Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamfahamu biligates?Wengi wanaoteseka na mahusiano, walioa wakiwa hawana hela, juhudi za kutafuta pamoja zinaleta kiburi sana kwa wanawake.
Guys, gentlemen, tafuta hela acha kula mirungi na pombe kali.
Wee haya
Carihaa wanakuharaaa. Umetoka tu wameanza kujiachiaa[emoji23][emoji23]
Njoo mama.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hapana wanawake ndiyo mnapenda maugomvi, kuna rafiki yangu beberu yupo miaka miaka mingi Tanzania siku moja Nika muuliza mbona hujaoa dada zetu umeoa mzungu mwenzako akajibu wanawake waki Tanzania Wana penda maugovi chengine Wana penda hela Sana Wana jifanya kukuonyesha mapenzi kumbe waongo Wana penda pesa tuYaan majanaume ya kibongo yanapenda maugomvi na wanawake aaaaagghhh[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]...natapika mimi
Sindo mpaka uweze hata kupata hiyo nafasi? Muache kamanda cariha.Huyo bwege tu hana lolote, anaanzisha vita na wanaume kwani tulishalala nae wote?
Huyo mzungu pori uchoyoo tu unamsumbua[emoji16][emoji16]Hapana wanawake ndiyo mnapenda maugomvi, kuna rafiki yangu beberu yupo miaka miaka mingi Tanzania siku moja Nika muuliza mbona hujaoa dada zetu umeoa mzungu mwenzako akajibu wanawake waki Tanzania Wana penda maugovi chengine Wana penda hela Sana Wana jifanya kukuonyesha mapenzi kumbe waongo Wana penda pesa tu
Hakuna kitu napenda kama kusifiwa aseehh!yaani mbichwa unajaa huoo![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwingine hana huo mda!Basi wasilalamike, mke kuwekwa ndani hakuondoi hulka ya kike kupenda kusifiwa...jamani Mimi huyu Baba kaniteka hapo tu, naweza kupika akala, akatoka mara unaona SMS, "mke wangu chakula kilikuwa kitamu", guess what, akirudi ananikuta mlangoni nimemuandalia juice ya tende na maziwa....
Wanaume tupeni hamasa, yashibisheni masikio yetu Kwa maneno matamu, maneno tu..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]anawala kimasihara Ila kuoa kaoa kwao!!Huyo mzungu pori uchoyoo tu unamsumbua[emoji16][emoji16]
Mbona umeanza mipasho tena miss pablo, lete hoja mezani tukinzane...Cariha jamani kamanda wangu umeenda wapi tena? Njoo tuwanyooshe hawa wanaume wa hapa. Ndo maana tunawanunuliaga sing'lendi na boxer za utajiju hawa[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Tunawaambia tu ukweli ingawa kuukubali ni mgumu!Rey unajua why una upeo huu??
You are an adult and matured. Hivi vitoto humu tunaviangalia tu vinavyojiropokea!
Usiku Mwema
Sindo mpaka uweze hata kupata hiyo nafasi? Muache kamanda cariha.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Weweee. Hapa ni michano tuu...Mbona umeanza mipasho tena miss pablo, lete hoja mezani tukinzane...
Nipo ziwa
Dear niliku miss kweli ulikuwa wapi jamani Uzi umetembea mno kwa kasi ya 5g[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea mie staki ujue? Afu kwanini huwa unitag jaman khaaah.
Mjnga huyo Hadi nimewachamba bure warombo Sasa kwenye kikao Cha kwenda kuhesabiwa wasije niweka kwenye agendaCariha, umerejea boss wangu[emoji23][emoji23][emoji23] sisi warombo tumemkataa shetani na mambo yake yote..
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ni makasiriko tu hayoAnakusambaziaje ukorofi hivi. Kama amewahi kukutongoza tusambazie taarifa tumtangaze[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hana hela huyu wanaume wenye hela hawatesa wake zao Wana wa spoil tu bila shida, mwenye hela hahaingiki na kubebewa maji bafuni anafikiria madeal makubwa ya helaHuyu shirima fala sanaaa. Anabebesha wanawake ndoo za maji, anataka na kusuguliwa madodoki bafuni. Na ana mawe ya kusugulia masagamba ya miguuni[emoji23][emoji23] bado anataka maji yaungwe na karafuu na mdalasini ya kuoga. Hatuwezi muelewa.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Uwe makini sanaaa. Tutakuweka upande wa kupasua kuni na akina kimarioMjnga huyo Hadi nimewachamba bure warombo Sasa kwenye kikao Cha kwenda kuhesabiwa wasije niweka kwenye agenda
Inabidi tumchangie pia hela akaweke Bomba la shower bafuni Ili mke atakaye muoa asipate shida na hii dunia yake isivunjike kwa sababu za kijinga hiviNataka tumnunulie huyu phaller boxa 2 za draft na vest ya spider tumtumie kesho bar anazokunywa huyu mlevi huko sijui chugga[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app