Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Nyie kuku vishingo mnatulazimishaga tuonekane waswazi wa kigogo fresh. Kelele kibaooo. Mkute hata nguvu za kiume hamna. Mkomeee carihaaa. Munajiaminisha bure kwamba mwanamke akisema uhalisia basi ni msimbe ama singo maza. Basi msimbe OG . Niko hapa na maisha ninayo vilevileee na siombi hela ya mtu. Kwani tunakufa? Wahinga nyieee. Nendeni basi kwa maslay queen wenu.. ndo maana tunawaoagaaa. Manyoko

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Asante dear huyu mjinga kumbe ni shomile na makasiriko yake hovyo yamemshinda hafu hana hela, ndio maana anaomba kubebewa maji kwenye ndoo kichwani, na ana makasiriko na wanawake humu huyu mpuuzi, I was wondering why ana complain vitu vya ajabu maana uchagani sikuhizi watu hawabebi ndoo kichwani, asante kunifumbia@akilinjema kasema wanaume walio wakali humu hawana hela na mwamini kabisa
 
Asante dear huyu mjinga kumbe ni shomile na makasiriko yake hovyo yamemshinda hafu hana hela, ndio maana anaomba kubebewa maji kwenye ndoo kichwani, na ana makasiriko na wanawake humu huyu mpuuzi, I was wondering why ana complain vitu vya ajabu maana uchagani sikuhizi watu hawabebi ndoo kichwani, asante kunifumbia@akilinjema kasema wanaume walio wakali humu hawana hela na mwamini kabisa
Hahahaaahaha....
 
Asante dear huyu mjinga kumbe ni shomile na makasiriko yake hovyo yamemshinda hafu hana hela, ndio maana anaomba kubebewa maji kwenye ndoo kichwani, na ana makasiriko na wanawake humu huyu mpuuzi, I was wondering why ana complain vitu vya ajabu maana uchagani sikuhizi watu hawabebi ndoo kichwani, asante kunifumbia@akilinjema kasema wanaume walio wakali humu hawana hela na mwamini kabisa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Muelewe mleta mada,,,,ko hata kama ulimpenda ndo awe anazurura tu usiku eti anaalikwa dinner na watu usowajua,mixer nyumbani hakuna kitu anamfanyia mumewe nyumbani huo sio upendo
Yani mke ASI enjoy life au kushirikiana vikao kisa wivu wa mwanaume asiye jiamini?
 
Back
Top Bottom