[emoji23][emoji23]acha woga kamandaMkuu
Hivi umewaza nini?
Mnafanyaga maksudi kumbeeCariha jamani kamanda wangu umeenda wapi tena? Njoo tuwanyooshe hawa wanaume wa hapa. Ndo maana tunawanunuliaga sing'lendi na boxer za utajiju hawa[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]hamna bro sijawaza uko nimemaanish tusafishie njia si tuko nyuma yako ukipotea sema[emoji23][emoji23]acha woga kamanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Etiii broooo[emoji23][emoji23]hamna bro sijawaza uko nimemaanish tusafishie njia si tuko nyuma yako ukipotea sema[emoji23][emoji23]acha woga kamanda
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji109][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa mwamba[emoji109]
[emoji23][emoji23] Bora Mimi nadanga kwa akili napata hela na connection muhimu huwezi nikuta nalia shida ndogo ndogo kama zenu wanaume humu JF msiojiamini, tafuteni hela Mimi mtoto wa kike nawashinda mna kwama wapi aisee?!Mtag cariha anajifanya unajua sana usawa kumbe yawezekana mdangaji tu
[emoji23][emoji23][emoji23] Yani Hawa nilikuwa busy naongea na baby wangu ndio maanaCarihaa wanakuharaaa. Umetoka tu wameanza kujiachiaa[emoji23][emoji23]
Njoo mama.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Uwe unanitag nisome replay zako boss lady[emoji23][emoji23] Bora Mimi nadanga kwa akili napata hela na connection muhimu huwezi nikuta nalia shida ndogo ndogo kama zenu wanaume humu JF msiojiamini, tafuteni hela Mimi mtoto wa kike nawashinda mna kwama wapi aisee?!
Mrembo kabisa unaona umuiteee bro
Humu JF ma single father ni wengi Wana stress na makasiriko ka yote Kuna Uzi walitoa povu sana kuhusu ku force wao kulelewa watoto unfortunately moderators waliufuta ule Uzi. Wengi wenye hasira humu wameachwa na wake zao hata huyo mzee shirima ni single father hapo ana stress.Sanaaa. Masingo fazas kibao humu na mia ya matumizi hawatoi. Yet yanatukana tu. Heshimunk hawa singo mazaz. Hawakutoa mimba za wanenu. Nyie wenyewe ni mazao ya mama zenu kuwa singo. Ila kuutwaaa kuwasengenya mabinti za watu. Nachowapendeaga singo mazaz wanajipendaaa. Watoto wao wanasoma shule nzuriii. Wanapendezaaa. Wanavaa vizuri balaa[emoji28] wanapambana mno. Heshima kwenu singo mazaz. Vizazi mnavyo. Sisi ambao hatujaenda leba tunawaheshimuni sana[emoji3059][emoji3059]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Pamoja sana mwanangu[emoji110]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Humu JF ma single father ni wengi Wana stress na makasiriko ka yote Kuna Uzi walitoa povu sana kuhusu ku force wao kulelewa watoto unfortunately moderators waliufuta ule Uzi. Wengi wenye hasira humu wameachwa na wake zao hata huyo mzee shirima ni single father hapo ana stress.
[emoji26][emoji26]dàaaaah title na aliyetype kumbe tofauti sikuona manMrembo kabisa unaona umuiteee bro
😀😀😀😀😀 nikajua single father ni yule aliyeachiwa mtoto mama akakimbiaHumu JF ma single father ni wengi Wana stress na makasiriko ka yote Kuna Uzi walitoa povu sana kuhusu ku force wao kulelewa watoto unfortunately moderators waliufuta ule Uzi. Wengi wenye hasira humu wameachwa na wake zao hata huyo mzee shirima ni single father hapo ana stress.
[emoji23][emoji23][emoji23]una changamsha tu genge humu ila ukiolewa mbona utatii bila shuruti
Utakosaa mrembo na ww[emoji26][emoji26]dàaaaah title na aliyetype kumbe tofauti sikuona man
Sent using Jamii Forums mobile app
Namalizia niambie nyonyo
Daaah nimekupa vyeo kibao kumbe pisi tu[emoji23][emoji23][emoji23] dunia imekaa kushoto sanaPamoja sana mwanangu[emoji110]