Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wengi wanaoteseka na mahusiano, walioa wakiwa hawana hela, juhudi za kutafuta pamoja zinaleta kiburi sana kwa wanawake.
Guys, gentlemen, tafuta hela acha kula mirungi na pombe kali.
Wee haya
 
Wengi wanaoteseka na mahusiano, walioa wakiwa hawana hela, juhudi za kutafuta pamoja zinaleta kiburi sana kwa wanawake.
Guys, gentlemen, tafuta hela acha kula mirungi na pombe kali.
Wee haya
Unamfahamu biligates?
 
Yaan majanaume ya kibongo yanapenda maugomvi na wanawake aaaaagghhh[emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]...natapika mimi
Hapana wanawake ndiyo mnapenda maugomvi, kuna rafiki yangu beberu yupo miaka miaka mingi Tanzania siku moja Nika muuliza mbona hujaoa dada zetu umeoa mzungu mwenzako akajibu wanawake waki Tanzania Wana penda maugovi chengine Wana penda hela Sana Wana jifanya kukuonyesha mapenzi kumbe waongo Wana penda pesa tu
 
Hapana wanawake ndiyo mnapenda maugomvi, kuna rafiki yangu beberu yupo miaka miaka mingi Tanzania siku moja Nika muuliza mbona hujaoa dada zetu umeoa mzungu mwenzako akajibu wanawake waki Tanzania Wana penda maugovi chengine Wana penda hela Sana Wana jifanya kukuonyesha mapenzi kumbe waongo Wana penda pesa tu
Huyo mzungu pori uchoyoo tu unamsumbua[emoji16][emoji16]
 
Basi wasilalamike, mke kuwekwa ndani hakuondoi hulka ya kike kupenda kusifiwa...jamani Mimi huyu Baba kaniteka hapo tu, naweza kupika akala, akatoka mara unaona SMS, "mke wangu chakula kilikuwa kitamu", guess what, akirudi ananikuta mlangoni nimemuandalia juice ya tende na maziwa....
Wanaume tupeni hamasa, yashibisheni masikio yetu Kwa maneno matamu, maneno tu..
Hakuna kitu napenda kama kusifiwa aseehh!yaani mbichwa unajaa huoo![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]mwingine hana huo mda!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea mie staki ujue? Afu kwanini huwa unitag jaman khaaah.
Dear niliku miss kweli ulikuwa wapi jamani Uzi umetembea mno kwa kasi ya 5g
 
Huyu shirima fala sanaaa. Anabebesha wanawake ndoo za maji, anataka na kusuguliwa madodoki bafuni. Na ana mawe ya kusugulia masagamba ya miguuni[emoji23][emoji23] bado anataka maji yaungwe na karafuu na mdalasini ya kuoga. Hatuwezi muelewa.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hana hela huyu wanaume wenye hela hawatesa wake zao Wana wa spoil tu bila shida, mwenye hela hahaingiki na kubebewa maji bafuni anafikiria madeal makubwa ya hela
 
Nataka tumnunulie huyu phaller boxa 2 za draft na vest ya spider tumtumie kesho bar anazokunywa huyu mlevi huko sijui chugga[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Inabidi tumchangie pia hela akaweke Bomba la shower bafuni Ili mke atakaye muoa asipate shida na hii dunia yake isivunjike kwa sababu za kijinga hivi
 
Back
Top Bottom